Uchaguzi 2020 Swali fikirishi: Je, kuna mtu timamu kiakili atamchagua John Magufuli licha ya ugumu wa maisha, uonevu kwa wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi?

Uchaguzi 2020 Swali fikirishi: Je, kuna mtu timamu kiakili atamchagua John Magufuli licha ya ugumu wa maisha, uonevu kwa wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi?

Swali fikirishi: Je, kuna mtu timamu kiakili atamchagua John Magufuli kwenya uchaguzi wa 2020 licha ya ugumu wa maisha aliousababisha, onevu kwa wafanyabiashara, kuminya uhuru wa kujieleza na kupata habari, kuminya demokrasia, kuwadhulumu na kuwaonea wakulima na wafanyakazi?

NAHITAJI MAJIBU
Magu anakubalika na wajinga tu, watu wasiojua ukweli wa mambo, wenye akili hawamkubali. Pia amekuwa mtu katili na mkabila sana hakuna mwenye akili atakayemchagua mtu wa namna hiyo.
 
Kama wewe hutompingia Kura kuna watu Milion moja WA ku- replace kakura Kako kamoja kalikopotea
 
Magu anakubalika na wajinga tu, watu wasiojua ukweli wa mambo, wenye akili hawamkubali. Pia amekuwa mtu katili na mkabila sana hakuna mwenye akili atakayemchagua mtu wa namna hiyo.
Una akili halafu unalialia kila siku huna solution we kila siku ni kulia tu .....na yule mpumbavu maisha yanaendelea bila stress
 
Umchague usimchague mshindi tayari anajulikana. Binafsi sioni hata maana ya kupiga kura
 
Ugumu wa Maisha kama unalala na kufikiria chakula kitashushwa toka mbinguni, demokrasia ya jinsia moja sio hulka zetu na huwezi kufa au kutetereka ki afya kwa kukosa starehe ya jinsia moja, kuhusu kodi weka mahesabu yako vizuri tutakuwa na shida na tra, Habari Mimi ninazipata kwa njia nyingi tu sio via tbc only , na hapa tunachangia freely nyingine habari za uongo, zingine za kubomoa basi bora liende ndivyo unavyotaka , uwe Mwalimu n.k umekosa ajira serikalini au unaona mshahara mdogo nenda Private au anzisha shule yako n.k
Mkuu tupendi tadhimini ,hapa kazi tu kwa miaka mitano imetufikisha wapi? Kumbuka GNI yetu imepanda kwa TZS 200,000 in five good year chini ya mchapakazi wetu Magufuli
 
Mkuu unajua Ethiopia wanavitu vyote anavyojigamba navyo Magufuli tena wanavyo kwa mamia,na vikubwa na vingi na still wanakamatwa kwenye malori na makontena wakitoroka nchi?mtu yeyote mwenye akili,anajua vitu havijawahi kuwa Maendeleo,bali vitu ni matokeo ya Maendeleo,i.e anaendelea kwanza mtu then vitu ndo vinafuata
Kwa mawazo yako nafikiri kura yako ni kwa Hahim Rungwe - unataka kula hutaki kufanya kazi! Na vitu huvitaki kula ubwabwa tu!
 
Una akili halafu unalialia kila siku huna solution we kila siku ni kulia tu .....na yule mpumbavu maisha yanaendelea bila stress
Maisha ya mpumbavu ni rahisi sana, hajui atakula nini mchana huu lakini anachukulia poa tu, sivyo kwa wenye akili.
 
Maisha ya mpumbavu ni rahisi sana, hajui atakula nini mchana huu lakini anachukulia poa tu, sivyo kwa wenye akili.
Basi ana maisha mazuri........lengo la kua na akili ikusaidie kupata solution ya matatizo yako......shida wanaosema wana akili ndo hao kila siku ni lialia sasa akili za nini kama wanashindwa kupata solution ya vilio vyao kila siku
 
Akili ,mwenye akili wote wanajua namna Magu alivyoturudisha nyuma ama kwa incompetency yake au ushamba alionao.wenye akili wanajua Magu hatoshi,lakini pia Tanzania si kisiwa lazima tujifunze kwa wengine pia na ndo maana sisi ni signatory wa EAC,SADC etc
Wewe ndio unaonyesha akili yako haina akili, kuwekewa miundo mbinu ni kurudishwa nyuma ???
Kutengeneza barabara zilizo standard ni ushamba?? Basi wewe utakuwa mshamba zaidi yake
Ukija kwenye eac, sadc n.k ni jumuiya za kujengana kiuchumi kwa kufanya biashara nao, na ili uweze kufanya hivyo kuna competition ya quality na price , ndio itakayo kuwezesha kupita ktk soko hilo.
Na serikali yetu ndio inafanya hivyo kwa kupitia wewe na Mimi, kuuza bidhaa zetu kwenye hizo blocks na ukienda further ni kwamba anataka mahusiano hayo yawe yana usawia kwa pande zote na sio kuwa unawapa advantage wengine, na kuwa shusha au kuwa undermine wengine.
Sasa kama wewe huelewi hayo akili zako zitakuwa zimechukuliwa au kuazimwa na jirani
 
Paschal unajipaka kinyesi kwa kutetea vitu vya ajabu.Yaani mtu na akili zako timamu umpe kura Magu ? Kwa sababu zipi hasa? Ndege 11? Bwawa ambalo lipo 20% kwenye ujenzi wake au reli ambayo ndo kwanza kipande Cha Moro dar kipo 50% ya ujenzi wake?
Ni mara elfu kura apewe huyo anayenunua ndege kuliko yule dalali wa wazungu anayetaka kura za huruma.
 
Muulize mtoto yoyote kama anamjua Tundu Lisu halafu nipe majibu. Wapiga kura wengi vijana pia hawamjui kabisa afadhali legendari mzee wa ubwabwa huyo at least atapata kura kumzidi Tundu Lisu.

Tutamchagua Magufuli, hali yetu ingekuwa mbaya ile Corona ungekuta wengi tuna haki mbaya kiuchumi.
Tutamchagua, maana anashughulika na matatizo makubwa, bwawa likiisha umeme utashuka bei, miundombinu ya reli toka mkoloni ni yeye kaiboresha TRC tumerudi kazini.
Tutamchagua sekta ya madini tunaona jinsi imekuwa vizuri.
Tutamchagua kwa kuwa watoti wetu wanakwenda shule.
Tutamchagua kaondoa tozo zilizosumbua wakulima kwa muda mrefu.
Tutamchagua maana wamachinga hawasumbuliwi tena wana vitambulisho.
Tutamchagua kaleta heshima na uwajibikaji kwa watumishi
Tutamchagua, rasilimali za nchi zinalindwa hatusikii uharamia tena kwa wanyama pori.
Tutamchagua maana ujambazi umepungua sana, amani inatawala.
Tutamchagua maana huduma ya afya imekuwa imara na analeta bima kwa kila Mtanzania

Tutamchagua ili kazi iendelee

Tutachagua na wabunge wa CCM na madiwani wa CCM kama tulivyochagua wenyeviti wa mitaa wa CCM
 
Mkuu unajua Ethiopia wanavitu vyote anavyojigamba navyo Magufuli tena wanavyo kwa mamia,na vikubwa na vingi na still wanakamatwa kwenye malori na makontena wakitoroka nchi?mtu yeyote mwenye akili,anajua vitu havijawahi kuwa Maendeleo,bali vitu ni matokeo ya Maendeleo,i.e anaendelea kwanza mtu then vitu ndo vinafuata
"vitu havijawahi kuwa Maendeleo,bali vitu ni matokeo ya Maendeleo,i.e anaendelea kwanza mtu then vitu ndo vinafuata " Duuuuuu hivi maendeleo yanapatikana bila vitu... Unaweza kupata ugali bila kuwa na jembe, mbolea, n.k. Unaweza kupata dawa bila viwanda, hospitali, n.k.; unaweza kupata nyumba bila viwanda vya saruji, mabati, n.k. Mwisho wa siku hivi vyote utavipataje bila miundombinu ya barabara, umeme, maji,... Magufuli anafanya vitu hivyo vyote ambavyo vinaleta tija kwa wale ambao wanakubali kufanya kazi kama vile misahafu yote inatuasa kufanya kazi. Ndugu yangu usitegemee UTAJIRI utakuja kama mvua ila kwa kazi. Usiwasikilize hao wanaokuahidi pesa mfukoni bila kufanya kazi. HAPA KAZI TUU. Magufuli miaka mitano tena.
 
No wonder nchi hii na watu wake ni mafukara,tubashangilia kuingia kipata Cha wastani wa TZS 2,360,000 kwa mwaka kwenye nchi yenye kila aina ya resources.Kumbe ufukara wetu unasababishwa na watu wengi including you kuwa na akili za kuvukia barabara tu masikini
Watu hatufanani, shida yako unapambana na mpango wa Mungu!
 
Watu hatufanani, shida yako unapambana na mpango wa Mungu!
Nimependa jibu lako, na ndiyo ukweli wenyewe! Wakati sisi tunapanga vipato vyetu,na yeye Mungu anatupangia riziki zetu!!
 
Swali fikirishi: Je, kuna mtu timamu kiakili atamchagua John Magufuli kwenya uchaguzi wa 2020 licha ya ugumu wa maisha aliousababisha, onevu kwa wafanyabiashara, kuminya uhuru wa kujieleza na kupata habari, kuminya demokrasia, kuwadhulumu na kuwaonea wakulima na wafanyakazi?

NAHITAJI MAJIBU
Mimi ni mwanaCCM ila kwa kilichofanyika kwa kipindi cha miaka yake 5 kura yangu hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mara elfu kura apewe huyo anayenunua ndege kuliko yule dalali wa wazungu anayetaka kura za huruma.
Kwani huyu aliyenunua ndege ndo procurement officer wa serikali au yeye alikuwa dalali tu wa Boeing? By the way Lissu ni dalali wa wazungu kwa kuwa katibiwa huko belgium au kwa kuwa wakili wake ni Amsterdam? Je kikwete anayemfanyia kampeni Magufuli huku akiwa alitibiwa John hopkings au mwalimu aliyetiwa St.thomas walikuwa mawakala wa nani? Course walikuwa Marais wetu
 
Watu hatufanani, shida yako unapambana na mpango wa Mungu!
Uchumi wa kati wa kipato Cha milioni mbili kwa mwaka ulitangazwa na WB na kupigiwa chapuo na Magufuli mkuu.binafsi napata USD 58000 kwa mwaka,nipo kipato Cha kati
 
Back
Top Bottom