Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Naona kama umetoka kutestiwa
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Ongeza sauti hujasikika wala hujaeleweka.
 
Nimeshindwa soma chapisho lote lkn mimi ni mkatoliki na najua Maombi yamefanyika na yanaendelea kuombwa na kufanyika kwa Wengi. MBOWE NI MLUTHERI A.BAO HUAMINI KATIKA BIBLIA TAKATIFU sawa na makanisa mengine.

Hili suala linaipunguzia hadhi serikali yetu sana kulifuatilia kwa mtindo huu. Waliachie watu wasuuze roho zao
Kwanini msitumie utaalamu wa sayansi (ya sheria) kumchomoa Mbowe ktk kesi? Kama hamuamini maombi kupambana na korona na kuamini sayansi (ya tiba) vivo hivyo huku iwe hivyo, consistency mkuu ipo wapi?
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Umewaza mbali sana.

Wafuasi wa mahabusu hawataweza kuuelewa kirahisi uzi huu
 
Nimeshindwa soma chapisho lote lkn mimi ni mkatoliki na najua Maombi yamefanyika na yanaendelea kuombwa na kufanyika kwa Wengi. MBOWE NI MLUTHERI A.BAO HUAMINI KATIKA BIBLIA TAKATIFU sawa na makanisa mengine.

Hili suala linaipunguzia hadhi serikali yetu sana kulifuatilia kwa mtindo huu. Waliachie watu wasuuze roho zao
Hata shetani alitumia maandiko kumjaribu Yesu
 
Hata shetani alitumia maandiko kumjaribu Yesu
Soma andiko langu kwa kuzingatia mipaka ya urazini pekee. Utaelewa hoja yangu. Nimetumia kanuni tunayoisoma kwenye metaphysics, kanuni ya indiscernibility of identicals. Inakwenda sambamba na kanuni ya dissimilarity of the diverse. Kanuni hizi mbili zina msaada mkubwa dhidi ya upumbazaji wa umma (mass stupefaction) unaofanywa na baadhi ya viongozi wa dini na kisiasa pale wanaposema kuwa "dini zote zinamwabudu Mungu mmoja". Sio kweli. Na kila mtu aliyesoma metapysics anaujua ukweli huu.
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Uzi wa kijinga kabisa kutoka kwa mjinga.
 
Ongeza sauti hujasikika wala hujaeleweka.
Ni hivi:

1. Viongozi wa dini ya Mungu Katoliki hawana jukumu la kisheria la kuombea mtu ambaye sio mfuasi wa Mungu wa Katoliki, kama vile Mbowe.

2. Watu waliomkataa Mungu Katoliki, kama vile Mbowe, hawana haki ya kuombewa kupitia miundombinu ya Kanisa Katoliki.

3. Wafuasi wa Mungu Katoliki hawana haki ya kutumia miundombinu ya kanisa la Mungu Katoliki kumwombea mtu aliyemkataa Mungu Katoliki, kama vile Mbowe.

Done!
 
Kuwa alikuwa anaombwa kuombewa tena kwa lazima,ukigoma moto huo.Ikawa anaingia mpaka huko makanisani na misikitini kuhutubia kana kambwa ndiye Alfa na Omega.
Mlifumba macho..muda huu mnakuja na Uchawi wa mchana kweupu kuongea shudu shudu.
 
Sijasoma huo uharo Ila nikujibu kupitia heading yako kwani JPM alivyokufa anaomba tumuombee alikikuwa anataka tutumie ibada ya Mungu yupi?
Umeuliza: JPM alivyokufa anaomba tumuombee alikikuwa anataka tutumie ibada ya Mungu yupi?

Jawabu: Magufuli alikuwa religious fanatic. Hata angekuwa hai leo asingekupa jawabu sahihi. So, achana na mwendazake. Rejea kwenye hoja.
 
Wengine ni wagene tulipoingia humu kwa kusukumwa na kauli mbiu ya jf kwamba sifa ya members wa jf ni great thinkers Sasa kwa uzi kama huu mbona kama ni kinyume chake!!!
Acha kujitoa ufahamu.
Uzi huu ndio SI unit ya mabandiko ya JF yanavyopaswa kuwa.
Ni uzi chokonozi.
Usome tena!
 
Ni hivi:
1. Viongozi wa dini Katoliki hawana jukumu la kisheria la kuombea mtu ambaye sio mkatoliki, kama vile Mbowe.

2. Watu walioukataa ukatoliki, kama vile Mbowe, hawana haki ya kuombewa kupitia Kanisa Katoliki.

3. Wakatoliki hawana haki ya kutumia miundombinu ya kanisa katoliki kumwombea mtu aliyeukataa ukatoliki, kama vile Mbowe.

Done!
Kwa maoni yangu huo,ni ubaguzi na ubinafsi ,nii imani yangu kuwa imani za dini zinakataza hilo.
 
Uzi wa kijinga kabisa na wa kitoto... Admin wa JF waufute kabisa huu uzi..
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
 
Wakatoliki kila jpili wanamwombea Samoa Suluhu ambae ni muislam, je Mungu wa katoliki ndo Mungu wa waislamu?
Kauli yako hii inatukumbusha kujadiliana kwa kina kuhusu maana ya "maombi", "sala", "maombezi", yaani PRAYER.

Nijuavyo mie, maombi pekee ambayo ni halali kufanywa na Wakatoliki kuhusu Rais Samia, ni kumwomba Mungu wa Wakatoloki akubali kumbadilisha Rais Samia kuwa Mkatoliki. Maombi yote baki ni batili.
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Magufuli alipofariki aliombewa na dini na madhehebu yote Tanzania lakini hatukuiona pua yako hapa, furahia kwa kumtia hatiani Mbowe hata kabla ya kesi kusikilizwa!
 
Back
Top Bottom