Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Ndo hivyo inakuwa. Hakuna biashara hapa ni mapenzi na mikasiUzuri wa MAISHA, unamtaka wewe wengine wanamuona pimbi. Na unaeomuona wewe pimbi wenzio wanamtaka huu mchezo kama Biashara kariakoo.
In direct business v Direct business.Ndo hivyo inakuwa. Hakuna biashana hapa ni mapenzi na mikasi
Biashara inafanyika pale unaporidhika na bidhaaIn direct business v Direct business.
Ktk Dunia Kila Kitu ni Biashara inategemea unaenda kwa angel Gani.
Without exchange there is no thomething happen.Biashara inafanyika pale unaporidhika na bidhaa
Nakubaliana na wewe lakini ninachokwambia ni kwamba mteja lazima aridhike na bidhaa ili biashara isiwe na malalamiko.Without exchange there is no thomething happen.
Kuna mifano mingi ya kibiashara mapenzi yako kibiashara zaidi.
Mwanaume anachopata ktk mapenzi ni Ngono + Refresh mind.
Mwanamke anachopata ktk mapenzi ni Ngono + refresh Mind na Financially( Kiuchumi/ Kuhudumiwa)
Niwe nao wawili au watatu
Musa ndo anatutungia sheria, who is he?Siku zote mfugaji mwenye majike hutoka, akatafuta dume, akalileta zizini pake ili likae na majike yake. Haijapata kutokea bado, mfugaji mwenye madume aondoke, naye akatafute jike, alilete likae na madume yake. (Musa 2: 3-5)
Oa kandamiza nje uko kwani imekatazwa wapi? Wewe oa tafuta wa kumkanda nje fresh, kuna wamama nilishuhudia wanazungumza hilo kwamba wao pia wanajua Mwanaume hakuumbwa kua na Mwanamke mmoja kwa hio wanaelewa Mwanaume anapoenda kuwakandamiza wanawake wengine nje huko na wengine wanawajua kabisa wanawake wenzao wanaokandamizwa na waume zao na wapo peace kabisa kikubwa Mwanaume ana provide home haisumbui, nimewasikia kwa masikio yangu mwenyeweNdoa balaa
Basi wote kwa pande Zote tujitahidi kuheshimiana katika mahusiano hakuna anayestahili zaidi ya mwingine kwa kuwa twategemeana kwa mambo mengisisi na wao tofauti ebu angalia kwenye maisha yetu ya kawaida mwanamke mwenye wanaume wengi anaitwa nani
na mwanaume mwenye wake wengi anaitwa nani
pia kuna swala la asili mwanamke mwenye wanaume wengi kupata mtu wa kumuoa ni shida ila ni sawa kama watakuwa ivo
Uko sahihi ila ukiwa na zaidi ya Mume mmoja ukipata ujauzito utakuwA wa Nani?Upo sahihi maana hata mume mmoja hatoshi.
Oa kandamiza nje uko kwani imekatazwa wapi? Wewe oa tafuta wa kumkanda nje fresh, kuna wamama nilishuhudia wanazungumza hilo kwamba wao pia wanajua Mwanaume hakuumbwa kua na Mwanamke mmoja kwa hio wanaelewa Mwanaume anapoenda kuwakandamiza wanawake wengine nje huko na wengine wanawajua kabisa wanawake wenzao wanaokandamizwa na waume zao na wapo peace kabisa kikubwa Mwanaume ana provide home haisumbui, nimewasikia kwa masikio yangu mwenyewe
Kumbuka Ata viungo vya mwili wako viko pair kwanini usiongeze mke mwingine,kama hujaoa unaweza kuoana swala ili ni uzinzi tu lakini baada ya kuoa ndo utagundua
kuoa mke zaidi ya mmoja kuna faida yake
mke mmoja anatesa saana .anaua .,anaumiza.analiza 🙄🙄🙄
kwa mawazo yangu mimi swala la kuoa mke zaidi ya mmoja ni mila ya kizungu hiyo
sio kwamba ni mipango ya Mungu
kwa hiyo swala ili liangaliwe katika ukristo tutakuja kuuana bure na asira za kunyima tendo la ndoa
uku unakuwa unataka. mwenzako ambaye umemtilia mali , una mgharamia, anakuwa anakupangia kukupa haki yako. na ukianza kutoka nje ya ndoa inakuwa dhambi 😛😛😛 jamani mbinguni kutajaa vilema tu
sisi na wao tofauti ebu angalia kwenye maisha yetu ya kawaida mwanamke mwenye wanaume wengi anaitwa nani
na mwanaume mwenye wake wengi anaitwa nani
pia kuna swala la asili mwanamke mwenye wanaume wengi kupata mtu wa kumuoa ni shida ila ni sawa kama watakuwa ivo
Kama sitakuwa na uhakika DNA itahusikaUko sahihi ila ukiwa na zaidi ya Mume mmoja ukipata ujauzito utakuwA wa Nani?
Hili nalo neno.Upo sahihi maana hata mume mmoja hatoshi.
Angalau tumepata mtetezi😄Hili nalo neno.
Wanawake wapewe uhuru pia wakuwa na wanaume wengi kadriwatakavyo
Kabisa usijali mie nipo sambamba nanyi lazima mwanamke awe na uhuru wa kuwa na wanaume wengi maana kama genye ata wanawake wanazoAngalau tumepata mtetezi😄
Asante sanaKabisa usijali mie nipo sambamba nanyi lazima mwanamke awe na uhuru wa kuwa na wanaume wengi maana kama genye ata wanawake wanazo
🤣🤣🤣🤣Hutaki kuwa make ticha?Ndoa tena!