Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

Swali Fyatu: Kwani Tatizo Gani Wameweza Kulitatua Likaisha?

Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Mpunga mliopewa kama cha juu na awamu ya tano uliwafanya mkatamba sana, bahati mbaya ahadi mlizotimiziwa ni asilimia 0.0005
 
CCM ni mavi matupu, hakuna kitu imefanya ambacho itasimama ijivunie, kitu pekee labda wanaweza kujivunia ni kuzalisha kizazi cha vijana machawa ambao kaz yao ni kupambania matumbo yao na ahli zao. Miaka 63 ya Uhuru bado kila kitu ni tatizo, kuanzia umeme, maji, upatikanaji wa bidhaa muhimu ebu semeni nini tumefanikiwa? Taja moja tu
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Mzee wewe ni miongoni mwa watu waliotuingiza chaka kwa JPM... ccm was supposed to go to the dustins
 
Niliwahi kuambiwa na kiongozi wa serikali eti Mambo ya serikali huwa hayaishi.
 
Watanzania pia wajue kama wakosoaji ni wale wale, wenye ukosoaji ule ule, wakikabili makosa yale yake kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi za kukosoa tena?AU watafutwe wakososaji wengine ili tupate watawala wengine?
 
Umepita lini barabara ya Dodoma Hadi Mwanza?
Tuanzie hapo kwanza
Si unaona ulivyo mjinga, barabara ya dodoma-manyoni-singida-igunga-nzega-shinyanga ilikamilika kujengwa 2005,ilianza 2001,nimepita hiyo njia kila mwaka ikiwa vumbi mpaka Leo lami,igunga nzega kipande kilichochakaa zaidi kilifanyiwa ukarabati 2019-21,nzega-shinyanga ni lami ya mfano hata madereva wanaipenda,singida-manyoni-dom Pako poa kabisa
 
Si unaona ulivyo mjinga, barabara ya dodoma-manyoni-singida-igunga-nzega-shinyanga ilikamilika kujengwa 2005,ilianza 2001,nimepita hiyo njia kila mwaka ikiwa vumbi mpaka Leo lami,igunga nzega kipande kilichochakaa zaidi kilifanyiwa ukarabati 2019-21,nzega-shinyanga ni lami ya mfano hata madereva wanaipenda,singida-manyoni-dom Pako poa kabisa

Unaweza kuniita vyovyote unavyotaka na haunisumbui.

Barabara zimeanza kusumbua tokea zinajengwa ukarabati tulianza awali kabisa.

Namie napita Kila mwaka sio zaidi ya Mara moja, nnachokisema nakifaham.

Ubora wa hiyo barabara unategemea mkandarasi Gani alipewa kufanya kazi.

Unaongelea nzega, mbona hausemi Kibigiri hadi Igunga?

Kwa kuongezea, mjinga sio kitu kibaya.
 
Bahati nzuri kwao tayari walishajenga mfumo wa chama kimoja kwa kutuletea demokrasi feki,wananchi hatuna sauti wala mamlaka ya kuwawajibisha.
 
Unaweza kuniita vyovyote unavyotaka na haunisumbui.

Barabara zimeanza kusumbua tokea zinajengwa ukarabati tulianza awali kabisa.

Namie napita Kila mwaka sio zaidi ya Mara moja, nnachokisema nakifaham.

Ubora wa hiyo barabara unategemea mkandarasi Gani alipewa kufanya kazi.

Unaongelea nzega, mbona hausemi Kibigiri hadi Igunga?

Kwa kuongezea, mjinga sio kitu kibaya.
Napita Mara kwa mara,nimekwambia igunga inafanyiwa ukarabati
 
Na. M. M. Mwanakijiji

....nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu
Hapa hujawatendea haki, suala la mafao/ustaafu limepatiwa suluhu!

Ni ile sheria ya kuwalipa watu waliopendana mmoja akawa kiongozi , wakiita sheria ya mafao ya wenza

Suluhu ipo, tafuta sheria na waulize wenza wa Viongozi.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Habar yako bwana Lugusi
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Wameweza kuondoa umasikini kwenye familia zao, wanazo nyumba Dar, Dubai, Cape Town, Hong Kong na Dodoma. Nyerere alikuwa na kijumba chake cha kiualimu pale Mwitongo na nyumba Msasani.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna mambo mengine yakijirudia unaweza ukafikiria bado uko ndotoni. Maana kuna baadhi ya ndoto zinajirudia rudia hata kama huzitaki. Wengine wanaita "jinamizi". Zinakuja zinatisha halafu unashtuka unasema "duh hii ndoto hii!". Unarudi kulala unafikiri itapita; kumbe ukisinzia tu jinamizi linaanzia pale lilipoishia!

Fikiria mambo ya Bodi ya Mikopo unaweza ukafikiria hili tatizo lingekuwa limeisha zaidi ya miaka ishirini toka tulipolivalia njuga suala la vijana wetu kule Ukraine enzi hizo. Suala la Sukari ni hivyo hivyo, toka miaka ya tisini bado tunazunguka nalo tu; kila baada ya muda linaibuka tena! Hapa naogopa hata kutaja suala la umeme. Yaani, unaweza kuamka asubuhi ukafikiria uko mwaka 1996! Sijagusa suala la uhaba wa fedha za kigeni, naogopa kuuliza kuchelewesha mishahara, nashindwa kuzungumzia mafao ya wazee/wastaafu, na hapa hatujataja suala la ajira kwa wahitimu.

Yaani, ukisoma sasa kuhusu "tuko mbioni", "serikali inajipanga", "tuko tayari kuanza kutekeleza", "tumetoa siku kadhaa hili liwe limeisha".. yaani, unaweza kukuta watu wanapiga makofi wakisahau kumbe baba zao na mama zao na wenyewe walipiga makofi miaka thelathini iliyopita kushangilia matamshi yale yale yaliyotolewa na watu wale wale kwenye matatizo yale yale!

Watanzania ni lazima waamue kama watu wale wale, wenye mipango ile ile, wakikabili matatizo yale yale kwa namna ile ile wanastahili kupewa nafasi zile zile za kuongoza tena! Nje ya hapo ni lazima tujiulize labda kuna vizazi vitaendelea kutushangaa sana kwanini tumeendelea kuwa vile vile! Kwani, matatizo gani wamewahi kuyatatua yakaisha kabisa? Yaani, watakuja tena kuomba miaka mitano mingine na tena wana ujasiri wa kuimba "CCM ni ile ile!"

Kwanini matokeo yasiwe vile vile?
Ccm ni ile ile ooh ni ile ile
 
Wameweza kuondoa umasikini kwenye familia zao, wanazo nyumba Dar, Dubai, Cape Town, Hong Kong na Dodoma. Nyerere alikuwa na kijumba chake cha kiualimu pale Mwitongo na nyumba Msasani.
Na kuongeza watoto wa maskini wadangaji na wanaojiuza
 
Back
Top Bottom