Swali Fyatu la Mwezi: Wakimpa Sifa Zake, Watapunguza za Kwao?

Zi
Nimeupenda huo mstari, nitakuandikia.
Miongoni mwa makala ninazo zimisi kwenye local media yetu ni gazeti la Cheche, na makala za MM Mwanakijiji na Lula wa Ndali Mwananzela.
P
Zimeflop. Au ndiyo kuvishana vilemba vya ukoka, sukuma boyz?

Kulazimisha kusifia pasipo sifika.
 
Hayo kamweleze niliyemjibu, akitajwa Mwinyi kwenye post imemsifu nami nikiunga mkono iwe mwao? khee!
 
Dunia ni pahala pa Shetani kwahiyo usiogope kufa
Labda siyo Muislam anaeigopa kufa.

Ukisema Duniani ni pahala pa shetani nashindwa kukuelewa. Kwa Ufahamu wangu ushetani ni sifa.

Kawaulize waliofukuzwa kazi kinyume cha sheria wakati wa Magufuli, ni nani dhetani, watakueleza.

Hao hao kawaulize, baada ya kurudisha kazini, ni nani malaika, watakwambia ni mama aliyewarudisha kazini.

Hapewi mtu sifa za kinafik.
 
Magufuli huyu Huyu aliyeingizwa ndani ya Msikiti mkuu wa Bakwata pale Kimbweru Kinondoni na Mufti Aboubakar kukagua Ujenzi na kuombwa ushauri wa namna ya kuuboresha zaidi?!
 
Magufuli huyu Huyu aliyeingizwa ndani ya Msikiti mkuu wa Bakwata pale Kimbweru Kinondoni na Mufti Aboubakar kukagua Ujenzi na kuombwa ushauri wa namna ya kuuboresha zaidi?!
Unafikiri shetani atawafata watu bar? Kwani unamfanya shetani ni mjinga akapoteze muda kwa mashetani wenzake?
 
Mama umekosea sana kuwapa yanga ndege yako watalitia aibu taifa


Si kwa ubaya mama heshima ikiwa imefwata mkondo
Ni maoni yangu tu mimi mtanzania mnyonge
Mama Samia kafanya la maana sana kuwapa Yanga ndege, kaitendea haki fainali.

Faida gani ya kuwa na ndege zetu wenyewe halafu Yanga wanaenda kupeperusha bendera yetu waende kwa kuunga-unga? Fikiri.
 
Nani kapinga asisifiwe? Tunachokisema, ni watu wasilazimishe asifiwe kama alivyofanya mleta mada.

Kwa nnayoyaona mimi, binafsi, inayofaa kumsifia ntamsifia na nnayoyaona hayafai kumsifia simsifii. Simpo. .
Mleta mada ana mapungufu makubwa sana. Halafu bado mimi hajanishawishi kama kuhamia Dodoma ni jambo la kipaumbele kiasi hicho kwa nchi yetu!!. Kwanini tusingejenga Ikulu kama ya Dar-es-Salaam tu? Tunakwenda kujenga Ikulu kubwa mara 200 zaidi ya ile ya Dar?

Halafu mnataka tumsifie kwa hilo?
 
Kariakoo imeshamiri kwa sasa tofauti na wakati wa jiwe ambapo wengi walikimbia. Mpuuzi sana yule jamaa
Nimekuwambia nenda kule ,juzi ulona wafsnya biashara indirect wanamnanga tu huyo mama ,kupitia mawaziri wake kama akina mwingulu
 
Hujuwi wasukuma kwa kupenda makubwa?

Mpaka leo hata akienda dukani kununuwa redio anataka ule mredio mkubwa, haelewi kuwa yale mabamba tu. Dunia ya sasa kila kitu ni compact.
 
Enzi ya Kikwete ndio yeye alihakikisha kinaanzishwa chuo kikuu cha Dodoma, kuna mahala unasema hukumbuki Kikwete kafanya nini juu ya kuhamia Dodoma, umefeli sana

Kuanzishwa kwa chuo kikuu cha Dodoma ilikuwa na lengo ya kufanya Dodoma iwe na wasomi wakaazi wa hapo kama ambavyo Dar ilivyojaa maprofesa wasomi wenye tafakuri wa chuo kikuu cha Dar es Salaam

Kikwete ndio alianzisha mamlaka ya kuendeleza mji mkuu, waliita Dodoma nini sijui, juzi kati tu hapa Dodoma ilipokuwa jiji ndio mamlaka hayo yakahamishiwa kwenye mamlaka ya jiji la Dodoma

Hata angemaifia kuna watu wangesema oo mlikuwa wapi kipindi yuko mzima na wengine mngesema kuwa ni mnafiki

Acha zako
 
Wewe wasema. Ila kwangu nasema kila Mtanzania ajipige kifua mara 3 aseme "Asante Mungu kwa kutuondolea DIKTETA, Jitu DHALIMU na KATILI".

Mungu anatupenda watanzania, kwa kuwa Kikwette na CC ya CCM walikosea kumpitisha kuwa mgombea wa Urais lakini Mungu kwa vile anapenda nchi yetu akasahihisha pale tarehe 17/ 03/ 21.
 
Mzee mwanakijiji,

Wapo humu chawa na wenye ujasiri wa kuforge cheti, anawezaje kubali kumsifu mtu mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…