Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Duuuh Jf ya leo...!!

Maombi ya kila mja huwa kwa kile anachokiamini. Mpokea maombi siku zote huwa hausiani na imani ya yule anaemuombea.. Ndiomaana si ajabu kwa Mkristu kwa Imani yake kumuombea Muisilamu na akapona bila kuzingatia imani yake kwa aliyemuombea.

Yule anaomba ndie anaemlilia Muumba kwa imani yake kwake kwaajili ya chochote au yeyote bila kuzingatia imani ya kile kinachoombewa kuamini ktk imani ya muimbaji.. Neno dogo kama hili ni gumu kulielewa akilini mwako??

Mwalimu Nyerere ktk harakati zake za kudai Uhuru wa Tanganyika, alipata kuombewa na Wakristu, Waislam, Machifu ama waaguzi wa kipindi hicho wote kwa imani zao walitia maombi kwa Mungu wao waliekuwa wakimlilia kwaajili ya kumfanikishia mja wake kufanikisha kile alichokuwa akikipigania.

Unataka kuniambia Nyerere alikuwa na imani zote za wale waliokuwa wakimuombea ili kufanikisha jambo lake?

Mbona ni jambo dogo kulijua kwako kunaugumu gani?? Anyway, salam Mama Amon

BACK TANGANYIKA
 
Mkuu wewe yaelekea ni muathirika baada ya Mungu kujibu Maombi. Chadema ni mpango wa Mungu. "Mbowe sio Gaidi"
 
Wakatoliki hukataa kumzika mtu aliyekuwa anaabudu madhehebu tofauti.

Vivyo hivyo, hawapaswi kumwombea mtu anayekataa Ukatoliki kama anavyofanya Mbowe ambaye ni muumini wa KKKT mpaka leo.
.....nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki.....
 
Mbowe ni mkistro na amebadizwa katika jina la Yesu Kristro anakili imani hiyo kila akienda kanisani jumapili, wakatoliki ni wakristo wamebatizwa katika Kristo Yesu, wote tunatumia kitabu kimoja yaani biblia takatifu, Mungu tunayemwabudu ni mmoja katika utatu mtakatifu Baba, Mwana naoho Mtakatifu, wote Mungu wetu ni mmoja..
Umetaja sifa zifuatazo za Mungu unayemfikiria:
  • Mungu wa wakristo wote na Mbowe akiwemo ndiye "anatajwa na kitabu kimoja yaani biblia takatifu,"
  • Mungu tunayemwabudu wakrito wote ni "mmoja katika utatu mtakatifu Baba, Mwana na roho Mtakatifu,"
  • Hivyo, sisi wakristo wote "Mungu wetu ni mmoja."
Hitimisho nalikataa.
Kabla ya kulifikia, unapaswa kutaja necessary and sufficient attributes za huyo Mungu "mmoja".
Hujafanya hivyo.
 
Mkuu wewe yaelekea ni muathirika baada ya Mungu kujibu Maombi. Chadema ni mpango wa Mungu. "Mbowe sio Gaidi"
"Mbowe sio Gaidi" kwa sababu umesema?
Construtivism at work!
I belong to the other side, the essentialist camp.
 
"Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti! Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake. Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki."
Unawaza Kijinga sana .
 
Duuuh Jf ya leo...!!

Maombi ya kila mja huwa kwa kile anachokiamini. Mpokea maombi siku zote huwa hausiani na imani ya yule anaemuombea.. Ndiomaana si ajabu kwa Mkristu kwa Imani yake kumuombea Muisilamu na akapona bila kuzingatia imani yake kwa aliyemuombea. Yule anaomba ndie anaemlilia Muumba kwa imani yake kwake kwaajili ya chochote au yeyote bila kuzingatia imani ya kile kinachoombewa kuamini ktk imani ya muimbaji.. Neno dogo kama hili ni gumu kulielewa akilini mwako??

Mwalimu Nyerere ktk harakati zake za kudai Uhuru wa Tanganyika, alipata kuombewa na Wakristu, Waislam, Machifu ama waaguzi wa kipindi hicho wote kwa imani zao walitia maombi kwa Mungu wao waliekuwa wakimlilia kwaajili ya kumfanikishia mja wake kufanikisha kile alichokuwa akikipigania. Unataka kuniambia Nyerere alikuwa na imani zote za wale waliokuwa wakimuombea ili kufanikisha jambo lake?

Mbona ni jambo dogo kulijua kwako kunaugumu gani?? Anyway, salam Mama Amon

BACK TANGANYIKA
God cannot give what she doesn't have.
Mfano, ukimwomba Mungu wa Wakatoliki akujalie matumizi bora ya kondomu, hakupi!
Kwenye kapu la baraka zake hilo halimo.
Pia ukimwomba Mungu wa Wakatoliki abariki waasi wa imani katoliki hakubali.
Hawa tayari wameandikwa kwenye kitabu cha hukumu!
 
"Mbowe sio Gaidi" kwa sababu umesema?
Construtivism at work!
I belong to the other side of the essentialist camp.
Mbowe ni gaidi namba moja sisi ndugu zake tunalijua hilo


USSR
 
"Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti! Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake. Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki."
Mungu aliyemnyonga Magufuli ndiye Mungu halisi ambaye ndiye tunamuombea Mbowe!
 
Mungu aliyemnyonga Magufuli ndiye Mungu halisi ambaye ndiye tunamuombea Mbowe!
Huyo ni Mungu wa mitano tena au Mungu wa mitano kwanza?
Ha ha ha!
Mungu wa mitano kwanza dhaifu sanaaaaa!
 
Kwani Magufuli alivyokuwa anatamba Mungu akiondoa korona Tanzania alikuwa ni mungu gani?
 
mungu wa Mbowe kashindwa vibaya, huku Mungu wa Chacha wangwe akiondoka na ushindi wa mapema. Ama kweli Mungu wa kweli hulipa hapa hapa duniani. RIP Chacha Wangwe.
 
Back
Top Bottom