Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Hapana sina tatizo na KGB kuwa nchi nyingine,hata hilo la rais wa zamani wa Ukraine sina wasiwasi nalo,kitu nisichoamini ni kuwa KGB waliratibu kuvunjwa kwa USSR,hebu funguka zaidi hapo mkuu.
Ni sawa na kusema uisambaratishe familia yako ili kesho uje kuitengeneza upya! Apa sijui utakuwa unatumia akili za wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ushahidi mdogo unakumbuka rais wa ukraine aliyetoka kabla ya huyu? alikuwa ni KGB na alikimbilia Russia mpaka leo. sasa ina maana kuna mapandikizi Ukraine mpaka leo ndani ya serikali
Mpaka petro anahisiwa ni jasusi wa urusi pia usa wanajua kuwa Ukraine ni chimbo la
Majasusi wa urusi that why wanasita kumuingiza NATO

Pia kaimu wa ujasusi wa Ukraine mwaka jana alikimbilia urusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu humu wanajua historia aiseee..hongereni sana....
Linapokuja suala la Russia na USA kuna mtu mmoja alikua anaitwa Dotworld kitu kama hicho..humu jamii forum....sijui alienda wapi huyu nae...maana alikua anatema cheche hatari....
 
Mkuu umefungka knyamaaa Big Up
 
Huku hukupita aisee
Ndo hivyo yaani... lakini sikushangaa sana manake kuna wakati niliwahi kuhoji kwa mods hapa how come notifications zako huwa sizipati! Yaani in most cases, kuona ulichoandika ni lazima ni-view jina lako na kuangalia "current posts"!
 
Wala sio swali gumu mzee.The answer is simple and straightforward. Soviet Union iliyosambaratika under Gorbachev sio hii ya sasa mkuu.Soviet Union ya Putin ime-imarika sana,it is again a super power,kwa hiyo NATO hawawezi kuichezea.
 
Waliokua na akili urusi na Jews hawapo Tena wameondoka, ndomaana Leo hii Russia kiuchumi gdp imezidiwa mpaka na Canada, anajua urusi ni kuwekeza kwenye Vita na silaha
 
Wala sio swali gumu mzee.The answer is simple and straightforward. Soviet Union iliyosambaratika under Gorbachev sio hii ya sasa mkuu.Soviet Union ya Putin ime-imarika sana,it is again a super power,kwa hiyo NATO hawawezi kuichezea.
Super power kivip nawakati kiuchumi gdp amepitwa mbali sana, kinachomfanya marekani awe kama alivyo na utemi kwa sababu ana gdp kubwa, anaweza sema mtu Fulani asifanye biashara na nchi fulan na nchi zote zikatii acha stori za vijiweni ndugu
 
Enzi hizo USSR ipo, USSR GDP ilikuwa theluthi mbili ya GDP ya USA ,USSR ilikuwa na GDP kubwa , per capita GDP kubwa kuliko India, China

Leo hii GDP ya Urusi haiachani ktk GDP na nchi kama Brazil, Australia, Mexico,Uturuki

Wanaosema hali chini ya Putin imeimarika hawajui wanaloliongea, Russia leo kapitwa per capita GDP na nchi nyingi sana duniani hadi Taiwan,nchi zilizo katika hali mbaya kama ugiriki, Ureno etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 

well said mkuu!
umeongea kweli tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…