Usiombe hela, nenda gheto kaa kwenye kitanda, usivue chupi na wala usitegemee zawadi utapata mumeswali hilo hilo unalojiuliza na sisi wa jinsia ya pili huwa tunajiuliza
"Mlioolewa,mlipatajea wanaume wa kuwaona?"
Oh! kumbe iko hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiombe hela, nenda gheto kaa kwenye kitanda, usivue chupi na wala usitegemee zawadi utapata mumeswali hilo hilo unalojiuliza na sisi wa jinsia ya pili huwa tunajiuliza
"Mlioolewa,mlipatajea wanaume wa kuwaona?"
Oh! kumbe iko hivyo
Nilifichwa na uchumi duni😁😁Abeee shindikana!! Naona ulifichwa, ndio umefufuka. Happy new year!
Tutake radhi mkuu, yaani sie bodaboda ni bad boys kweli?Dada zetu hao wanapenda bad boys,ila baadae sana baada ya kuumizwa na kutendwa na kuzalishwa wanaanza kutafuta good/nice boys,yaani hutafuta kitu ambacho mwanzoni walikuwa nacho na kukidharau.
Mwanangu wewe kaza concentrate na mambo yako mke atakuja mwenyewe na husibadilike kitabia,eti uwe bad boys kuwa hivyo hivyo ndivyo Mungu alivyo kuumba,unaweza ukasema uchange kidogo eti uwe bad boys ukaja kupotea mazima.
Honestly wanawake ni wa kuonewa huruma hawajawahi kujua wanacho kitaka, kuna mabinti wawili yaani ni majirani ambao tumekuwa kama ndugu,wamekuja kuzalishwa na watu wa hovyo, wakati kulikuwa na wana walikuwa wapo tayari kwa kila kitu, mmoja kazalishwa na muimba singeli,mwengine bodaboda, maana walikuwa wanataka bad boys na kweli wamepewa mabad boys kiwango cha lami.
Bro usiumie kichwa concentrate na mambo yako mke wako atakuja mwenyewe.Huyo mwache na mara nyingi huwaga na tabia ya kurudi na kujuta, nimesha shuhudia sana marafiki zangu,achana nae fanya mambo yako.
Kupenda raha sanaaaKuna penzi unakaa had watu wanakuona kama chiz ngoja nikuletee screenshot ya sister wangu utaona uhalisia nilikuwa mbuz kiasgani 😃😃
Semeni ukweli wanawagegeda vizuri 🤣🤣🤣🤣Yan sijui shida ni nn Kuna mahala tunafeli
Achana na wanawake wenye masters sijuinwasomi hao sio wake. Full viburi na kujidai wanayaweza maisha bila mwanaume.Usikute unatoka na maslay Queen au wanawake waliosoma madegree na masters , wa la Saba au form four huwataki , utapataje mke !??.
Wasomi wake wapo ila wachache lkn wa la Saba wamejaa telee.
Ei Carleen asee umemaliza. Huu ndio mwarobaini. Ukiwa mfia mapenzi hakika utateseka.capernaum ushauri mdogo ninaweza kukupa ni kuwa 'stop being a veeeeery good boy', wanawake wengi hawapendi 'simps', yaani usiwe na mwanamke ukamuonesha wewe ndiyo 'desperate' wa hayo mahusiano kumzidi hata yeye, utateswa mpaka uchanganyikiwe..!!
'show her that you do loves her yes, but still you can live your life fully without her in your life, be a man buddy', mwanamke ndiye awe mnyenyekevu kwako, siyo wewe uwe mnyenyekevu kwa mwanamke 'it doesn't work that way', umewahi jiuliza kwanini 'bad boys' ndiyo wanatesa wadada..??
Sababu WANAJIAMINI, na wanajua wao ni 'WANAUME'..!!
Hapa nimejifunza kitucapernaum ushauri mdogo ninaweza kukupa ni kuwa 'stop being a veeeeery good boy', wanawake wengi hawapendi 'simps', yaani usiwe na mwanamke ukamuonesha wewe ndiyo 'desperate' wa hayo mahusiano kumzidi hata yeye, utateswa mpaka uchanganyikiwe..!!
'show her that you do loves her yes, but still you can live your life fully without her in your life, be a man buddy', mwanamke ndiye awe mnyenyekevu kwako, siyo wewe uwe mnyenyekevu kwa mwanamke 'it doesn't work that way', umewahi jiuliza kwanini 'bad boys' ndiyo wanatesa wadada..??
Sababu WANAJIAMINI, na wanajua wao ni 'WANAUME'..!!
Kwani kuna sehemu nimesema sio kazi halali?Nimezungumzia tabia zao za uharibifu.Tutake radhi mkuu, yaani sie bodaboda ni bad boys kweli?
Sienhatustahili kuwatia mimba watoto wakishua? Mbona mnaleta dharau jamani...kuendesha bodaboda sii kazi tunajiingizia kipata halali
Sasa kuzalisha jama i sii ndio tunatekeleza maagizo ya mungu. Tukaijaze dunia.Kwani kuna sehemu nimesema sio kazi halali?Nimezungumzia tabia zao za uharibifu.
Majority ya wanangu kitaa nilio kuwa na kitaa ni bodaboda so ninacho kiongea na kijua na hata huku nilipo kwa sasa na kiona wengi wao ni kuzalisha tu hawana time ya kulea.
Unaleta utani hivi hauna ndugu yoyote aliye zalishwa na kuachwa ambaye anahangaika na mtoto ? Grow up sometimes so kila mda ni mda wa matani kwani kizazi kina haribika sababu ya kuendekeza nyege za kipuuzi. Kwani ndomu hamna,si wenyewe tunafanya sana ila na ndomu.Sasa kuzalisha jama i sii ndio tunatekeleza maagizo ya mungu. Tukaijaze dunia.
Warembo wenyewe wanatupiga kabali tukitaka kumwagia nje wanatakaa tumwagia ndani kabisa
Mie siwezi tomber demu na condom huko ni sawa nankupiga nyeto tuuMie siwezi tomber demu na condom huko ni sawa na kupiga nyeto.Unaleta utani hivi hauna ndugu yoyote aliye zalishwa na kuachwa ambaye anahangaika na mtoto ? Grow up sometimes so kila mda ni mda wa matani kwani kizazi kina haribuka sababu ya kuendekeza nyege za kipuuzi. Kwani ndomu hamna,si wenyewe tunafanya sana ila na ndomu.
Hii imeendaaa! Wee wagegede wengi tuu utapata mke humo humo katika migegeduano au sioWe nawe!
Umefanya mahusiano kuwa kitu rasmi sana!
Fanya mapenzi nao tu mke anapatikana Kwa style hiyo sio kwa uzungu mwingi kama huo!!?
Halafu hai madem unao date nao ni wabongo kweli!!?
Au wazungu!!?
Badili strategy mkuu!
Eti monthly allowance !Halafu eti anasahau tarehe muhimu !mi nawashangaa Hawa madem wa Bongo wanawaza chipsi na fanta plus 15000 per night wewe unaleta uzungu plus umarekani mwingi lazima wakutose!!Hii imeendaaa! Wee wagegede wengi tuu utapata mke humo humo katika migegeduano au sio
Basi sawa!Nilifichwa na uchumi duni😁😁
😆😆Mimi huyu wa kwangu nilishushiwa.Kwa akili zangu nisingempata!
PoaNisambazie hiyo dhambi