Kanisa la Holy Sepulcher ambalo Wakristo wote duniani wanaenda kuhiji na ni eneo takatifu kwa Wakristo lipo nchi gani...😆😆KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa la Holy Sepulcher ambalo Wakristo wote duniani wanaenda kuhiji na ni eneo takatifu kwa Wakristo lipo nchi gani...😆😆KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
Misikiti uliyoitaja iko Tanzania au Africa? Usiwe Mtumwaswali kwanini makanisa makuu yapo Ulaya?
Makanisa makuu ya nini?swali kwanini makanisa makuu yapo Ulaya?
Dini ni mpango wa mwanadamu kumfikia (kuzungumza) Mungu.Umhimu wa Kujua Historia
Mtume Muhammad ﷺ alisema: "Mtu ambaye hana historia, hana maisha" (Abu Dawood).
Hapa kuna orodha ya manabii waliotajwa katika Agano la Kale na Qur'an, pamoja na maeneo ambapo walizaliwa
- Hii hadithi inasisitiza umuhimu wa kujua na kuelewa historia ili kuwa na mtazamo kamili wa maisha na maendeleo ya kijamii.
Manabii Katika Agano la Kale:
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Bethlehemu, Israeli
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Nabii Isaya (Isaiah)
- Nchi: Palestina
- Nabii Yeremia (Jeremiah)
- Nchi: (inayokaliwa na, Israeli)
- Nabii Ezekieli (Ezekiel)
- Nchi Palestina(inayokaliwa na, Israeli)
Manabii Katika Qur'an:
Katika waislam misikiti mikuu 3
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq) na Kanaani (sasa sehemu ya Israeli na Palestina)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Isa (Jesus)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Muhammad ﷺ
- Nchi: Arabia (sasa Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Makka, Saudi Arabia
- Nabii Yunus (Jonah)
- Nchi: Ninawi (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Ninawi, Iraq
- Nabii Hud (Heber)
- Nchi: Arabia (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Aadil, Saudi Arabia
- Nabii Salih (Methuselah)
- Nchi: Thamud (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Thamud, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Haram (Masjid al-Haram)- Mahali: Makkah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Masjid an-Nabawi (Masjid al-Nabawi)- Mahali: Madinah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Aqsa (Masjid al-Aqsa)-Mahali: Yerusalemu, Palestina
WAKIRISTO MAKANISA MAKUU
Kanisa la Mtakatifu Petro (St. Peter's Basilica) -Mahali: Vatican City, Roma, Italia
Kanisa la Mitume watatu (Trinity Church)- Mahali: Boston, Massachusetts, Marekani
Kanisa la Hagia Sophia (Aya Sofya)- Mahali: Istanbul, Uturuki
Kanisa la Westminster (Westminster Abbey)- Mahali: London, Uingereza
Kanisa la Martin Luther (Lutherkirche)-Mahali: Wittenberg, Ujerumani
KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
mnazunguruka tu swaliMisikiti uliyoitaja iko Tanzania au Africa? Usiwe Mtumwa
Huyajui?Makanisa makuu ya nini?
Mkuu unaruka swali Kama Jesus kazaliwa Israel au Palestine kwanini makanisa makuu yapo mbali na asili ya ukristo.Unahitaji kujifunza mengi zaidi ya elimu ya madrasa.
Kwanza katika dini za Ukristo na Uyahudi Ibrahim, Daud na Suleiman na wengine wengi uliowataja hapo hawakuwa manabii.
Pili, Ukristo unaanza na Yesu Kristo katika agano jipya, hao wengine wote uliowataja ungewauliza Waisraeli wa dini ya Uyahudi wanaobondona na Hamas huko Gaza wakati huu.
Kwenye Biblia hakuna jina la Palestina.....Rudi shule kasome jina la Palestina lilianza kutumika lini,hata hiyo Quran unayoiamini Jina Palestine halijatajwa hata maramojaPalestina
Halafu wanawapenda wazungu kuliko ndugu zao wa Mashariki ya katiMkuu unaruka swali Kama Jesus kazaliwa Israel au Palestine kwanini makanisa makuu yapo mbali na asili ya ukristo.
Nipo kujifunza
Mkuu unaruka swali Kama Jesus kazaliwa Israel au Palestine kwanini makanisa makuu yapo mbali na asili ya ukristo.
Nipo kujifunza
Umhimu wa Kujua Historia
Mtume Muhammad ﷺ alisema: "Mtu ambaye hana historia, hana maisha" (Abu Dawood).
Hapa kuna orodha ya manabii waliotajwa katika Agano la Kale na Qur'an, pamoja na maeneo ambapo walizaliwa
- Hii hadithi inasisitiza umuhimu wa kujua na kuelewa historia ili kuwa na mtazamo kamili wa maisha na maendeleo ya kijamii.
Manabii Katika Agano la Kale:
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Bethlehemu, Israeli
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Nabii Isaya (Isaiah)
- Nchi: Palestina
- Nabii Yeremia (Jeremiah)
- Nchi: (inayokaliwa na, Israeli)
- Nabii Ezekieli (Ezekiel)
- Nchi Palestina(inayokaliwa na, Israeli)
Manabii Katika Qur'an:
Katika waislam misikiti mikuu 3
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq) na Kanaani (sasa sehemu ya Israeli na Palestina)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Isa (Jesus)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Muhammad ﷺ
- Nchi: Arabia (sasa Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Makka, Saudi Arabia
- Nabii Yunus (Jonah)
- Nchi: Ninawi (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Ninawi, Iraq
- Nabii Hud (Heber)
- Nchi: Arabia (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Aadil, Saudi Arabia
- Nabii Salih (Methuselah)
- Nchi: Thamud (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Thamud, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Haram (Masjid al-Haram)- Mahali: Makkah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Masjid an-Nabawi (Masjid al-Nabawi)- Mahali: Madinah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Aqsa (Masjid al-Aqsa)-Mahali: Yerusalemu, Palestina
WAKIRISTO MAKANISA MAKUU
Kanisa la Mtakatifu Petro (St. Peter's Basilica) -Mahali: Vatican City, Roma, Italia
Kanisa la Mitume watatu (Trinity Church)- Mahali: Boston, Massachusetts, Marekani
Kanisa la Hagia Sophia (Aya Sofya)- Mahali: Istanbul, Uturuki
Kanisa la Westminster (Westminster Abbey)- Mahali: London, Uingereza
Kanisa la Martin Luther (Lutherkirche)-Mahali: Wittenberg, Ujerumani
KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
Bila shaka umeuliza swali ili uelewe na sio ili ubishane!!Huyajui?
Kwenye Biblia hakuna jina la Palestina.....Rudi shule kasome jina la Palestina lilianza kutumika lini,hata hiyo Quran unayoiamini Jina Palestine halijatajwa hata maramoja
-Church of Holy Sepulcher,East JerusalemMkuu unaruka swali Kama Jesus kazaliwa Israel au Palestine kwanini makanisa makuu yapo mbali na asili ya ukristo.
Nipo kujifunza
Yesu hakuanzisha Ukristo, Wafuasi wake ndio walianzisha Ukristo. Yesu pia alikataliwa na Wayahudi kama masihi au nabii wao, isingewezekana Wafuasi wake wakaanzisha makanisa Israel au Palestina ukizingatia ujumbe wake ulikataza kueneza au kutetea Imani kwa vita kwa kutumia mapanga, mikuki na majambia.Mkuu unaruka swali Kama Jesus kazaliwa Israel au Palestine kwanini makanisa makuu yapo mbali na asili ya ukristo.
Nipo kujifunza
Tutakujibu vizuri Israeli akishamaliza kubomoa msikiti wa Al Aqsa.Umhimu wa Kujua Historia
Mtume Muhammad ﷺ alisema: "Mtu ambaye hana historia, hana maisha" (Abu Dawood).
Hapa kuna orodha ya manabii waliotajwa katika Agano la Kale na Qur'an, pamoja na maeneo ambapo walizaliwa
- Hii hadithi inasisitiza umuhimu wa kujua na kuelewa historia ili kuwa na mtazamo kamili wa maisha na maendeleo ya kijamii.
Manabii Katika Agano la Kale:
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Bethlehemu, Israeli
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Nabii Isaya (Isaiah)
- Nchi: Palestina
- Nabii Yeremia (Jeremiah)
- Nchi: (inayokaliwa na, Israeli)
- Nabii Ezekieli (Ezekiel)
- Nchi Palestina(inayokaliwa na, Israeli)
Manabii Katika Qur'an:
Katika waislam misikiti mikuu 3
- Nabii Ibrahim (Abraham)
- Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq) na Kanaani (sasa sehemu ya Israeli na Palestina)
- Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
- Nabii Musa (Moses)
- Nchi: Misri
- Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
- Nabii Daudi (David)
- Nchi: Palestina
- Nabii Sulemani (Solomon)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Isa (Jesus)
- Nchi: Palestina
- Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
- Nabii Muhammad ﷺ
- Nchi: Arabia (sasa Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Makka, Saudi Arabia
- Nabii Yunus (Jonah)
- Nchi: Ninawi (sasa Iraq)
- Mahali pa Kuzaliwa: Ninawi, Iraq
- Nabii Hud (Heber)
- Nchi: Arabia (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Aadil, Saudi Arabia
- Nabii Salih (Methuselah)
- Nchi: Thamud (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
- Mahali pa Kuzaliwa: Thamud, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Haram (Masjid al-Haram)- Mahali: Makkah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Masjid an-Nabawi (Masjid al-Nabawi)- Mahali: Madinah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Aqsa (Masjid al-Aqsa)-Mahali: Yerusalemu, Palestina
WAKIRISTO MAKANISA MAKUU
Kanisa la Mtakatifu Petro (St. Peter's Basilica) -Mahali: Vatican City, Roma, Italia
Kanisa la Mitume watatu (Trinity Church)- Mahali: Boston, Massachusetts, Marekani
Kanisa la Hagia Sophia (Aya Sofya)- Mahali: Istanbul, Uturuki
Kanisa la Westminster (Westminster Abbey)- Mahali: London, Uingereza
Kanisa la Martin Luther (Lutherkirche)-Mahali: Wittenberg, Ujerumani
KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
Makao makuu ya wakiristo dunianiBila shaka umeuliza swali ili uelewe na sio ili ubishane!!
Sasa ili ujibiwe kwa ufasaha na sio upate majibu ya kukisia, nimekuuliza hayo ni makanisa ya nini, ndio niweze kutoa jibu. Kwa hiyo, bado nauliza, ni makanisa ya nini?
KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?swali kwanini makanisa makuu yapo Ulaya?
Kama lingalikuwa kanisa zamani lishabomolewa, tangu karne ya 2 huko nyuma. lkn kwa sababu ya msikiti hujui historia. somaTutakujibu vizuri Israeli akishamaliza kubomoa msikiti wa Al Aqsa.
Sawa. Hayo unayoyataja sio makanisa wala makao makuu ya wakristo, ni makanisa ya madhehebu kadha wa kadha yanayoamini imani ya ukristo. Dhehebu linaweza anzishwa na mtu yoyote tu kama ilivyo chama cha siasa, na lilipoanzishiwa ndipo kutakua na makao makuuMakao makuu ya wakiristo duniani