Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

Wachezaji walewale

Usichanganye - kama focus ni siasa, basi focus kwenye siasa… wabunge, wenyeviti wa chama, makatibu, watendaji, na nafasi zote za siasa ni walewale

Tatizo mnajipiga chenga wenyewe… hamko clear mnataka nini

Change iliyopo haizidi hata 10%

We need to go deeper kama Kweli tuko serious

Or else kelele ni justification ya kushindwa kutoa solutions na kuanza kulaumu wenhkne

Mtikila alikua ahead of his generation
Sawa tukubaliane hivyo hivyo kuwa wachezaji ni wale wale ila kocha ni tofauti.
Kocha aliyepita mimi namuona alikuwa bora kuliko wenzake wengine.
Kosa alilofanya ni kudhani anaweza kupata ushindi akiwa na team ileile.
Km angestuka na kuanzisha team yake angeng'ara zaidi.
Tuachane na hayo tudeal na yajayo.
Tunatokaje kwenye mkwamo huu?
 
Sawa tukubaliane hivyo hivyo kuwa wachezaji ni wale wale ila kocha ni tofauti.
Kocha aliyepita mimi namuona alikuwa bora kuliko wenzake wengine.
Kosa alilofanya ni kudhani anaweza kupata ushindi akiwa na team ileile.
Km angestuka na kuanzisha team yake angeng'ara zaidi.
Tuachane na hayo tudeal na yajayo.
Tunatokaje kwenye mkwamo huu?
I don’t disagree with you…

But I would like to challenge… kama kikosi imara kinasukwa na kocha imara…. Je tunalaumu kikosi au kocha?

Hasa ukizingatia kwamba kikosi kilisukwa Kitemi sana

Take home: tuweke siasa pembeni…. Utaona changes kubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Ongeza ripoti ya CAG huleta mambo yaleyale kila mwaka na hakuna hatua inayochukuliwa
 
Nakazia kua hakuna.mambo ambayo tunaangaika nayo sasa yalitakiwa yawe yamekwisha fanyika yakasahaulika kama changamoto miaka 20,30 baada ya kupata uhuru.Lakini utashangaa yale ambayo aliyaorodhesha Mwl.Nyerere kama maadui bado yapo na yameongezeka mengine.Sasa kama yale ya Nyerere tu yamewashinda nini watakiweza.Ata wakiwepo miaka elfu bado hawatakua na jambo lakustaajabisha.Yatakua haya haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm ni ile ile na vioja vyao ni vile vile.
Baba alikuwa mwizi akamrithisha mtoto madaraka.
Mtoto anapambana kuwa zaidi ya baba. Yaani kuwa mwizi zaidi ya baba yake. Ndicho alichojifunza kwa baba yake.
Tatizo lililopo hapa Tanzania CCM wanacheza pande zote.
Wao wenyewe ndio watawala vilevile wao wenyewe ndio wapinzani.
Watanzania wapo tayari kwa mabadiliko ila hakuna kwa kubadilikia.
Mzee Mwanakijiji, na mzee@Dr slaa rudini kwenye siasa active mtuokoe, Nchi inazidi kupotea hii.
Kuna kizazi hiki cha 2000's kilichonyimwa elimu ni hatari zaidi.
Kwanini uone watu fulani ndio wakuweza kuleta mabadiliko na sio wewe?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakazia kua hakuna.mambo ambayo tunaangaika nayo sasa yalitakiwa yawe yamekwisha fanyika yakasahaulika kama changamoto miaka 20,30 baada ya kupata uhuru.Lakini utashangaa yale ambayo aliyaorodhesha Mwl.Nyerere kama maadui bado yapo na yameongezeka mengine.Sasa kama yale ya Nyerere tu yamewashinda nini watakiweza.Ata wakiwepo miaka elfu bado hawatakua na jambo lakustaajabisha.Yatakua haya haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
🎯

Tukifanikiwa kudefine UJINGA kWa muktadha mzima…. Na kupambana naye, tutakua tumeua 80% ya dhiki zetu
 
Kwanini uone watu fulani ndio wakuweza kuleta mabadiliko na sio wewe?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji watu wenye nguvu ya ushawishi kutuunganisha kwa umoja.
Mimi uwezo wangu unaishia kwa baadhi ya wanafamilia yangu na wengine mmoja mmoja.
Sina platform ya kufanya zaidi.
 
Mumeanza kwa kisingizio cha demokrasia. Kama CCM ndio hiyo hiyo haijabadilika. Huyu MMM wakati wa Marehemu Magu alikua muungaji mkono mkubwa. Swali anasimamia wapi? Wakati wa Mkapa akitupa pongezi nyingi lkn alipokuja Jk kawa mkosoaji mkubwa.
CCM ndio hiyo
Kha..usinisingizie..unajua kwanini Kiwira ilirudishwa...au hata hukumbuki tulianza lini. Search humu Jina langu na Mada za Mkapa...
 
Ukosefu wa usimamizi mzuri wa ilani za chama ndiyo lawama zote zinadondokea CCM inastahili kuzipokea , itakuja wakati atatokea kiongozi mkali Kwa vitendo na mwenye utu (nakala ya Hayati JPM +) aupige Chini mfumo wa kujuana/kulindana uliopo ndani ya chama na kukigeuza juu Chini kisha kufuma upya hapo hakika kadhia zote hizi za sukati, umeme , maji, Miundombinu , ustawi wa jamii, na mengine vitakwisha kabla jogoo kuwika.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Rudi CHADEMA. Mwenzako Dr. Slaa anazidi kujisogeza ofisi mpya za Mikocheni

johnthebaptist
 
Kha..usinisingizie..unajua kwanini Kiwira ilirudishwa...au hata hukumbuki tulianza lini. Search humu Jina langu na Mada za Mkapa...
Kwanini baada ya JK Ukaunga mkono saba JPm. Lkn baada ya kuja dkt Samia ukarudia kama enzi za Jk. Ccm sio ndio hio hio?
 
Mhh hata kamchezo ka shwaru? Mbona uku km wabobezi
Yaani hawana jambo lolote la maana

Umeme shida
Nida shida
Elimu shida
Afya shida
Barabara mbovu
Sukari shida

Hawana kit
 
Back
Top Bottom