Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Akili ,mwenye akili wote wanajua namna Magu alivyoturudisha nyuma ama kwa incompetency yake au ushamba alionao.wenye akili wanajua Magu hatoshi,lakini pia Tanzania si kisiwa lazima tujifunze kwa wengine pia na ndo maana sisi ni signatory wa EAC, SADC etcUtimamu wako unatokana na unavyoyajua ya Ethiopia?