Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Hivi we paskali!we hujawahi kususa au kugoma
Ndomana kuna wengine huwa wanagoma kula ilimradi matakwa Yao yatimizwe!hata Mugabe aligoma kula?tena alikuwa mwanasiasa nguli,
So kususa ni kawaida.....

Ova
Halima Mdee aligoma kula pale central police, Je matakwa yake yalisikilizwa kamanda!?
 
Halima Mdee aligoma kula pale central police, Je matakwa yake yalisikilizwa kamanda!?
Anasa kamanda habari yako!
Itakuwa yalisikilizwa mbona jambo la kawaida
Hata wafungwa wakati wa kudai haki zao huwa wanagoma kula hilo jambo la kawaida tu

Ova
 
Anasa kamanda habari yako!
Itakuwa yalisikilizwa mbona jambo la kawaida
Hata wafungwa wakati wa kudai haki zao huwa wanagoma kula hilo jambo la kawaida tu

Ova
Basi sawa kamanda. Uhuru Kenyata anasemaje kuhusu hili la kususia uchaguzi !?
 
[emoji23] [emoji23] mkuu jaribu hivyo kwa mkeo alafu ulete mrejesho hapa.
 
Hivi we paskali!we hujawahi kususa au kugoma
Ndomana kuna wengine huwa wanagoma kula ilimradi matakwa Yao yatimizwe!hata Mugabe aligoma kula?tena alikuwa mwanasiasa nguli,
So kususa ni kawaida.....

Ova
Mugabe alikuw na stress
 
Paskali umeupandisha uzi huu.
Kwa nini watu wasuse?
Hoja walizotoa katika kususa nazo umziangalia?
Kwa nini usiangalie scenario nzima unakimbilia katika matokeo?
 
We c ndo jamaa wanakuita njaa na utanunuliwa tu kwa njaa za kiwango hichi
 
BADO KIDOGO JINA LAKO NITALIFIKISHA, KUNA WAKUU WA WILAYA WAWILI NI WALEVI HAWANA MSAADA KWA WANANCHI NA HAWAENDANI NA KASI YA AWAMU HII, ENDELEA KUPOST MADA ZA AINA HII ILI NIKUKUMBUKE., SI UNAJUA MPO WENGI NYINYI.
 
BADO KIDOGO JINA LAKO NITALIFIKISHA, KUNA WAKUU WA WILAYA WAWILI NI WALEVI HAWANA MSAADA KWA WANANCHI NA HAWAENDANI NA KASI YA AWAMU HII, ENDELEA KUPOST MADA ZA AINA HII ILI NIKUKUMBUKE., SI UNAJUA MPO WENGI NYINYI.
Amchague haraka sana maana dah!
..[HASHTAG]#paskali[/HASHTAG] anabidii sana

Ova
 
Ni tabia ya kitoto kwenye vyama wanawake wamo We do not run away from problems instead we face and overcome them
 
kWA MTAZAMO WAKO UNADHANI TANZANIA TUNAFANYA UCHAGUZI WA VYAMA VINGI KWA SASA AU NI UCHAGUZI WA CCM NA KURA ZAO ZA NDIO/HAPANA???? KUNA JAMBO LINAHITAJI KUSAHIHISHWA KWANZA KABLA YA KUINGIA KATIKA UCHAGUZI.
 
Huwezi kutumia nguvu zako kuingiza timu huku ukijua tayari mshindi ni fulani sio ushindi tu ila ameshinda kwa hila na hizo hila ulizijua kabla ya kuingiza timu uwanjani na huna namna ya kuzizuia hizo hila maana adui yako ndio kila kitu..
Yeye ndio huamua nani waamuzi wa mechi, yeye ndio hulipia mashabiki hela za kiingilio, yeye ndio hulipia gharama za matangazo, yeye ndio huchagua kiwanja, yeye ndio hupanga mpaka aina ya jezi na vifaa vyoote.

Wapinzani mkiendelea kulialia na kucheka cheka hakuna siku mtafanikiwa, Tafuteni njia nyingine ya kupambana na adui..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…