Hahahaha nimecheka kama mazuri Ila yote Kwa yote binadamu wachache sana wenye kushukuruUkiwa unatenda wema na kutarajia urudishiwe chochote huo hukuwa unatenda wema bali unafanya biashara
Mm kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa inatakiwa afanyiwe operations mbili moja ya kongosho na nyingine ya tezi dume na alikuwa na sh 60000 but gharama za pale kcmc hospital ni 2.3ml
Nkaampa bima yangu akafanyiwa operations zote hizo kwa bima yangu,nilijitoa tu kama rafiki wala sikuwa natarajia chochote kutoka kwake
Alivyopona akanitoa na konyagi ndogo ya 3500,
Ila mpaka Leo akiniona ananikimbia cjui ni kwa nn?
Acha uchu wewe mhuni[emoji3][emoji3][emoji3]Utakua mrembo Sana basi..
inapendeza sanaHata Wana wa Israel walikuwa wanashushiwa chakula na Mungu lakini bado hawakuridhika wakawa wanamwmbia Musa mwambie Mungu wako tumechoka chakula cha kushushiwa tunataka tupike wenyewe...
Ungesema hivi kabla ya kusaidiwa?Usitegemee shukran toka kwa uliyemsaidia na ukisaidiwa move on. Kwanza tabia za kusaidiana saidianabzinachangia uvivu na kuchochea utegemezi.
Wewe ni mjinga , am sorry.Zamani sana bendi moja hapo Dar: ama Dar es salaama Jazz au Western Jazz iliimba kuwa "Tenda Wema, nenda zako, usingoje shukurani". Maudhui ya wimbo huu yamesharudiwa na waimbaji wengi sana siku za hivi karibuni.
Mimi ni mtu wa makamo sana wakati huu na katika maisha yangu nimeshasaidia watu wengi sana, jambo ninalojivunia mno. Kila msaada ninaotoa huwa ina maana ya mimi na familia yangu kujinyima ili tuwasaide wengine, siyo kwamba huwa nina dimbwi kubwa la pesa za kuchota bure bure bure.
Sasa kinachonishangaza ni kuwa ndugu na marafiki wengi niliowahi kusaidia huwa hawaonyeshi shukrani yoyote ukilinganisha na wale ambao huwa sina uhusiano nao. Ndugu na marafiki huwa wanataka zaidi wala hawawezi kutosheka na msaada, na ikitokea nikasema sasa msaada niliokwishatoa unatosha inabidi ajiendeleze mwenyewe, basi wananilaumu kama vile kile nilichokwishawafanyia siyo kitu kabisa. Yaani wanakuwa wananiongea vibaya tu bila shukrani yoyote.
Ni wapi ninapokosea katika kusaidia ndugu na marafiki ili watambue msaada wangu kwao?
Kuna mmoja nilimlipia mtoto wake kwa miaka minne mfulizo chuo kikuu cha dar es salaama wala hakuchukua mkopo wa serikali, akamaliza na 3rd class. Sasa mtu huyo ananilaumu kwa nini simsaidii mtoto huyo kusoma masters! Kibaya anatumia lugha mbaya kuwa nina wivu sipendi watoto wake waendelee kama mimi wakati bado ninasaidia mtoto wake mwingine ambaye yuko sekondari ninayomlipia mimi!!
kwenye bima kumbe inawezekana hapo?Ukiwa unatenda wema na kutarajia urudishiwe chochote huo hukuwa unatenda wema bali unafanya biashara
Mm kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa inatakiwa afanyiwe operations mbili moja ya kongosho na nyingine ya tezi dume na alikuwa na sh 60000 but gharama za pale kcmc hospital ni 2.3ml
Nkaampa bima yangu akafanyiwa operations zote hizo kwa bima yangu,nilijitoa tu kama rafiki wala sikuwa natarajia chochote kutoka kwake
Alivyopona akanitoa na konyagi ndogo ya 3500,
Ila mpaka Leo akiniona ananikimbia cjui ni kwa nn?
Sukutegemea matusi hapa, ila hata Bill Gates hutoa sana misaada duniani kote. Sina uwezo wa Bill Gates, hivyo misaada yangu nikawa ninaweka kwenye ukoo tu. Kama huo ni "ujinga+- ambalo mimi naona kuwa ni tusi, basi samahani sana.Wewe ni mjinga , am sorry.
Una kipato kizuri na una roho nzuri ila umeshindwa kujua kuwa ndugu wa Kiafrika ni nusu mtu nusu shetani.
Huo ndio ujinga wako
Kuna kipoint nimekinyaka hapa🤗Tofauti ni scenario tu ila context ni ile ile.
Lea nuclear family kwa nafasi, acha kuwabana eti unasaidia.
Usitegemee shukran toka kwa uliyemsaidia na ukisaidiwa move on. Kwanza tabia za kusaidiana saidianabzinachangia uvivu na kuchochea utegemezi.
Ukishikwaaaaaaa!ukishikwaaaa!kwenye bima kumbe inawezekana hapo?
Bora wewe! Narudia bora ndugu zako!Ndugu nimewachoka sana miye sasa hv naishi nao km hawapo
Bwana wee..bwana weee ..ngoja niishie hapaWeka nia ya kupata malipo kwa Mola wako kwa Wema ufanyao
Si bora wewe hawaoneshi shukran…mwingine anasema kabisa Jamaa Misifa sana anapenda kujifanya anazo
Au Ukiyumba utaskia Kiko wapi…enzi hizo ukimuomba elf 10 anakupa 20
Ukiwa unatenda wema na kutarajia urudishiwe chochote huo hukuwa unatenda wema bali unafanya biashara
Mm kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa inatakiwa afanyiwe operations mbili moja ya kongosho na nyingine ya tezi dume na alikuwa na sh 60000 but gharama za pale kcmc hospital ni 2.3ml
Nkaampa bima yangu akafanyiwa operations zote hizo kwa bima yangu,nilijitoa tu kama rafiki wala sikuwa natarajia chochote kutoka kwake
Alivyopona akanitoa na konyagi ndogo ya 3500,
Ila mpaka Leo akiniona ananikimbia cjui ni kwa nn?
Duuuh pole sana, miye hadi wanajua kuwa sitaki masihara nao. Jibu langu moja tuu ICU, kuna last born wetu amepata kazi huko Bakharain wanamtafuta hata kuniuliza wanashindwa. Na mzee alipofariki wanamtafuta kuniuliza wanashindwa wanabaki kunikodolea macho. Miye kimya km askari kakosa posho washenzi sana hawaridhiki kila ukifanya padogo.Bora wewe! Narudia bora ndugu zako!
Dadangu ananifanyiaga figisu za ajabu ....yy figisu zake anachotaka anione nikiwa OMBA OMBA kama yeye !aliwah mwambia beki 3 atafute kwa hali na mali leseni yangu ya madini sijui alitaka aifanyie nn!!..🙌🙌...majuzi changamoto ya upumuaji ikanipata naskia akawa anasema ehee . Naskia corona haitibiwi kwa bima🤣! Akihisi nitasanda chaaa!