Swali kwa mliokulia vijijini: Mlivyokuwa mnasikia Dar mlidhani ikoje?

Lilikuwepo tanki lilikuwa bovu ndio chanzo Cha Hilo jinaujenz was barabara wakaja kuliondoa
Sikumbuki lilikuwa tanki Kwa ajili ya nn , ila lilikuwepoo
 
Nakumbuka nikiwa mdogo tulienda kijijni wakati huo Nyerere bado Rais
Basi watu wanajua Kwa vile tunaishi Dar kila siku tunapishana na Nyerere
Ukiwaambia hatumuoni wanashangaa hawaamini unaishi vp Dar halafu humuoni rais?
 
Ushamba mzigo ndugu yangu
Mm nilidhani inakofia kichwani afu ipo kama i i i au ipo kama yai O O O
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…