mods njooni mfunge hii topic khaaa mnatunanga wa fupi jaman hadi kuwatongoza tutaogopa ngoja warefu wawachezee mkichuja msikimbilie kwetu shenz typee invincible njoo funga huku tunanyanyaswa kimawazo
Duh!we mdada umewashitukia?kila mtu hapa anadai ni tall,
its more than appearance that am looking into a man
Siku hizi mwanaume ukiwa na Pesa unakua na sifa zote urefu,ufupi, weusi au weupe. wanawake watakupenda tu.
Ukiona wewe ni mrefu unapendwa na hauchangii chochote kwenye gharama za mapenzi jua wewe unaibiwa ila ni siri ya ndani.!
I didnt.
we mtoto wa kike unakuaga na koment zilizo komaa, i think huyo man wako atakua the happiest man in planet, ni kweli A man is more than just Appearance other wise kama umri wako kama watoto wa secondary wanakuja kurealize time imewaacha.
mi mzima best...
kuna mdada nataka nimtawanye..! lols!
si mnamaind urefu na ublack.. sasa ngoja nioneshe mfano!
wanaume wenye pesa huwa wanaona pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. wanajidanganya sana.
Mtafute Cyan6 akupe ramani
wanaume wenye pesa huwa wanaona pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. wanajidanganya sana.
Hahahaaa hajui kwamba tunahesabiwa humu tunaopenda warefu! Mkuu idadi imevuka lengo dah!
yaani kuna watu wanachanganyaga pesa na mapenzi
watu wameolewa na wanaume na miela yao lakin wanatafuta mapenzi kwa mashamba boy
Huwa appearance hainipotezeagi muda mie.
Si unamuona kaka yako?
wanaume wenye pesa huwa wanaona pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. wanajidanganya sana.
umeona eeeh! mwanamke mpaka akupende kiukweliii kuna vingi vya ziada na si pesa na sura zao sijui rangi.
Haswa waliopata ukubwani na bila kutegemea!!!!!
Acha wawatunzie watoto wa mjini wanawake!!!!!
Ha ha haaaa weewe tena Husninyo bila kusema hili leo nisingelala!!!kwenye hii thread kila mwanaume atajifanya mrefu