Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Sio kazi nyepesi kugongana macho na mtu ukakausha
Yataka moyo kama una kicheko cha karibu kama mm wewe unaumbukaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mrs J unajua sio poa ulivyonifanyia? Anyway, nishakusamehe siku nyingi sana.
 
Uongo.Story yoyote ile ambayo ndani yake kuna " mdogo wangu" au " Ghafla" huwa ni ya kutunga..I put one hundred percent in every word that I have typed
 
Yataka moyo kama una kicheko cha karibu kama mm wewe unaumbukaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siwezi yani lazima ningetabasam hata kinafki nikampokea hafu ndo nipotezee kiaina
 
Hii kitu sijawahi kukimbiwa ni soo, mademu wapo kibao mtaani ujinga kwenda kuanza kukimbizana na watu ambao hujawah kuonana nae
 
Dah!kuna jamaa yangu alipewa tu stori na jamaa yake kwamba kuna bonge la demu,jamaa kusikia hivyo akaomba namba za huyo demu,akamtongoza demu akaingia line,vuta nikuvute jamaa akapanga root ya kwenda kukutana naye maana manzi mwenyewe alikuwa na rafudhi ya kichaga hatari sana,ilikuwa ni jumapili ya pasaka tarehe April 1 mwaka huu huu,akaniambia anaenda kuonana naye alichokikuta huko anakijua mwenyewe,kwanza demu bonge,tumbo kubwa,matiti hayoooo bahati mbaya tena mweusi harafu kama mjuavyo wenzetu kaskazini walipigwa pasi huko nyuma,jamaa yangu alitoka ndukiiiii,saa nne usiku ananiambia yupo around,ila yeye walikutana kabisa wakaongea ongea then akamwambia ngoja nichukue vocha akachoraaaaa.
 
kuviziana sitaakaa nisahau kuna siku nili mkimbia demu sio demu m mama kabisa, aiisee kuna watu hutakiwi kuwaamini ukiongea nao kwenye simu. tulichati sana kipindi hicho sijui cha whatsapp wala fb. sasa tukaawa tunapanga tuonane na alivyo niambia yuko chuo nikajua huyu atakuwa kisuuu mamaaaaaaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ tukapanga tukutane then tujuane na mambo mengine yatafuata kumbe manzi amekuja eneo la tukio ameka amesha ni chora nilikuwa na washakaji nikipiga hapokei ila anasema yuko karibu. manzi mjinga sana yule akajisogeza karibu na sisi ili asikie maongezi yetu, sasa jamaa yangu akasema mbona huyo manzi yako hatokei usije kuta anasura kama mfuniko wa choo tukacheka tuka ponda tukaona isiwe kesi ngoja tuagize bia kunywa bia tukaagiza na nyamaa kula nyama sana sasa machale yakanicheza baada kuona manzi ananiangalia sana na nilivyo mtext kimya kimya kama mara mbili nikaona ameshika simu siku mfata kwa umbo lile na sura hapana kwakwel ingekuwa ni aibu sana ikabidi nimwambie jamaa maana alikuwa kauzu kidogo akaenda akaongea nae demu akasepa,

jamaa akamwambia yule ni kama mwanao mama huoni unabaka, manzi akasema hakujua hadi leo
 
Mm huwa naweka simu mpaka kwenye kwapa au kwenye bumunda nasema ongea na bumunda hukoooo alafunnairudisha sikion laiti angekuwa anaona uwiiiii ningeshachinjwaa kitambo
Aseeee,,nimecheka mpaka aibu!!
 
Mambo vp
 
Mkuu vipi,upo?
 
Niliwai kukimbiwa, maamae niliumia sana

Kila nikijitaid kuandika mkasa naona vidole vinakufa ganzi, yan sikukimbiwa nilifanyiwa unyama wa hisia
Poleee sna mkuu inauma sna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…