Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Dada zetu hao wanapenda bad boys,ila baadae sana baada ya kuumizwa na kutendwa na kuzalishwa wanaanza kutafuta good/nice boys,yaani hutafuta kitu ambacho mwanzoni walikuwa nacho na kukidharau.

Mwanangu wewe kaza concentrate na mambo yako mke atakuja mwenyewe na husibadilike kitabia,eti uwe bad boys kuwa hivyo hivyo ndivyo Mungu alivyo kuumba,unaweza ukasema uchange kidogo eti uwe bad boys ukaja kupotea mazima.

Honestly wanawake ni wa kuonewa huruma hawajawahi kujua wanacho kitaka, kuna mabinti wawili yaani ni majirani ambao tumekuwa kama ndugu,wamekuja kuzalishwa na watu wa hovyo, wakati kulikuwa na wana walikuwa wapo tayari kwa kila kitu, mmoja kazalishwa na muimba singeli,mwengine bodaboda, maana walikuwa wanataka bad boys na kweli wamepewa mabad boys kiwango cha lami.

Bro usiumie kichwa concentrate na mambo yako mke wako atakuja mwenyewe.Huyo mwache na mara nyingi huwaga na tabia ya kurudi na kujuta, nimesha shuhudia sana marafiki zangu,achana nae fanya mambo yako.
Kweli kabisa kuna manzi alikua amenielewa ila sababu ya kikaz na umbali, hatukuwahi kutana kiutu uzima.

Mwaka jana namuona anapost mtoto, nikauliza nikajibiwa ni wake, kumuuliza baba wa mtoto yukowap ... akanipa kisa kuwa baba wa mtoto alikimbia alipojua anamimba... nikapotezea.

Nikakumbushia ahadi yetu vp ya kula tunda ananiambia niende kwao nikajitambulishe nimuoe kama namtaka.

Weeee sijai mgusia tena kula tunda lake tangia siku hiyo

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Approach zako sio za kiume mkuu, mwanamke hapasw kbs kupewa attention in such ww, unavyoonekana unadhani kwamba unaweza mshawish mwanamke kupitia zawadi au monthly allowance hapana, kifupi mwanamke hataki mwanamme anayempenda sana, tuliza ball jipange chagua kujipenda ww kwanza,
 
Approach zako sio za kiume mkuu, mwanamke hapasw kbs kupewa attention in such ww, unavyoonekana unadhani kwamba unaweza mshawish mwanamke kupitia zawadi au monthly allowance hapana, kifupi mwanamke hataki mwanamme anayempenda sana, tuliza ball jipange chagua kujipenda ww kwanza,
Mwanamke hataki mwanaume anayempenda, nani kakwambia?
Haya mambo hayanaga formular, ni mtu tu akuelewe!
 
Pole mkuu, mwenyewe niko kama wewe.Natamani niwe na familia yangu.Niwe na mume wangu mpendwa na watoto ila ndiyo hivyo mimi sitokagi ndani sijui huyo mume atakuja kunigongea mlango..

Ushauri.Ukitaka mke, don't be so desperate. They will take advantage of you.

Ukikosa kabisa,njoo tujaribishe .
 
Pole mkuu, mwenyewe niko kama wewe.Natamani niwe na familia yangu.Niwe na mume wangu mpendwa na watoto ila ndiyo hivyo mimi sitokagi ndani sijui huyo mume atakuja kunigongea mlango..

Ushauri.Ukitaka mke, don't be so desperate. They will take advantage of you.

Ukikosa kabisa,njoo tujaribishe .
Be careful what you wish for, some are snakes acting as ropes.
 
Pole mkuu, mwenyewe niko kama wewe.Natamani niwe na familia yangu.Niwe na mume wangu mpendwa na watoto ila ndiyo hivyo mimi sitokagi ndani sijui huyo mume atakuja kunigongea mlango..

Ushauri.Ukitaka mke, don't be so desperate. They will take advantage of you.

Ukikosa kabisa,njoo tujaribishe .
Aya nenda kwa jamaa
Mimi nitaftie mdogo wako
Hakikisha ana utu na utulivu, atakaula mema ya nch.
 
Kuna standard ya wanawake ulishajiwekea akilini mwako, na ndio hao wanakutesa.
Wake zetu tunapishana nao barabarani lakini hatuwazingatii.
Njia rahisi kabisa ambayo inaweza kukusaidia, kama una dada au ndugu wa kike unayependa tabia zake basi fanya naye urafiki uwe unamtoa out kwa sharti aje na marafiki zake wa kike. Maybe kuna mmoja anaweza kukufaa.
Kingine nenda kwenu huko mikoani uwe unatembelea ndugu na marafiki. Mtembea bure sio sawa na mkaa bure.

Nimemaliza.
njia sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom