Swali Gumu: Kwanini kila ninayemsaidia huwa hana shukrani?

Inaonekana unajali sana maneno ya watu/ndugu

Kwa kawaida inabidi ufanye yale unayoweza tu na wala usitarajie chochote kile in return!

Ukiwasaidia watasema, usipowasaidia watasema na hayo ndio maisha yalivyo! Saidia kulingana na nafasi yako yaliyobakia hayakusu tena!!
 
Hahahaha nimecheka kama mazuri Ila yote Kwa yote binadamu wachache sana wenye kushukuru
 
Wewe ni mjinga , am sorry.
Una kipato kizuri na una roho nzuri ila umeshindwa kujua kuwa ndugu wa Kiafrika ni nusu mtu nusu shetani.
Huo ndio ujinga wako
 
kwenye bima kumbe inawezekana hapo?
 
Wewe ni mjinga , am sorry.
Una kipato kizuri na una roho nzuri ila umeshindwa kujua kuwa ndugu wa Kiafrika ni nusu mtu nusu shetani.
Huo ndio ujinga wako
Sukutegemea matusi hapa, ila hata Bill Gates hutoa sana misaada duniani kote. Sina uwezo wa Bill Gates, hivyo misaada yangu nikawa ninaweka kwenye ukoo tu. Kama huo ni "ujinga+- ambalo mimi naona kuwa ni tusi, basi samahani sana.
 
Tofauti ni scenario tu ila context ni ile ile.

Lea nuclear family kwa nafasi, acha kuwabana eti unasaidia.
Usitegemee shukran toka kwa uliyemsaidia na ukisaidiwa move on. Kwanza tabia za kusaidiana saidianabzinachangia uvivu na kuchochea utegemezi.
Kuna kipoint nimekinyaka hapa🤗
 
Wanadamu si wa kuwaendekeza hata kidogo.
Yaani kinachokukuta ww ni kama mimi japo mimi sijawahi lipia mtu ada. Mtu akikuomba unampa ila siku akikuomba ukawa huna basi inakuwa lawama. Inavunja sana moyo.
Ninachoshangaa mimi sijawahi sononeka au kumlaumu mtu kwa kushindwa kunisaidia.
 
Weka nia ya kupata malipo kwa Mola wako kwa Wema ufanyao

Si bora wewe hawaoneshi shukran…mwingine anasema kabisa Jamaa Misifa sana anapenda kujifanya anazo

Au Ukiyumba utaskia Kiko wapi…enzi hizo ukimuomba elf 10 anakupa 20
 
Mkuu unawalipiaje ada watoto wawili wa mtu mmoja? Ni kwamba hana namna kabisa, yeye kuzaa kusomesha unasomesha wewe?. Wema usizidi ndio maana hawathamini unachowafanyia maana hawajui ugumu wake.
 
Ndugu nimewachoka sana miye sasa hv naishi nao km hawapo
Bora wewe! Narudia bora ndugu zako!
Dadangu ananifanyiaga figisu za ajabu ....yy figisu zake anachotaka anione nikiwa OMBA OMBA kama yeye !aliwah mwambia beki 3 atafute kwa hali na mali leseni yangu ya madini sijui alitaka aifanyie nn!!..🙌🙌...majuzi changamoto ya upumuaji ikanipata naskia akawa anasema ehee . Naskia corona haitibiwi kwa bima🤣! Akihisi nitasanda chaaa!
 
Weka nia ya kupata malipo kwa Mola wako kwa Wema ufanyao

Si bora wewe hawaoneshi shukran…mwingine anasema kabisa Jamaa Misifa sana anapenda kujifanya anazo

Au Ukiyumba utaskia Kiko wapi…enzi hizo ukimuomba elf 10 anakupa 20
Bwana wee..bwana weee ..ngoja niishie hapa
 
Labda kajiridhisha Wewe ni Muhujumu Uchumi na Tapeli uliotapeli Mfuko wa Bima ya Afya kwa kumpa kadi Mtu asiestahiki
 
Duuuh pole sana, miye hadi wanajua kuwa sitaki masihara nao. Jibu langu moja tuu ICU, kuna last born wetu amepata kazi huko Bakharain wanamtafuta hata kuniuliza wanashindwa. Na mzee alipofariki wanamtafuta kuniuliza wanashindwa wanabaki kunikodolea macho. Miye kimya km askari kakosa posho washenzi sana hawaridhiki kila ukifanya padogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…