Swali Kuhusu Thamani Kuu ya Tundu Lissu Ndani ya Chadema ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa Chadema au Uwezo wa Kuiingiza Chadema Ikulu 2025 ?

Swali Kuhusu Thamani Kuu ya Tundu Lissu Ndani ya Chadema ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa Chadema au Uwezo wa Kuiingiza Chadema Ikulu 2025 ?

Wanabodi,
bandiko hili ni bandiko la swali kuhusu uwezo, ability,na uwezekano wa kuwezekanika,yaani capability ya umuhimu mkubwa zaidi wa Tundu Lissu ndani Chadema,ni uwezo wa uongozi kama mwenyekiti wa Chadema kuiongoza Chadema kuwa chama imara kuweza kuipumzisha CCM na kuiingiza Chadema ikulu 2025?,au an individual ability ya Tundu Lissu kuiingiza Chadema ikulu kwa Lissu kumshinda kirahisi mgombea wa CCM wa 2025 kwa sababu anajulikana?。 Iwapo CCM wataamua kubadili ngombea na kuleta chuma kingine kama Makonda,Biteko,Kitila,Bashungwa au chuma kingine chochote kati ya vyuma vyake, je Tundu Lissu atafurukuta?。

Karibuni tujadili。
1。 Tuanze na Mwenyekiti Mbowe,hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema,tatizo ni Mbowe ame overstay,hivyo kufikia point ya saturated solution,it can take no more than it can,yaani Mbowe hapo alipofika,amefikia optimum ya uwezo wake hawezi kufanya chochote zaidi ya ukinganganizi wa kung'ang'ania madaraka kwa excuse ya hakuna mwingine yoyote anayeweza,hivyo kwangu mimi ile siku Mbowe ametangaza kutetea kiti chake,that was the end of ndoto ya Lissu kuwa mwenyekiti Chadema kwasababu Mbowe ni undefitable!Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Paskali
Umeandika point sana mkuu
 
2。Tukija Tundu Lissu ,Lissu ni mwanaharakati, kwa uwezo wa uongozi na karama ya uongozi Lissu hana,ila kutokana na kuchusa kwa Mbowe,Lissu anaonekana ni afadhali,lakini Lissu kama Lissu,uenyekiti wa Chedema,Lissu hauwezi,ila awekewe ma teknocrats wazuri chini yake kama JJ Mnyika,Mbowe abaki mshauri。

Thamani kubwa ya Lissu ni uwezo wake wa kumbwaga mgombea wa CCM, mapema tuu asubuhi,hivyo kama Chadema,wanaitaka ikulu,2025,provided mgombea wa CCM ni huyu wa mserereko,then mtu wa kwenda nae ni TAL Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
 
Tundu Lisu hawezi kufurukuta maana hakuna uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Huu uzi wako ungekuwa na maana kama kuna uchaguzi wa kweli, na sio huo uhuni wa kipuuzi uitwao uchaguzi.
Watanzania kwa RAMLI tu, hatuwezekaniki! Naona umeshajikatia tamaa.
 
H
Habari ndani ya Habari...

Nadhani hii ni habari kubwa sana, na tunaokujua hiki kitu ni cha kuchukuliwa kwa umakini.

Anyways, hakuna mgombea wa Upinzani wa kupambana kias cha kuitoa CCM madarakani.

Angalao FAM kazuia siasa za watu kuuwawa kwa mamia kwa sababu ya uchaguzi... Tusipoliona hilo, dark days ahead
Mmmh !
Free and fair elections ??!
Kushney ???!
🤣🤣
It’s enough for the people to know there was an election ………………. !
 
4。 The situation ya Chadema ama imchague Lissu iimarike na kuingia ikulu,au imchague Mbowe ibaki hivyo hovyo ilivyo kuendelea kupiga pesa,ni sawa na ule msemo wa kizungu,“you can't eat your cake and have it”, you either eat your cake and its gone,or dont eat it and have it, ukimchagua Mbowe,una mpoteza Lissu na hakuna kwenda ikulu,ukimchagua Lissu unampoteza Mbowe kwenye uenyekiti,lakini Chadema kinaingia Ikulu,Mbowe anakuwa PM!, kipi bora?。
P
 
3。 Kama Chadema wapo wapo tuu ili kuendelea kupiga pesa ya Ma Abduli na kuvuta ruzuku,then mtu wa kwenda nae ni Mbowe Kuelekea 2025 - Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...
P
Na hivyo ndivyo inavyokwenda kuwa ! 🙏
Tuliosomea Cuba tulisha waambia watu humu kwamba hata huo ugomvi ni ugomvi fake tu !
Lissu vs Mbowe ni janja janja tu wale ni wamoja kwa kila kitu !
Time will tell !
 
5。Kwa vile thamani kuu ya Tundu Lissu ndani ya Chadema sio uenyekiti wa Chadema,bali ni uwezo wake kuiingiza Chadema ikulu 2025,then its possible kwa Chadema,to eat its cake and have it,kwa Lissu kujitoa kugombea uenyekiti kwa Lissu kusema ameamua kumpisha Mbowe,na Mbowe akaamua kumpisha Lissu kwenye kugombea urais,2025, ikawa wote ni washindi,Chadema haimegeki,Lissu hashindwi, wote wanakuwa ni winners,Mbowe Mwenyekiti,Lissu mgombea urais anayeiingiza Chadema Ikulu, Mbowe atakuwa PM,na Chadema itakuwa supper, ila hili litokee ni iwapo mgombea wa CCM 2025 ni huyu wa mserereko,kama CCM wataamua kugeuza kibao,wakamsimamishia Lissu chuma,Lissu inakula kwake,Chadema inapigwa chini jumla!。
P
 
1。 Tuanze na Mwenyekiti Mbowe,hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema,tatizo ni Mbowe ame overstay,hivyo kufikia point ya saturated solution,it can take no more than it can,yaani Mbowe hapo alipofika,amefikia optimum ya uwezo wake hawezi kufanya chochote zaidi ya ukinganganizi wa kung'ang'ania madaraka kwa excuse ya hakuna mwingine yoyote anayeweza,hivyo kwangu mimi ile siku Mbowe ametangaza kutetea kiti chake,that was the end of ndoto ya Lissu kuwa mwenyekiti Chadema kwasababu Mbowe ni undefitable!Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
P
Mbona unadharau katiba mkuu? Unamuitaje rais wa sasa ni mmserereko?
 
Mbona unadharau katiba mkuu? Unamuitaje rais wa sasa ni mmserereko?
Mkuu Mpala,@mpalakugenda, usitake kunisingizia na kunichonganisha,sijamuita popote rais Samia ni mama mserereko,nilichosema ni mgombea wa CCM kwa 2025 atapatikana kwa utaratibu wa mserereko wa CCM,ambao lengo lake ni kuondoa duplicity ya usaili,asuming rais hiyo aliisha sailiwa awamu ya kwanza,lakini Rais Samia hakuwahi kusailiwa kwa urais,hivyo mserereko wake ni mserereko wa mtelezo kwa kuteleza tuu na kudumbukia chubwi!。

Naomba kuwapa angalizo muhimu, kama ujumbe wa kwenye HII kitu umemfikia na ameukubali,atakiarifu chama na CCM itafanya usaili na sio tena ile fomu moja ya mserereko!。
P
 
5。Kwa vile thamani kuu ya Tundu Lissu ndani ya Chadema sio uenyekiti wa Chadema,bali ni uwezo wake kuiingiza Chadema ikulu 2025,then its possible kwa Chadema,to eat its cake and have it,kwa Lissu kujitoa kugombea uenyekiti kwa Lissu kusema ameamua kumpisha Mbowe,na Mbowe akaamua kumpisha Lissu kwenye kugombea urais,2025, ikawa wote ni washindi,Chadema haimegeki,Lissu hashindwi, wote wanakuwa ni winners,Mbowe Mwenyekiti,Lissu mgombea urais anayeiingiza Chadema Ikulu, Mbowe atakuwa PM,na Chadema itakuwa supper, ila hili litokee ni iwapo mgombea wa CCM 2025 ni huyu wa mserereko,kama CCM wataamua kugeuza kibao,wakamsimamishia Lissu chuma,Lissu inakula kwake,Chadema inapigwa chini jumla!。
P
Umeyachanganya mafaili Mzee !!
🤣🤣😅
 
Umeyachanganya mafaili Mzee !!
🤣🤣😅
Kwanza kabisa naanza na msemo ule unaoaminika kwamba Locuta causa finita ! Kwa mintarafu hiyo basi lile neno Mserereko linapoteza nguvu kabisa !
Pili bado naikumbuka ile katuni inayomuonesha Lissu akipiga ngoma na jamaa fulani wakicheza mpaka wanabinuka !
Naamini ndani ya Lissu na Mbowe hakuna ugomvi au kutoelewana kokote kule ! Ni janja janja tu kuzuga wapinzani wao wakuu !
It’s a set-up !
Ngoja Tusubiri tuone. !
 
Wanabodi,
Karibuni tujadili。

2。Tukija Tundu Lissu ,Lissu ni mwanaharakati, kwa uwezo wa uongozi na karama ya uongozi Lissu hana,ila kutokana na kuchusa kwa Mbowe,Lissu anaonekana ni afadhali,lakini Lissu kama Lissu,uenyekiti wa Chedema,Lissu hauwezi,ila awekewe ma teknocrats wazuri chini yake kama JJ Mnyika,Mbowe abaki mshauri。

Thamani kubwa ya Lissu ni uwezo wake wa kumbwaga mgombea wa CCM, mapema tuu asubuhi,hivyo kama Chadema,wanaitaka ikulu,2025,provided mgombea wa CCM ni huyu wa mserereko,then mtu wa kwenda nae ni TAL Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

The choice is theirs!。

Paskali
One down, two to go!.
October 2025 ule mbuyu unakwenda chini!.
Usikute Lissu ni mpango wa Mungu kwa Tanzania post '25.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Hongera Sana Tundu Lissu!.
P
 
Back
Top Bottom