Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Alipenda sana Chama cha TANU na baadae ccm kuliko taifa.Katiba mbovu inayotusumbua hivi SS na huko kipindi cha nyumba katunga yy .
He was purely dictator , even him adimit it.
Nyerere ametusaliti sana
Yaani kwenye hotuba zake utaona jinsi anavyojali chama kuliko kitu kingine.
Ndio maana akakiundia Katiba inayokilinda miaka dahali