SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

exactly...

mwingine Ile mmeachana unavomtafuta tafuta sijui mameseji kibao ndo unampa kichwa unamvimbisha anajiona yesssss huyu kwangu hachomoi.........kula ngumu ngumu tu asee... experience the difference NAFIA JELAA.

wanaolia lia kwa ex zao nawadharaaaauuuuuuuu!!!!! Wanashindwa kukontrol hisia zao like no body like you ex my foot


Cc Smart911
Picha linaanza mi ndo huwa nawaachaga halafu siku nikikaa nimemmiss ntajitumisha message yani hata kama umenimind nimekuacha utarudi tu. Mmoja ndo aliniachaga huyo na yeye nilikua namvimbia situmi message wala nini sema nikisoge pembeni naliaaa
 
Huu mtihani x yupi sasa maana wengine tuna maex wa kutosha ....
.
Any way kama nilimuacha Mimi Niko tayar kuolewa nae ila kama aliniacha bora nifungwe
Hahahahahahahah uwiiiii una ma x wangapi shooo sasa hapo ni mtihani loooh
 
My ex njoo tuyajenge tu japo nilikataa kuolewa tena na mahari nusu ulilipa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]njoo natoa mwenyewe mahari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha linaanza mi ndo huwa nawaachaga halafu siku nikikaa nimemmiss ntajitumisha message yani hata kama umenimind nimekuacha utarudi tu. Mmoja ndo aliniachaga huyo na yeye nilikua namvimbia situmi message wala nini sema nikisoge pembeni naliaaa
Hahahahahahah huu ujinga me nshawahi kumwacha mtu wakati nampenda mpk akili inasoma 0% aseee.....ila ye hakunipenda hata kidogo ...nilipiga moyo konde nikamwacha ....ila nikawa nalia tuuuu nilikondaaa ila sikumtafutaaaa nikakomaa hvyohvyo ......eti baada ya mwaka anakuja kuniomba msamaha uuuwiiii hahahahah
 
Back
Top Bottom