Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

images
 
Em tall n black...but love me at ur own risk..naonwa na wengi...
 
Hahahahaahaa kwa kweli hiyo sio feature ya future husband nimtakayee, akiwa na career yake tu itakayofanya tukashare majukum nice kwangu ila asiwe short hahahaa kwasababu atakuwa stubborn

Hah hah hah carrier ni fundi mchundo, na ni mweusi kama kiwi pamoja na six parks will u marry me pls....!?
 
Hahahahaahaa kwa kweli hiyo sio feature ya future husband nimtakayee, akiwa na career yake tu itakayofanya tukashare majukum nice kwangu ila asiwe short hahahaa kwasababu atakuwa stubborn

kati ya mfupi mwenye pesa na mrefu hana kitu utachagua yupi? je, uko tayari kuishi na mwanaume hata kama unamlisha mradi tu ni mrefu?
 
kati ya mfupi mwenye pesa na mrefu hana kitu utachagua yupi? je, uko tayari kuishi na mwanaume hata kama unamlisha mradi tu ni mrefu?

Mrefu....what I need someone I can feel love for him... na mfupi nimpende tu kwa kuwa ana pesa, na jua kama ntakua nimefata pesa kwake not love siku akifirisika ntachapa rapa... I can't do that mkuu
 
Mrefu....what I need someone I can feel love for him... na mfupi nimpende tu kwa kuwa ana pesa, na jua kama ntakua nimefata pesa kwake not love siku akifirisika ntachapa rapa... I can't do that mkuu

sawa nimekupata.. kati ya kupenda na kupendwa kipi unakihitaji zaidi..
 
dada. ni kitu gani unakikosa ukiwa na mwanaume mfupi lakini unakipata ukiwa na mwanaume mrefu?

Hahahahahaaha... mbona nimekua muwazi mkuu, shida anayonipa ma short boyfriend imenifanya nichukie wanaume wafupi, thou sio wote ila wengi wao wanawivu, selfish na wanajiona superior not like tall men wapo very understandable
 
Back
Top Bottom