Ni kitu cha kushangaza sana,mtu kuhoji watu wa dini,kutumia kitu ambacho kimepatikana na kodi za hao wenye dini,utahoji barabara,kwa nini zitumike na wenye dini,mahospitali,shule,madaraja,viwanja vya ndege,stend za bus,viwanja vya michezo,taa za barabarani,mwisho utahoji kupata vyeo.Mwisho unahoji mavazi,wakati wa dini zote,wamepewa nafasi kuvyaa mavazi ya shule,yanaondena na imani zao,kwa mfano wanafunzi wasiokuwa waislamu,wanaovyaa sketi fupi,blouzi na kichwa wazi wa kike,ndio mavazi yao mpaka kwenye nyumba zao za ibada.
Sent from my TECNO KB8 using
JamiiForums mobile app