Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] pole sana basi utulie ulipo, mwenzenu alikuta na jini kabeni na nguvu za kiume kabakishiwa kamba tu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wewe kiboko duu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo ndiyo akaenda kumtoa hahaaaa jamani eee watu mnavisanga
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo ya mapera hayo
Ndo ushangaee naaaambiwa nina nyonyo kama tair za trektaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndo ushangaee naaaambiwa nina nyonyo kama tair za trektaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hapo hajaonana duu jamani mambo haya
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wewe kiboko duu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo ndiyo akaenda kumtoa hahaaaa jamani eee watu mnavisanga
Jamani umenichesha sana alibakari uwiiiiii
Amini hivyo, tena mshkaji baada ya kumtoa ndio akaja kunistua maskani, nikaenda zangu kulala
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wewe kiboko duu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo ndiyo akaenda kumtoa hahaaaa jamani eee watu mnavisanga
Jamani umenichesha sana alibakari uwiiiiii
Amini hivyo, tena mshkaji baada ya kumtoa ndio akaja kunistua maskani, nikaenda zangu kulala[emoji377] [emoji377] [emoji377][emoji124] [emoji125] [emoji125]
 

Ahaaaaaa pole upo wapi baada ya nduki zote
 
Wana ngozi nzur sjui walkuwa wanapaka mafuta gani
Yaani sijui mafuta nazani ni vyakula tu maana wababa walikuwa hawapaki hata mafuta yenyewe ( labda ya karanga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Amini hivyo, tena mshkaji baada ya kumtoa ndio akaja kunistua maskani, nikaenda zangu kulala[emoji377] [emoji377] [emoji377][emoji124] [emoji125] [emoji125]
Aisee wewe jasiri sana bado ukaenda kulala humohumo, sasa alikuwa ila maumbile yake au jini kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…