Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ukitafuta kibali kutoka kwa bmkubwa huwezi kukipata, mke wa pili lazima unahitaji vitu viwili muhimu:Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Ningekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvuHili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
kwa huku tarime tunaanza process tu ,yeye atajua mbele kwa mbele.Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
ataona nyumba inajegwa , unanunua kila kitu ndani, unaanza maandalizi ya ng'ombe ,baada ya hapo unamwambia tarh furan kuna ugeni hvyo atoe ushirikiano ktk maandalizi madogo madogo.. imeisha hiyokwa huku tarime tunaanza process tu ,yeye atajua mbele kwa mbele.
huku tarime tunazo, tunaomba ushauri wakoNingekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvu
Nguvu zipi? Za kiume? Za kiuchumi au za kumtia mitama mwanamke?Ningekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvu
Hujajibu swali lililoulizwa kwenye uzi huu.Jitahidi uwe na nguvu za kiume usije saidiwa upande mmoja
Au ni ile mbinu ya kumshughulikia mke mpaka akaomba po.Ningekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvu
wanawake wasikie tu.kama unataka ufike mbinguni kabla ya mda wako au kuwa chizi hapa duniani jichanganyeHili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Tulia na mkeo, unajitaftia matatizo tu. Utafalakanisha Familia yako, Vipi mkuu maokoto yameongezeka nini unakosa pakuyaweka. Mke wa pili huwa anakuja kufilisi, Hebu rudi utafakari sana kwa nini unataka kuoa mke wa pili? Mkeo anamapangufu ngani hadi umletee mke wa pili? Kama ameelemewa na majukumu mtafutie house Girl. Utapigwa na kitu kizito shauri yako.Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Nafanya research hapa mkuu, wanawake wa siku hizi wanafanyakazi wanalalamika kuchoka.wanawake wasikie tu.kama unataka ufike mbinguni kabla ya mda wako au kuwa chizi hapa duniani jichanganye
Kwamba niwe nasumbua kuomba game anytime ili tu ajue hanimudu 😂😂😂Ningekushauri namna ya ku.wambia ila wanaume wa saizi hamna nguvu
Kind of research mkuu, naona mengi.Daktari umeopoa kitoto cha 2000?,,umeona ni vyema kuchutama