SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

Jaman mtoa mada katupa option mbili na kila mtu amejibu anavyoweza mimi siwez kurudiana na ex na had nakubali kuachana na wewe bas jua kweli umezingua na before sjachukua hayo maamuzi ya kukuacha hua nakupa nafas kibao utanikera kama nitaona namna gan yes nitakuomba tuyamalize haijalishi hata kama kosa umefanya wewe lakini niamini nikisema basi ujue nimetosheka na imetoka moyoni na nitakuacha uende kwa amani wala sitakusumbua kamwe zaidi siwez kukublock nitakuacha tu ila kukutumia msg sjui tumekaa miaka tuanze kuwasiliana turudiane au tucheze hizo mechi aisee naona kujishusha sana thamani yangu
Asante sana Madam s naenjoy majibu yako yote unayosema yapo moyoni kwangu
 
Wew kwenda jela wakati mwenzako anawwza chagua hata bora afe kuliko kukurudia siwez sikiliza upande mmoja shaaaaa kama nilikuwepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahah bora ufee kabisaaa
 
Kabisa yan niko hivyo, nitakupenda kwa moyo wangu wote, nitahakikiaha nafanya ninachoweza kilicho ndan ya uwezo wangu ili tu mahusiano yangu yawe strong, mimi ni yule mwanamke nitaomba samahani kwa makosa even sio yangu sababu sipendi malumbano kabisa, najua tutakwaruzana nitachukia lakini always naamini katika second chances, nitakupa nafas hata zaidi ya kumi najua utajirekebisha sitaweza kukuchoka kabisa na nutajitahidi kukuambia makosa yako, ila shida ikija nafanya vyote na bado unakuta mtu halipi fadhila, hakulipi hata jema unalomfanyia wala hakai akawaza kwamba huyu mwanamke ni wa pekee kwa kweli nikichoka moyoni nachoka mazima, yan hakuna kurudi nyuma, na baada ya kuachana sitakaa nikakutafta sitakaa, nitadili na mambo yangu sababu najua nimeanza maisha mapya nitajitahidi kumove on ilakamwe sikutafti kwanza unaweza nitumia msg na nisikujib vile vile kila kitu kinawezekana tukiamua
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Kabisa yan niko hivyo, nitakupenda kwa moyo wangu wote, nitahakikiaha nafanya ninachoweza kilicho ndan ya uwezo wangu ili tu mahusiano yangu yawe strong, mimi ni yule mwanamke nitaomba samahani kwa makosa even sio yangu sababu sipendi malumbano kabisa, najua tutakwaruzana nitachukia lakini always naamini katika second chances, nitakupa nafas hata zaidi ya kumi najua utajirekebisha sitaweza kukuchoka kabisa na nutajitahidi kukuambia makosa yako, ila shida ikija nafanya vyote na bado unakuta mtu halipi fadhila, hakulipi hata jema unalomfanyia wala hakai akawaza kwamba huyu mwanamke ni wa pekee kwa kweli nikichoka moyoni nachoka mazima, yan hakuna kurudi nyuma, na baada ya kuachana sitakaa nikakutafta sitakaa, nitadili na mambo yangu sababu najua nimeanza maisha mapya nitajitahidi kumove on ilakamwe sikutafti kwanza unaweza nitumia msg na nisikujib vile vile kila kitu kinawezekana tukiamua

exactly...

mwingine Ile mmeachana unavomtafuta tafuta sijui mameseji kibao ndo unampa kichwa unamvimbisha anajiona yesssss huyu kwangu hachomoi.........kula ngumu ngumu tu asee... experience the difference NAFIA JELAA.

wanaolia lia kwa ex zao nawadharaaaauuuuuuuu!!!!! Wanashindwa kukontrol hisia zao like no body like you ex my foot


Cc Smart911
 
Back
Top Bottom