Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Yani hata huoni haya, Toka MUNGU kaumba ulimwengu.. mwaka 1938 ndo aje aruhusu kinga mimba... Au 1962 ndo akataze.
HUna habari na time-indexed properties?
HUjui world-indexed properties?
Tofauti zinazotokana na time-indexed properties pamoja na world-indexed properties ni ushahidi kuwa, kadiri suala la Mungu linavyosika, Mungu wa 1932 na Mungu wa 1968 sio Mungu yule yule!
Hawa ni Miungu wawili tofauti
Kwa hiyo, MUngu wa Waanglikana na Mungu wa Wakatoliki sio sawa.
Can you think loudly?
 
Idiot!
Kuna dini bila Mungu?
Hahahahaha.. kwa hili swali lako umehakikisha huna pa kujitetea na pepo dini amekukamata haswa..

Kwahiyo kuna Mungu wangapi?
Je, wakatoliki waliumbwa na Mungu wa dini ya kikatoliki?
Kwanini mkatoliki anabadili dini anakuwa Msabato na Mungu aliyemuumba hachukui uhai wake?

Nipe UTHIBITISHO kuwa mwanzo Mungu alivyoumba ulimwengu na kuumba watu wa kwanza aliwapa na dini fulani.. inaitwaje hiyo dini?
 
Hahahaha..
Hoja yako inakosa mashiko.. HAKUNA MUNGU WA DINI FULANI (yaani hakuna Mungu yupi..) Labda useme miungu.. ILA MUNGU NI MMOJA TU.

MUNGU NI MMOJA TU, religious groups hazifanyi Mungu agawanyike (Kwamba Mungu yupi)

Mungu ni mmoja, Anaabudiwa na Myunani, na mgalatia, na mmakonde, na mhadizabe, na Mimi pia.
 
Hebu soma hapa chini..

Zaburi 89:34
"Mimi sitalihalifu agano langu,
Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu."

Kwa kizungu cha kigali, rwanda.
"My covenant will I not break, nor alter the thing that is gone out of my lips."

Je, unazani Mungu hubadili neno lake mwaka 1938 kuja 1962?

Jibu ni HAPANA, MUNGU Habadili Neno lake.. ILA Wanadamu kwa sababu ya tamaa zao ndio hubadili Neno la Mungu.

NB, NENO hili katika zaburi lilikuja miaka zaidi ya elfu mbili kabla ya hizo ambali za mtumie/msitumie kinga mimba.
 
Uko wapi, muite na huyo shoga ako "niwagonge wote".

Mkiamka mpate akili ya kumtafuta, kumuabudu na kumtumikia Mungu Aliye Hai.

NAWATAFUNA.
 
Dini ni utaratibu/taratibu zote alizoweka mwanadamu ili amwabudu Mungu.

Dini SIO MUNGU.. (Mungu ana kanuni zake, KAZIWEKA WAZI KUPITIA NENO LAKE)
Umejibu vema kwa 33% pekee. Ukweli wote ni huu hapa:

"Dini ni [IMANI KUHUSU MUNGU, VIUMBE, UHUSIANO ULIOPO KATI YA PANDE HIZI MBILI NA] utaratibu/taratibu za ibada alizoweka mwanadamu [Mungu]. Dini SIO MUNGU. [Lakini, Mungu ni sehemu ya dini na bila imani kuhusu Mungu hakuna dini.]"

Soma zaidi hapa: In every form of religion is implied the conviction that the mysterious, supernatural Being (or beings) has control over the lives and destinies of men.
 
Tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya ni nini? Unakariri sana. Agano jipya ni addendum contract. Kikanuni addendum contract hurekebisha original contract. Kwa hiyo kuna mambo katika agano la Kale yamebadilishwa kupitia Agano Jipya. Na hivyo, Zaburi 89:34 ("Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.") ni batili. Acha kukariri kama roboti. Au huyu shogist wako anakuzingua?

 
Absolute gibberish!
 
Mkuu logic yako iko wapi .mbona hakuna uhusiano baina ya Tittle na context

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Nipe sehemu ambayo imeandikwa ni BATILI.

Usilete kanuni za DINI kwenye KANUNI/NENO LA MUNGU... ila unaweza kuleta KANUNI/NENO LA MUNGU ndani ya kanuni za dini.

Hakuna dini ya kubadili neno la Mungu, ila Mungu anao uwezo wa kufanya chochote juu ya dini au kikundi fulani cha imani.

Ukiacha hayo makatekisimu, mitaguso na miongozo ya hayo madhehebu unalijua vizuri NENO LA MUNGU??...

Tuanzie hapa, UNA LIJUA VIZURI NENO LA MUNGU??
 
Absolute gibberish!
Huna unalolijua ewe "dada wa kujitakia"

Muulize mama yako akupe ushahidi kuwa kuna Mungu wa kilutheri au wa kiislamu.

Kwahiyo, Huyo Mungu wa Kilutheri kabla hajaanza kuwa Mungu wa walutheri alikuwa Mungu wa nani? Na alikuwa anafanya nini?

Maana ulutheri ulitoka kwenye ukatoliki.. Je, Mungu wa kikatoliki alijagawa ndio nusu alikuwa mlutheri na nusu mkatoliki?

Dini inakupeleka pabaya.. Mungu mmoja, ila kutokana na MAPUNGUFU ambayo watu waliyaona kwenye vikundi vyao vya imani wakajitoa na kuanzisha kikundi kipya chini ya Mungu yuleyule aliye mkamilifu na mkuu sana.
 
Hujui kitu, umeandika "ushudu" kama si "ushuzi".

Mungu Akurehemu ewe dada wa kujitolea.
 
Hujui kitu, umeandika "ushudu" kama si "ushuzi".

Mungu Akurehemu ewe dada wa kujitolea.
Sitaki rehema yoyote kutoka kwa Mungu anayetoa vibali vya utovu wa nidhamu kwa wazinzi, waasherati, na wasema hovyo kama wewe.
 
Dini inakupeleka pabaya.. Mungu mmoja, ila kutokana na MAPUNGUFU ambayo watu waliyaona kwenye vikundi vyao vya imani wakajitoa na kuanzisha kikundi kipya chini ya Mungu yuleyule aliye mkamilifu na mkuu sana.
Unijichanganya!
Kusudi uwe Mlutheri inabidi umkane MUngu wa Wakatoliki and vice versa.
Kusudi uwe Mkristo inabidi umkane MUngu wa Waislamu and vice versa.
Huweza ukamkubali Mungu wa dini mojawapo halafu ukaendelea kuwa Muumini wa dini nyingine!
Unakwama wapi?
 
Hakuna dini ya kubadili neno la Mungu, ila Mungu anao uwezo wa kufanya chochote juu ya dini au kikundi fulani cha imani.
Kwa hiyo, leo Mungu anaweza kuamua kwamba kuiba sio kosa la kimaadili na ikawa hivyo? Never! Bado wewe ni mtumwa wa divine command theory wakati tayari imetupwa kapuni miaka mingi iliyopita. Unakurupuka sana wewe shogist!
 
Kwani Mungu wa kikatoliki si ndio Mungu wa IBRAHIM, Mungu wa Isaka na Yakobo? Na Mungu wa Kilutheri sio Mungu wa IBRAHIM, Isaka na Yakobo?

Je, Inakuaje unasema Mungu wa kikatoliki ni tofauti na Mungu wa Kilutheri?

Hakuna tofauti ya Mungu, IPO Tofauti ya taratibu za kumuabudu huyo Mungu (Kulingana na Uelewa wa NENO LA MUNGU)... Kuna wanaoamini Mungu aliweka Jumamosi Kuabudiwa, Kuna wanaoamini Mungu aliweka Jumapili Kuabudiwa, kuna wanao amini Mungu ANASTAHILI KUABUDIWA KILA SAA, KILA DAKIKA.

Hizo tofauti ZILIZOPO sio TOFAUTI za Mungu, ni tofauti za UELEWA WA WANADAMU JUU YA MUNGU na Neno Lake..

Hebu nijibu hapa chini...
"MUNGU WAKATI ANAUMBA WANADAMU WA KWANZA ALIWAPA DINI/DHEHEBU GANI??"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…