Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Mshirikishe Mungu,
Amesema apataye mke amepata kitu chema,naye amejipatia kibali kutoka kwa Bwana

Lakini pia amesema katika kitabu cha Isaya

"Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana, hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake. Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza, na Roho wake atawakusanya pamoja..."

Lakin pia Amesema tena katika kitabu cha isaya 60:22

When the time is right,
I,THE LORD, will come quickly...I will make these things happen

Na Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Hbr wana JF,

Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua motomoto, tukaanza kupanga mipango ya ndoa kabisa huu mwaka tuwe mume na mke.

Baada ya miezi kadhaa, akaanza kubadilika. Nakumbuka alianza kununa tukiwa vacation Zanzibar. Akawa kama ana moods hivi, ukimuuliza kuna changamoto gani hasemi. Nikaona mambo ya kike labda nitulie. Basi kuanzia hapo akawa kama anani dharau na hanijali tena kama mwanzo. Nilikua naumia ila nikawa navumilia. Lakini kwa tabia zile alizoanzisha ikanilazimisha baadhi ya mambo tulipanga kufanya - kama kwenda kujitambulisha kwao tusitishe kwanza maana sikua namuelewa, anasahau mpaka tarehe muhimu kwenye mahusiano yetu kitu ambacho sio cha kawaida. Baada ya muda nikaenda nje ya nchi kikazi, katika nchi ambayo tulikua tunapishana masaa na hapo ndio mapicha picha yakazidi akawa hapokei simu kabisa akidai yuko busy etc. Kwa muda wote niliokua nje ya nchi kama miezi miwili hatukuwahi kuongea kwenye simu, kila nikijaribu kumtafuta anasema yuko busy atanicheki lakini hafanyi hivyo. Basi nikaanza kufanya maamuzi magumu, nikaacha kumpa monthly allowance na kumnunulia zawadi kama nilivyokua nafanya mwanzo. Nilivyorudi nchini, bado nikamtafuta kujua tatizo ni nini na nakumbuka pamoja na tofauti tulizokua nazo bado nilitoka ulaya na zawadi kadhaa nimemchukulia nikampa. Kikao hakikuenda sawa, binti akaniambia hana feelings na mimi na nikitaka kuwasiliana nae lazima nifanye appointment au nitafute mwanamke mwingine wa kua nae. Aisee, kikao kiliishia hapo. To cut the story short, mahusiano yaliisha pia.

Hii ni case moja tu kati ya nyingi ambazo nimeshakumbana nazo. Katika miaka 10 iliyopita nishakua kwenye mahusiano mengi sana na yamekwama kwa sababu tofauti tofauti, ingawa hii ya juzi iliniuma maana nilijitahidi kufanya kila kitu inavyotakiwa na mhusika mwenyewe pia nilijua anajitambua maana at 31 ni mtu mzima sio mtoto mdogo ni mwanamke aliepitia mengi. Mwaka umeanza nimekata tamaa kama naweza kweli na mimi siku moja kupata mke, nikaanzisha familia na kua na watoto. Kila kitu ninacho - kazi nzuri, kipato kizuri yani ni mke tu ndio imekua changamoto. Kuna wakati najilaumu labda ningekua nakunywa pombe & mtu wa starehe huenda ingekua rahisi kwangu maana haya maisha ya kua busy na kazi muda wote nayo ni changamoto sikutani na watu ila ndio nafanyaje sasa na pesa naitaka pia.

Naomba ushauri wadau, nifanyeje?!


NB:
Niliwahi kuandika uzi humu wa kutafuta : A wife is needed
Huenda huwa ridhishi ndio maana wanakata moods zao kwako kaka jitafute uangalie wapi uko na shida
 
Usitafute mwanamke dar es salaam,ili ufanikiwe tafuta muha,msukuma. ,mchaga au mmasai ,wafipa, wanawake wa makabila hayo sio wasumbufu kivile mkuu nenda nje ya mkoa.
Hapa umenena vema... Hapo kwa kuoanmchaga asiwe kizembezembe. Kwa msukuma ndio mke uhakika upande wa Muha Sina uzoefu nk
 
Hbr wana JF,

Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua motomoto, tukaanza kupanga mipango ya ndoa kabisa huu mwaka tuwe mume na mke.

Baada ya miezi kadhaa, akaanza kubadilika. Nakumbuka alianza kununa tukiwa vacation Zanzibar. Akawa kama ana moods hivi, ukimuuliza kuna changamoto gani hasemi. Nikaona mambo ya kike labda nitulie. Basi kuanzia hapo akawa kama anani dharau na hanijali tena kama mwanzo. Nilikua naumia ila nikawa navumilia. Lakini kwa tabia zile alizoanzisha ikanilazimisha baadhi ya mambo tulipanga kufanya - kama kwenda kujitambulisha kwao tusitishe kwanza maana sikua namuelewa, anasahau mpaka tarehe muhimu kwenye mahusiano yetu kitu ambacho sio cha kawaida. Baada ya muda nikaenda nje ya nchi kikazi, katika nchi ambayo tulikua tunapishana masaa na hapo ndio mapicha picha yakazidi akawa hapokei simu kabisa akidai yuko busy etc. Kwa muda wote niliokua nje ya nchi kama miezi miwili hatukuwahi kuongea kwenye simu, kila nikijaribu kumtafuta anasema yuko busy atanicheki lakini hafanyi hivyo. Basi nikaanza kufanya maamuzi magumu, nikaacha kumpa monthly allowance na kumnunulia zawadi kama nilivyokua nafanya mwanzo. Nilivyorudi nchini, bado nikamtafuta kujua tatizo ni nini na nakumbuka pamoja na tofauti tulizokua nazo bado nilitoka ulaya na zawadi kadhaa nimemchukulia nikampa. Kikao hakikuenda sawa, binti akaniambia hana feelings na mimi na nikitaka kuwasiliana nae lazima nifanye appointment au nitafute mwanamke mwingine wa kua nae. Aisee, kikao kiliishia hapo. To cut the story short, mahusiano yaliisha pia.

Hii ni case moja tu kati ya nyingi ambazo nimeshakumbana nazo. Katika miaka 10 iliyopita nishakua kwenye mahusiano mengi sana na yamekwama kwa sababu tofauti tofauti, ingawa hii ya juzi iliniuma maana nilijitahidi kufanya kila kitu inavyotakiwa na mhusika mwenyewe pia nilijua anajitambua maana at 31 ni mtu mzima sio mtoto mdogo ni mwanamke aliepitia mengi. Mwaka umeanza nimekata tamaa kama naweza kweli na mimi siku moja kupata mke, nikaanzisha familia na kua na watoto. Kila kitu ninacho - kazi nzuri, kipato kizuri yani ni mke tu ndio imekua changamoto. Kuna wakati najilaumu labda ningekua nakunywa pombe & mtu wa starehe huenda ingekua rahisi kwangu maana haya maisha ya kua busy na kazi muda wote nayo ni changamoto sikutani na watu ila ndio nafanyaje sasa na pesa naitaka pia.

Naomba ushauri wadau, nifanyeje?!


NB:
Niliwahi kuandika uzi humu wa kutafuta : A wife is needed
Kutafuta mwenza wa maisha kwa kutegemea utashi,Elimu,pesa au akili zako mwenyew ni kazi sana hata Mimi nilipitia changamoto sana za kutafuta mwenza baada ya kuhitimu chuo ila namshkuru MUNGU alinipatia MKE MWEMA asee ingawa haikuwa rahisi.

Binafsi baada ya kuchoshwa na mambo ya wanawake kuumizwa kwenye mahusiano ndipo nilisikia sauti ndani yangu Nifunge siku 3 na baada ya kufunga nkaenda kumtolea sadaka MUNGU kanisani anisaidie kwani nilikuwa nipo serious sana kupata mke ukizngatia kaumri nako kamesogea na teali nna ajira ya kuniingizia kipato by that time nilikuwa 28yrs.

Ilipita kama 3 weeks baada ya mfungo wa siku 3 ndipo siku 1 nkasema nna Muda sikwenda kumchek sister ang nyumban nkafunga Safari ya kwenda kumcheki sister ilikuwa mida ya saa1 moja hivi jioni kufika tukapiga story ukafika muda wa kula...Akaja mfanyakazi wa sister ni mdada mmoja tabasam lake tu asee sikuwa sawa zaidi zaidi akanikarbsha chakula akaninawisha nikala namalzia tu kula akarudi kuninawisha na kuondoa vyombo mtoto mmoja mwenye sura ya upole na umbo la kuvutia akili iliniruka nkajiuliza Binti kama huyu how come is house girl basi toka hapo mpaka namalzia kuandika comment hii ni MKE NA MUME na tuna mtoto mmoja wa kiume.
So kikubwa usitegemee sana akili zako kwenye harakati za maisha Mtegemee MUNGU kwa shetani ana akili kuliko zako na lengo lake kufurahia kukuangusha tu.

Naimani nimeeleweka.
 
Haya maisha ya mapenzi hayapo sawa kabisa, mwingine mke kabisa kamuacha anaenda huko nje anakaa muda kagoma kwenda na mkewe wakati fursa ipo, mke katulia sasa kamaliza kaanza kumdharau mkewe eti hana elimu yakutosha, chakujiuliza wakati anamchumbia hakulijua hilo? Huyo mme anachokitafuta atakipata.

Nawe kijana naona umejipangia mke kichwani mwako muombe MUNGU akupe mke aliyekupangia, huyo wa 31yrs ni mtu mzima anajielewa hivyo akifanyacho anakijua tulia na muombe Mungu mke utampata tu.
 
Aise mimi nilisema nitatafuta mke wakati sina kazi ya kueleweka! Na kila mwanamke niliyempata kipindi kile nilikuwa namleta ghetoni kwangu kwa lengo la kuona mazingira tu! Wasichana wengi waliokuwa wanakuja gheto baada ya hapo hata simu zangu walikuwa hawapokei baada ya kuondoka! Baadaye alitokea mwanamke mmoja aliyekuja ghetoni na yeye aliyakubali yale mazingira na tukaanza mahusiano mpaka leo ndiye mke wangu miaka 6 sasa! Naweza kusema miongoni mwa wanawake kumi bora sio kwa sura kwa tabia nzuri za wife material yeye basi ni namba moja! Mpaka leo nina kazi nzuri hajawahi kubadilika! Wewe uwe na hela usiwe na hela utamfurahia tu! Kipindi chote cha uchumba sikuwahi kumpa zawadi yoyote na kipindi chote cha uchumba na mahusiano hatukuwahi kufanya mapenzi!! Ndivyo nilivyompata mke wangu
Salama Mkuu,naweza kupata mawasiliano ya mkeo kuna kitu anishauri,ahsante
 
Hili la kununiwa katikati ya vacation linanifanya nikutilie mashaka wewe mwenyewe na perfomance yako ya kitandani pamoja na namna ya kumhandel mwanamke muwapo falaghani!

Ni hayo tu, mambo mawili ya muhimu sana nadhani ndiyo yaliyokuangusha.

Mpo likizo badala ya kumshuhulikia kumfurahisha, wewe na misimu ya kikazi tu na kuchezea laptop na show yako hiyo ya tia maji-tia maji, kwa nini usinuniwe?

Umekiri mwenyewe kupenda zaidi kazi yako, kwa hiyo ulikalia lap top badala ya maongezi ya kimapenzi, jirekebishe.

Mi wa kwangu nilimpata kwa nongwa za vitisho.

Nilimtongoza akanitukana, nikaweka mazingira ya ushahidi nikamburuza serikali za mtaa.

Kufika Serikali za mtaa nikaisongesha Katani.

Katani nikaisongesha mahakamani.

Kabla sijaenda mahakamani nikatuma mamluki wangu kwake kumtisha namna atakavyodhalilika na hii kesi, maana anapambana na mtu wa Serikali.

Nikaona ametuma watu kumuombea msamaha na kuomba anilipe yaishe tusiende mahakamani.

Nikavimba kichwa nikakataa nikidai hiyo ni dharau kubwa sana mtu kutuma maombi ya msamaha kupitia kwa watu wengine, kwa nini asije mwenyewe kama anajutia kosa lake kweli?

Aliposikia hivyo akaanza kunitafuta mwenyewe ili tuyamalize.

Na aliponipata tuliyamaliza kweli, maana hadi leo tupo pamoja na wajukuu juu!

Kuna wanawake wengine mpaka uwe mbabe ndiyo anakuheshimu na kukupenda.
Mtu wa maana sana wewe mzee 😄
 
Umemshauri mwenzio vibaya.mabinti umri ulizotaja wako on peak..wanatongozwa sana na pia inaahitajika Ile kujitambua na msimamo wa Hali ya juu kushinda vishawishi kinyume na hapo ni vilio.wengi walio kuanzia 28+ ndio angalau washapitia shurba nyingi,Wana uelewa wa Maisha na mahusiano Kwa ujumla tofauti na hao wachanga kiumri.

Japo maturity haiangalii umri lakini itoshe kusema wenye umri mchanga ni hatari Kwa ndoa.labda mahusiano tu.

Mwisho wa siku ye mwenyewe ndo ataamua nani wa kumpenda.mkubwa ama mdogo.ni maoni yangu tu
Point
 
Yaani upo nae vacation halafu ananuna,iko wazi una disability katika kutomba,huwezi kutomba, je umekuwa mpiga punyeto mkuu? Kwa muda gani? Uko na chululuu ndogo? Unanuka korodani? Huswaki? Una lafudhi ya kisukuma? Mfupi? Kama unahela basi angalia hizo sababu nilizotaja zifanyie kazi,lastly naomba namba za huyo mwanamke tafadhali
 
Hbr wana JF,

Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua motomoto, tukaanza kupanga mipango ya ndoa kabisa huu mwaka tuwe mume na mke.

Baada ya miezi kadhaa, akaanza kubadilika. Nakumbuka alianza kununa tukiwa vacation Zanzibar. Akawa kama ana moods hivi, ukimuuliza kuna changamoto gani hasemi. Nikaona mambo ya kike labda nitulie. Basi kuanzia hapo akawa kama anani dharau na hanijali tena kama mwanzo. Nilikua naumia ila nikawa navumilia. Lakini kwa tabia zile alizoanzisha ikanilazimisha baadhi ya mambo tulipanga kufanya - kama kwenda kujitambulisha kwao tusitishe kwanza maana sikua namuelewa, anasahau mpaka tarehe muhimu kwenye mahusiano yetu kitu ambacho sio cha kawaida. Baada ya muda nikaenda nje ya nchi kikazi, katika nchi ambayo tulikua tunapishana masaa na hapo ndio mapicha picha yakazidi akawa hapokei simu kabisa akidai yuko busy etc. Kwa muda wote niliokua nje ya nchi kama miezi miwili hatukuwahi kuongea kwenye simu, kila nikijaribu kumtafuta anasema yuko busy atanicheki lakini hafanyi hivyo. Basi nikaanza kufanya maamuzi magumu, nikaacha kumpa monthly allowance na kumnunulia zawadi kama nilivyokua nafanya mwanzo. Nilivyorudi nchini, bado nikamtafuta kujua tatizo ni nini na nakumbuka pamoja na tofauti tulizokua nazo bado nilitoka ulaya na zawadi kadhaa nimemchukulia nikampa. Kikao hakikuenda sawa, binti akaniambia hana feelings na mimi na nikitaka kuwasiliana nae lazima nifanye appointment au nitafute mwanamke mwingine wa kua nae. Aisee, kikao kiliishia hapo. To cut the story short, mahusiano yaliisha pia.

Hii ni case moja tu kati ya nyingi ambazo nimeshakumbana nazo. Katika miaka 10 iliyopita nishakua kwenye mahusiano mengi sana na yamekwama kwa sababu tofauti tofauti, ingawa hii ya juzi iliniuma maana nilijitahidi kufanya kila kitu inavyotakiwa na mhusika mwenyewe pia nilijua anajitambua maana at 31 ni mtu mzima sio mtoto mdogo ni mwanamke aliepitia mengi. Mwaka umeanza nimekata tamaa kama naweza kweli na mimi siku moja kupata mke, nikaanzisha familia na kua na watoto. Kila kitu ninacho - kazi nzuri, kipato kizuri yani ni mke tu ndio imekua changamoto. Kuna wakati najilaumu labda ningekua nakunywa pombe & mtu wa starehe huenda ingekua rahisi kwangu maana haya maisha ya kua busy na kazi muda wote nayo ni changamoto sikutani na watu ila ndio nafanyaje sasa na pesa naitaka pia.

Naomba ushauri wadau, nifanyeje?!


NB:
Niliwahi kuandika uzi humu wa kutafuta : A wife is needed
Kwa Bongo huwezi kukosa kabisa mwanamke unachokosea ni kwenda levo ambazo sio zako
 
Back
Top Bottom