Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anaombewa kwa miungu yote kwa sababu inaaminika miungu yote inapenda haki.Naina hata hujaelewa hoja.
NImesema: YESU NI MWANA WA MUNGU.
Maneno YESU na Mungu yana maana nyingi.
Kuna Yesu wa Kanisa la Magharibu, Yesu wa Kanisa la Mashariki, Yesu Mlutheri, etc
Pia kuna Mungu wa Kanisa la Magharibu, Mungu wa Kanisa la Mashariki, Mungu wa Mlutheri, etc
Ukifanya substitutions unapata jibu.
Usinipotezee muda.
Nafanya mambo muhimu kuliko hilo swali lako.
Kwa heri
Nakanusha tamko lako mpaka hapo utakapoweza kuonyesha kosa katika hoja hii:Anajambajamba tu.
Hata Mungu wa radi zinazoua watu anapenda haki?Mbowe anaombewa kwa miungu yote kwa sababu inaaminika miungu yote inapenda haki.
Inaaminika hivyoHata Mungu wa radi zinazoua watu anapenda haki?
Kwa hiyo kuua mtu kwa kutumia radi ni kitendo cha haki?Inaaminika hivyo
Kama huyo mtu alikuwa anatesa wenzakeKwa hiyo kuua mtu kwa kutumia radi ni kitendo cha haki?
Inaaminika hivyoKwa hiyo kuua mtu kwa kutumia radi ni kitendo cha haki?
Nani anaamini hivyo na kwa nini?Inaaminika hivyo
Wanaomini miungu hulipiza kisasi au huwapa watu karma zao.Nani anaamini hivyo na kwa nini?
Kuomba ni HAKI aliyo nayo muumini wa Mungu fulani.
Kama siamini kwamba kuna ng'ombe siwezi kuomba "maziwa" ya ng'ombe.
Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo na ndio maana sio Mkatoliki. Kwa hiyo hawezi na hapaswi kuomba wala kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu.
Mbowe anaamini kwamba Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri. Kwa hiyo anaweza kuomba na kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu pekee.
Inaaminika ukiiudhi miungu huwa inaleta majanga na maafa hadi toba itakapoombwa ikiambatana na sadaka au kafara.Kwa hiyo kuua mtu kwa kutumia radi ni kitendo cha haki?
Katika ulimwengu wa essentialism haki na majukumu vinaanzia na kukomea katika hulka ya binadamu ambayo sio plastiki kihivyo.Wanaomini miungu hulipiza kisasi au huwapa watu karma zao.
Hiyo ni teolojia ya sadistic God, who by definition is an evil and unjust GodInaaminika ukiiudhi miungu huwa inaleta majanga na maafa hadi toba itakapoombwa ikiambatana na sadaka au kafara.
Ipi teolojia ya god asiye sadistic na ambaye sio evil wala unjust?Hiyo ni teolojia ya sadistic God, who by definition is an evil and unjust God
Katika ulimwengu wa essentialism haki na majukumu vinaanzia na kukomea katika hulka ya binadamu ambayo sio plastiki kihivyo.
Kwa hivyo, kuongelea haki na majukumu katika mtazamo wa constructivism ni jambo ambalo limekataliwa na wanazuoni mamboleo wote.
Katika divine attributes ninazozifahamu hakuna hata moja inamtaja Mungu kama sadistic.Ipi teolojia ya god asiye sadistic na ambaye sio evil wala unjust?
Katika divine attributes ninazozifahamu hakuna hata moja inamtaja Mungu kama sadistic.
Hoja yangu ni fupi kuhusu jambo hili. Divine attributes zinazojadiliwa na wanazuoni ni zile ambazo zinatajwa na waumini (subjective conceptions of God). Na hizo ndizo tunaweza kujadili.miungu imeanza kuabudiwa zamani sana kabla hata ya hao wanazuoni mamboleo hawajawahi kuwepo na wanazuoni mamboleo wako wa aina nyingi sana, inategemea yupi unachagua na unapenda kumuamini.
Ndiyo. Kuna adhabu ambazo sio sadistic. Maumivu ni sehemu ya uovu wa kifizikia na kisaikolojia. Kuchagua uovu wa kifizikia na kisaikolojia kama njia ya kukamilisha lengo jema kimaadili ni kujiweka katika kundi la wattu wanaotendaji maovu ya kimaadili.Kuwaadhibu waovu ni u-sadistic?