Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Ukitafuta kibali kutoka kwa bmkubwa huwezi kukipata, mke wa pili lazima unahitaji vitu viwili muhimu:
1.mental maturity.
2. pesa ya kutosha ya kulea familia.
 
Ningekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvu
 
kwa huku tarime tunaanza process tu ,yeye atajua mbele kwa mbele.
 
wanawake wasikie tu.kama unataka ufike mbinguni kabla ya mda wako au kuwa chizi hapa duniani jichanganye
 
Tulia na mkeo, unajitaftia matatizo tu. Utafalakanisha Familia yako, Vipi mkuu maokoto yameongezeka nini unakosa pakuyaweka. Mke wa pili huwa anakuja kufilisi, Hebu rudi utafakari sana kwa nini unataka kuoa mke wa pili? Mkeo anamapangufu ngani hadi umletee mke wa pili? Kama ameelemewa na majukumu mtafutie house Girl. Utapigwa na kitu kizito shauri yako.
 
wanawake wasikie tu.kama unataka ufike mbinguni kabla ya mda wako au kuwa chizi hapa duniani jichanganye
Nafanya research hapa mkuu, wanawake wa siku hizi wanafanyakazi wanalalamika kuchoka.

Sasa wanaume umri unapozidi na nyege ndio zinazidi, alfajiri mwanamke kashaamka anajiandaa kwenda kazini.

Sasa hapa research lazima ifanyike solution ni kuwa na mke zaidi ya mmoja? Atleast hawa watashindana kumuhudumia mwanaume.

Hii haiwahusu wanaume wanaojitafuta au wanaoungaunga, kuna watu wameshajipata ila wanawake wanazinguwa mwanaume anapewa uchi kwa mgao, solution ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…