Kha! Yamekuwa hayo tena! Anyways ni kweli tukipata hela tunaenda kupata totoz nyingine na hiyo ni katika kuonyesha kuwa wanaume tuna moyo wakipekee uliojaa upendo na hivyo sio vyema hela zote zilaenda sehemu moja wakati wapo wanawake wazuri wenye uhitaji wa rasimali tulizokuwa nazo.Wanawadharau kwa sababu hata nyie mkizipata huwa mnaenda kutumbua na wanawake wengine.
Fafanua kwanza kutokuwa na hela kukoje?
1.hajawahi kuwa na hela 2. ameishiwa? 3. ana hela kidogo amezidiwa na KE?
Namba 3 Inawezekana, 1&2 Mwanamke ajiaandae kuna mambo atadeal nayo hadi atakinai mwenyewe; insecurities, attitudes, anaweza kuwa violent, anaweza kuwa unmotivated, controlling, nagging etc.
Si kwa ubaya, mwanaume asipokuwa na hela anakuwa anadeal na mambo mengi sana kichwani yanayomfanya iwe ngumu sana kuishi na mwenza.
Kwa kuongezea: huwezi ijui tabia halisi ya Mwanaume asiyekuwa na hela.
Anyways, tuwaombee wanaume wapate pesa kwasababu nadhani ni kitu kigumu sana kwao. (Nimeongea kama dada wa mtu)
Sikatai kabisa.
japo huwa tunaziover look tabia za ME ambaye hana hela. Hii ndio point yangu ya leo.
Kuna muda kukosa pesa kwenyewe si tatizo, siamini kama waliodumu na wake zao katika maisha yao yote mambo yalikuwa yamenyooka.
Simtetei yeyote hapa.
Anaweza akawa na trait zingine zozote kama binadamu, But kuwa insecure ni trait specifically inatokana na kukosa pesa. Halafu hakuna kitu kibaya kama kuwa na ME ambaye ana trait hii and it gets the best of him.Tuzijue tabia hizoπ«€
Frfr.Duuuh , tutafute pesa fr [emoji52]
Eti jamaniSasa mwanaume anakosa je pesa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Rudisha ile I'd yako mremboJapo kutesa sio kila siku ila....
Kwakweli kila mwanaume na awe na helaFafanua kwanza kutokuwa na hela kukoje?
1.hajawahi kuwa na hela 2. ameishiwa? 3. ana hela kidogo amezidiwa na KE?
Namba 3 Inawezekana, 1&2 Mwanamke ajiaandae kuna mambo atadeal nayo hadi atakinai mwenyewe; insecurities, attitudes, anaweza kuwa violent, anaweza kuwa unmotivated, controlling, nagging etc.
Si kwa ubaya, mwanaume asipokuwa na hela anakuwa anadeal na mambo mengi sana kichwani yanayomfanya iwe ngumu sana kuishi na mwenza.
Kwa kuongezea: huwezi ijui tabia halisi ya Mwanaume asiyekuwa na hela.
Anyways, tuwaombee wanaume wapate pesa kwasababu nadhani ni kitu kigumu sana kwao. (Nimeongea kama dada wa mtu)
Iwe ni kosa la jinai, wafungwe.Eti jamani
Anakosaje hela!
Umeongea kwa uchungu sana ndugu yanguHuu upuuzi wa pesa umeanzishwa na wanaume madomo zege na wazee, hawa mabinti wameingizwa tu kwenye mfumo na wamefit kwelikweli.
Tuache upumbavu wa kuwaharibu hawa mabinti kiakili kwa pesa, tunatengeneza malaya wa kutosha tu.
Unakutana na binti na udomo zege wako unamjaza mihela nayeye anazoea, mkiachana unadhani atamkubali asiye na kitu?? Itabidi yeye ndo aanze kuwawinda wenye pesa ili aendelee kuishi maisha yapesa ulokuwa unampa( huyu tayari keshakuwa malaya)
Tena kwa fedheha sana, sahivi wanasema zingatia maokotoHawawezi mkuu, ukitaka kuamini we yumba kiuchumi utaachwa mchana kweupe tu
Dah kudadek ππππUtapataje mahitaji bila pesa au utakuwa unafanya batter trade?
AftatuHivi ili "fulani ana hela"
Anatakiwa kuwa na kiasi gani cha fedha[emoji848]
Wenye akili za kusaidiana siku hizi mpo wachache.Hela gani unazizungumzia ?muhimu ananipa furaha mengine tutasaidiana,pesa zinatafutwa bhn
Nagonga muhuri kabisaIwe ni kosa la jinai, wafungwe.
What shows kwamba the dude is insecureAnaweza akawa na trait zingine zozote kama binadamu, But kuwa insecure ni trait specifically inatokana na kukosa pesa. Halafu hakuna kitu kibaya kama kuwa na ME ambaye ana trait hii and it gets the best of him.
Sikatai, yamkini kila mtu ana insecurities zake, wengine hujitahidi kuzifunika na kibunda, sababu kibunda kinaleta confidence.
Kama ulivyosema tutafute pesa, si kwaajili ya mapenzi tu.
Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
Tofauti kumbe kuna sisi ambao tukiwa na pesa ndio tunaendekeza wivu na mapenzi maana ukishakuwa na hela hakuna kitu kingine cha ziada cha kufanya dunian zaidi ya hizi starehe za mapenzi, tukikosa pesa ndio tunakuwa hatujali kabisa hata ukichiti hilo utajua mwenyewe maana tunajua tatizo ni pesa hivyo hatushughuliki na mapenz zaidi zaidi tunabaki bize kusaka hela.Angalau za kupandia bodaboda ziwepo sio lazima za uber.
Mwanaume akiwa hana hela kudeal nae ni ngumu sana. Unaweza ukawa unacheka na comments za jf akakwambia unamcheka yeye! Au ukachelewa kujibu sms/call ukaambiwa..."naona siku hizi unanidharau kwa kuwa sina hela..."
Hizi attitudes wengi ndo huwa zinawakatisha tamaa!