Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Katika uharisia wa kiimani hakuna kitu miungu vitu hivyo ni dhana isiyo na ukweli ni hiyo inayoitwa miingu kazi za mikono ya mwanadamu (sanamu) Kisha kuiabudu ndiyo maana MUNGU aliita miungu ya uongo
Na maana ya uongo ni kua Jambo kitu tukio likiitwa la uongo maana yake si kweli halipo hakipo
MUNGU alitutaka tutende matendo ya huruma (ibada) kuwaendea wahitaji wenye njaa wenye shida ya mavazi na hata wahalifu(kifungoni)
Hebu soma bibilia enjili ya mathayo 25;35-40
ubarikiwe sana
 
Sioni kama mama amon ameleleza ujinga sababu Mungu ana taratibu zake za kumuomba... hata wale wenye imani sawa kabla ya kujiombea, au kuwaombea wengine kuna taratibu zake. Mungu atupe neema tuweze kusimama na imani yake kwa matendo

Isaya 1:15
Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone. Ingawa mnatoa sala nyingi, Mimi sisikilizi; Mikono yenu imejaa damu.


Yakobo 4:3
Mnapoomba, hampokei kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya, ili mvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.

1Wakorinto 6: 9, 10
Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msipotoshwe. Waasherati, waabudu-sanamu, wazinzi, wanaume wanaofanya ngono na wanaume, wezi, watu wenye pupa, walevi, watukanaji, na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu


Mathayo 5: 23-24

“Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi utoe sadaka yako.
Duh mimi unaniwekea hizo quotes wakati sio mkristu hata siziamini.
 
Mama Amon huwa upo smart sana naamini hivyo. Ila nadhani labda akili zimekuzidi mpaka sasa umeanza kuwa chizi kwakweli.

Umetumia nguvu sana kuelezea ujinga kwa njia ya kitaalam. Pole kwa kuandika pumba in a technical way.
Hata Galileo Galilei aliambiwa hivo hivyo, lakini hatimaye ukweli wenye msingi wake katika validity ulishinda swaga zenye msingi wake katika plausibility!
 
Sioni kama mama amon ameleleza ujinga sababu Mungu ana taratibu zake za kumuomba... hata wale wenye imani sawa kabla ya kujiombea, au kuwaombea wengine kuna taratibu zake. Mungu atupe neema tuweze kusimama na imani yake kwa matendo

Isaya 1:15
Na mnaponyoosha mikono yenu,Mimi huficha macho yangu nisiwaone. Ingawa mnatoa sala nyingi, Mimi sisikilizi; Mikono yenu imejaa damu.


Yakobo 4:3
Mnapoomba, hampokei kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya, ili mvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.

1Wakorinto 6: 9, 10
Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msipotoshwe. Waasherati, waabudu-sanamu, wazinzi, wanaume wanaofanya ngono na wanaume, wezi, watu wenye pupa, walevi, watukanaji, na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu


Mathayo 5: 23-24

“Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi utoe sadaka yako.
Asante mtumishi, Mama D!
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?
 
View attachment 1897959
Rodrcik Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni ya kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyofanana, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:

Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.

Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.

Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.

Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki.

Ukweli ndio huo!
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?
 
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?

Catholic definition of God

The one absolutely and infinitely perfect spirit who is the Creator of all.

In the definition of the First Vatican Council, fifteen internal attributes of God are affirmed, besides his role as Creator of the universe:

"The holy, Catholic, apostolic Roman Church believes and professes that there is one true, living God, the Creator and Lord of heaven and earth. He is almighty, eternal, beyond measure, incomprehensible, and infinite in intellect, will and in every perfection. Since He is one unique spiritual substance, entirely simple and unchangeable, He must be declared really and essentially distinct from the world, perfectly happy in Himself and by his very nature, and inexpressibly exalted over all things that exist or can be conceived other than Himself" (Denzinger 3001).

Reflecting on the nature of God, theology has variously identified what may be called his metaphysical essence, i.e., what is God. It is commonly said to be his self-subsistence. God is Being Itself. In God essence and existence coincide. He is the Being who cannot not exist. God alone must be. All other beings exist only because of the will of God.

NB: One more divine attribute is INCARNATION. Rarely mentioned by theologians!
 
Haka kamama kanapendaga ubishi na nadharia zake za kukwapua vitabuni halafu kanakuja kulinganisha na maswahiba yaliyowakuta watu maarufu katika jamii
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni za kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu na kulitendea haki, naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, vyenye majina X na Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kinachomaanishwa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Pili, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na vitu viwili vinavyoonekama kuwa tofauti, kiasi kwamba tunaweza kusema kuwa hiki ni kitu cha kwanza, na kile ni kitu cha pili, basi, hiyo maana yake ni kwamba, vitu hivyo vina tofauti inayotokana na ukweli kwamba, kuna angalau sifa moja iliyofungamana na kitu cha kwanza lakini sifa hiyo haikufungamana na kitu cha pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Ukweli ndio huo!
.
Rubbish
mungu wa kweli ni yupo we kinyago
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Sikio haliwezi kuzidi kichwa.
Kurasa za Mama Amon sio saizi yako.
Hamia kwenye chit chat forum.
Wewe mbona wanasiasa wanaombewa kwenye misikiti na makanisasisi kanisani kwetu huwa tunamwombea Raisi ingawa siyo mkiristu
 
Sikio haliwezi kuzidi kichwa.
Kurasa za Mama Amon sio saizi yako.
Hamia kwenye chit chat forum.
Mama amon unaleta porojo tu humu
.Na ujinga mwingi, kuwadanganya maccm wenzio,

Historia inaonyesha kesi nyingi za ugaidi dhidi ya wapinzani wa serekali ni za kubambika tu,

Lwakatare aliyekuwa mkurugenzi wa ulinzi wa chadema alifunguliwa kesi ya ugaidi halimaye alishinda

Mashehe wa uamsho walisingiziwa ugaidi wako huru

Sasa we kwa akili Yako finyu utuambie ni mungu yupi wa kweli, je ni wa wale ambayo nikawaida yao kushitaki uongo au wanaoshitakiwa kwa uongo.

We mama amon mbona unjiita mkiristu alafu kila siku unashinda kwa waganga unautoa sandaka Ili uombewe kwa mizimu

Unashangaa nini mbowe kuombewa na wakatoliki
 
Back
Top Bottom