Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Mbowe ni mkistro na amebadizwa katika jina la Yesu Kristro anakili imani hiyo kila akienda kanisani jumapili, wakatoliki ni wakristo wamebatizwa katika Kristo Yesu, wote tunatumia kitabu kimoja yaani biblia takatifu, Mungu tunayemwabudu ni mmoja katika utatu mtakatifu Baba, Mwana naoho Mtakatifu, wote Mungu wetu ni mmoja..
Amina kubwa
 
Naona unatoka nje ya mada.

Hoja yangu unaanzia kwenye Ukatoliki na sheria zake, canon laws!

Sheria hizi zinakataza kuhani mlutheri kukanyaga kwenye madhabau katoliki

Zinakataza mtu aliyeishi nje ya ukatoliki kuombewa kwa njia ya ibada ya mazishi.

Vivyo hivyo, zinakataza mtu asiye mkatoliki kupata huduma za kiroho ambazo ni haki ya wakatoliki.

Mambo ya uislamu siongelei kwa sababu hizi.
YESU baada ya kuukataa UYAHUDI akawa MKRITSO WA DHEHEBU GANI? Naomba jibu kwa marejeo ya maandishi ili tuone uhalali wa dhehebu lipi ndiyo maombi yake yanapokelewa!
 
Wewe hakupokea UKRISTO, alianzisha Ukristo!
Hakuanzisha DINI, alipokea DINI kutoka kwa BABA WA MBINGUNI. Kipi alifanya kisicho ndani ya maelekezo ya BABA MUNGU?

"Nimemtoa ili kuokoa ulimwengu".

Huyu alishuka kwa makusudio, ukristo ndiyo dini alisha elekezwa kusambaza.

Nimekuuliza, YESU alikuwa DHEHEBU GANI?
 
Nimekuuliza, YESU alikuwa DHEHEBU GANI?
Alikuwa dini ya Kiyahudi, mumini wa madhehebu mojawapo kati ya haya:

  • Hasidic Jews are one part of the Haredi community, the most theologically conservative form of Judaism.
  • In Reform Judaism, prayer is often conducted in the vernacular and men and women have equal roles in religious observance.
  • Orthodox Judaism holds that the Torah was written by God and dictated to Moses, and that the laws within it are binding and unchanging. Orthodox Judaism consists of Modern Orthodox Judaism and Haredi Judaism. Hasidic Judaism is a sub-set of Haredi Judaism. Most Jews affirm a form of Jewish theology based on Maimonides' 13 principles of Jewish faith.
  • Reform Judaism originally formed in Germany in response to the Enlightenment. It holds most of the commandments of the Torah are no longer binding and rejects many Jewish customs, emphasizing instead the moral and ethical teachings of the prophets. Reform prayer services are often in the vernacular rather than Hebrew, and Reform rabbis are allowed to perform interfaith marriages.
  • Conservative Judaism. Conservative Judaism formed in the United States in the late 1800s through the fusion of two distinct groups: former Reform Jews who were alienated by that movement's emphatic rejection of Jewish law, and former Orthodox Jews who had come to question traditional beliefs and favored the critical study of sacred Jewish texts. Conservative Jews generally hold that Jewish laws should be retained unless there is good reason to reject them.
  • Reconstructionist Judaism started as a stream of philosophy within Conservative Judaism, and later became an independent movement emphasizing reinterpreting Judaism for modern times.
  • Secular Judaism. Though not a formal denomination, secular Judaism, also known as cultural Judaism, forms perhaps the largest group of Jews today. Secular Jews do not adhere to any Jewish sect, rarely attend synagogue, and are not observant of most Jewish customs. While the majority of secular Jews believe in God, some are agnostics or atheists, while continuing to identify themselves as ethnic and cultural Jews.
  • Humanistic Judaism is a small, non-theistic movement that emphasizes Jewish culture and history as the source of Jewish identity. Founded by Rabbi Sherwin Wine, it is centered in North America but has adherents in Europe, Latin America, and Israel.
 
Sababu ni hii: Mungu wa Wakatoliki sio kisawe cha Mungu wa Walutheri.

Ni hivi:

Mungu wa Wakatoliki na Mungu wa Walutheri wanafanana kwa sababu wote wanazo nafsi tatu, walishiriki kuumba mbingu na nchi, nk.

Lakini:

Kwa upande mmoja, MUngu wa Wakatoliki, kati ya mengine, anakataza matumizi ya kondomu, anazuia makuhani kuoa, alianzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa malengo mazuri hayapaswi kuhalalisha mbinu haramu hata siku moja.

Kwa upande mwingine, Mungu wa KKKT anaruhusu matumizi ya kondomu, anaruhusu makuhani kuoa, hakuanzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa katika mazingira fulani malengo mazuri yanaweza kuhalalisha mbinu haramu.

Mbowe katika umri wa utu uzima anazijua tofauti hizi na ameamua kwa hiari yake mwenyewe kubaki katika kambi ya Mungu wa KKKT.

Kuna swali jingine?
Nimerejea andiko lako #133, wapi inaeleza kuwa baada ya Yesu kukataa UYAHUDI na kushika UKRISTO, akawa DHEHEBU flani?!
 
Alikuwa dini ya Kiyahudi, mumini wa madhehebu mojawapo kati ya haya:

  • Hasidic Jews are one part of the Haredi community, the most theologically conservative form of Judaism.
  • In Reform Judaism, prayer is often conducted in the vernacular and men and women have equal roles in religious observance.
  • Orthodox Judaism holds that the Torah was written by God and dictated to Moses, and that the laws within it are binding and unchanging. Orthodox Judaism consists of Modern Orthodox Judaism and Haredi Judaism. Hasidic Judaism is a sub-set of Haredi Judaism. Most Jews affirm a form of Jewish theology based on Maimonides' 13 principles of Jewish faith.
  • Reform Judaism originally formed in Germany in response to the Enlightenment. It holds most of the commandments of the Torah are no longer binding and rejects many Jewish customs, emphasizing instead the moral and ethical teachings of the prophets. Reform prayer services are often in the vernacular rather than Hebrew, and Reform rabbis are allowed to perform interfaith marriages.
  • Conservative Judaism. Conservative Judaism formed in the United States in the late 1800s through the fusion of two distinct groups: former Reform Jews who were alienated by that movement's emphatic rejection of Jewish law, and former Orthodox Jews who had come to question traditional beliefs and favored the critical study of sacred Jewish texts. Conservative Jews generally hold that Jewish laws should be retained unless there is good reason to reject them.
  • Reconstructionist Judaism started as a stream of philosophy within Conservative Judaism, and later became an independent movement emphasizing reinterpreting Judaism for modern times.
  • Secular Judaism. Though not a formal denomination, secular Judaism, also known as cultural Judaism, forms perhaps the largest group of Jews today. Secular Jews do not adhere to any Jewish sect, rarely attend synagogue, and are not observant of most Jewish customs. While the majority of secular Jews believe in God, some are agnostics or atheists, while continuing to identify themselves as ethnic and cultural Jews.
  • Humanistic Judaism is a small, non-theistic movement that emphasizes Jewish culture and history as the source of Jewish identity. Founded by Rabbi Sherwin Wine, it is centered in North America but has adherents in Europe, Latin America, and Israel.
Umesema aliukataa UYAHUDI baada ya kuwa mtu mzima, akashika njia ya UKRISTO. Sasa unarudi tena kwenye MADHEHEBU ya UYAHUDI wake ambao aliukataa!!

Tunaanzia katika UKRISTO wake, baada ya kuanza kuuishi aliingia DHEHEBU gani?
 
Umesema aliukataa UYAHUDI baada ya kuwa mtu mzima, akashika njia ya UKRISTO. Sasa unarudi tena kwenye MADHEHEBU ya UYAHUDI wake ambao aliukataa!!

Tunaanzia katika UKRISTO wake, baada ya kuanza kuuishi aliingia DHEHEBU gani?
  • Reconstructionist Judaism started as a stream of philosophy within Conservative Judaism, and later became an independent movement emphasizing reinterpreting Judaism for modern times. Then it became Christianity
 
Huko umeeleza madhehebu yake pindi akiwa MYAHUDI!
  • Reconstructionist Judaism started as a stream of philosophy within Conservative Judaism, and later became an independent movement emphasizing reinterpreting Judaism for modern times. Then it became Christianity
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni za kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu na kulitendea haki, naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, vyenye majina X na Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kinachomaanishwa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Pili, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na vitu viwili vinavyoonekama kuwa tofauti, kiasi kwamba tunaweza kusema kuwa hiki ni kitu cha kwanza, na kile ni kitu cha pili, basi, hiyo maana yake ni kwamba, vitu hivyo vina tofauti inayotokana na ukweli kwamba, kuna angalau sifa moja iliyofungamana na kitu cha kwanza lakini sifa hiyo haikufungamana na kitu cha pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Ukweli ndio huo!

Pengine wanamuombea apatiwe hekima ili asiendelee kutenda kipumbavu.
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni za kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu na kulitendea haki, naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, vyenye majina X na Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kinachomaanishwa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Pili, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na vitu viwili vinavyoonekama kuwa tofauti, kiasi kwamba tunaweza kusema kuwa hiki ni kitu cha kwanza, na kile ni kitu cha pili, basi, hiyo maana yake ni kwamba, vitu hivyo vina tofauti inayotokana na ukweli kwamba, kuna angalau sifa moja iliyofungamana na kitu cha kwanza lakini sifa hiyo haikufungamana na kitu cha pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Ukweli ndio huo!
Mungu ni mmoja, dini nyingi, madhehebu mengi na hata makanisa na misikiti mingi ya kumuabudu na kumtukuza huyo huyo.
HAKI ni moja na haichagui dini, kabila au rangi ya mtu.
 
  • Reconstructionist Judaism started as a stream of philosophy within Conservative Judaism, and later became an independent movement emphasizing reinterpreting Judaism for modern times. Then it became Christianity
"It became CHRISTIANITY".

Well, kwa lugha nyepesi mfumo wa imani wa JUADISM katika maboresho ndiyo ukazaa mfumo KRISTO (DINI).

Hoja yangu ni DHEHEBU siyo DINI. Maana hata Abraham anatajwa kuwa founder wa JUADISM katika some sources!

Niambie tu kimoja YESU alikuwa DHEHEBU GANI kati ya MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?

Tutarudi kujadili JUADISM (kama mfumo tangu Ancient Ages).
 
+ Ukhanithi wa 5G ndani yake.
1629446967487.png
 
Back
Top Bottom