uzur mkewangu sio kama wanawake wengine malaya malaya ndio mana nimemjengea porini huko anafuga zake ngombe na kuku na kujilimia bustan akitaka kukutana na watu inampasa asafir klmet angalau 20 kwahy sina pulesha ni wangu peke yanguKufa hutakufa ila cha moto utakiona
Haya ni matokeo ya kutopata mwenza sahihi.Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.
Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Niwe nao wawili au watatuSasa unachoitaji wewe nn ambacho ni sahihi kwako.
Na mke mmoja kuwa na waume wengi ?Kama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.
Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
Tatizo ninae mtaka yeye hanitani. Mimi sikutaki wewe. Hii dunia haina usawawanaume wawapi sema mashoga sio wanaume wale 😛 🙄 😛 pili ninawezaje kupata namba zako mimi nitakuwa mume wako wa pili
Kuoa mke mmoja ni mpango wa kizungu wa kikoloniKama hujaoa, unaweza kuona suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinzi, lakini baada ya kuoa utagundua kuwa kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida zake. Mke mmoja anaweza kutesa sana, kuumiza, na hata kusababisha huzuni. Kwa mawazo yangu, suala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu, si mpango wa Mungu.
Kwa hiyo, suala hili linapaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ukristo. Tukilifumbia macho, tunaweza kuishia kuumizana bure kwa hasira za kunyimwa tendo la ndoa. Huku ukiwa unahitaji, mwenzako ambaye umemwekeza mali na unamgharamia, anaanza kukupangia lini atakupa haki yako. Ukiamua kutoka nje ya ndoa, inakuwa dhambi. Jamani, mbinguni kunaweza kujaa vilema kutokana na changamoto hizi!
kwasasa mambo ya kutakana tumeachia njiwa tu kikubwa mimi na wewe tukutane ndani ya nyumba tupimane uwezo nikikuweza nakuwa wa kwako ukiniweza unatafuta mwingineTatizo ninae mtaka yeye hanitani. Mimi sikutaki wewe. Hii dunia haina usawa
Sawa. Fanya unachoona kinafaa maana hapo mwili ni wako na K ni yako.Niwe nao wawili au watatu
Bac sawaawe tu ila kikubwa kifua awe nacho
Mume 1 anatosha, changamoto ya wanandoa wengi ni kuchukuliana poa mkiishi pamoja.Upo sahihi maana hata mume mmoja hatoshi.
Ni kweli. Siku zote nafanya ninachoona kinafaaSawa. Fanya unachoona kinafaa maana hapo mwili ni wako na K ni yako.
Umeshawahi kuolewa hadi useme hivyo?Mume 1 anatosha, changamoto ya wanandoa wengi ni kuchukuliana poa mkiishi pamoja.
Unadhani wanandoa wangeishi kama mwanzo wa ndoa mambo yakuchokana yangetokea?
Pamoja mama.... ila kama una mda hiyo K. Niletee Kariakoo.Ni kweli. Siku zote nafanya ninachoona kinafaa
Haindi kwa kila panya. Nachagua ninae mtakaPamoja mama.... ila kama una mda hiyo K. Niletee Kariakoo.
Kumbe unalala na Panya....Haindi kwa kila panya. Nachagua ninae mtaka
Ndio mkuuKumbe unalala na Panya....
Uzuri wa MAISHA, unamtaka wewe wengine wanamuona pimbi. Na unaeomuona wewe pimbi wenzio wanamtaka huu mchezo kama Biashara kariakoo.Haindi kwa kila panya. Nachagua ninae mtaka
🤣🤣🥳Ndio mkuu