Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Tunatembea kidogo kidogo tukinyatanyata.......🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️ ,hiyo laini mwisho ndio kusema PM ipo wazi.....
 
Kama hujatafuta solln, Jaribu kujiangalia nawew una kasoro gan???
 
Rudi kijijini kwenu, tafuta nurse au Mwalimu ajira mpya, kabla hawajamiliki smart phone, utanishukuru sana
 
kwanini iwe nikikosa kabisa, mbona unajiweka last option hivyo kuna shida gani?!
 
the game of psychology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…