Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Penzi linaweza ota popote pale wanawake hatunaga hizo mambo za kujali mwonekano kama nyinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mkuuImekuwaje tena?
Una mwanaume?Hayo ni mapendeleo yangu binafsi sio Ummat Muhammad Mkuu!
Na haina maana kwamba mwanaume niliyenaye angekuwa mweupe nisingekuwa naye, ni bahati amematch vigezo vyangu vyote MaashAllah!
Ila mweusi akiwa mwembamba ni poa...?!Mweusi aisee.. kama ni mweupe basi asiwe mwembamba , awe na mwili flani hivi mkubwamkubwa
Mbona nasema kila siku jamani? Ninaye ndio.Una mwanaume?
🥹🥹 unanichanganya tena
😘Nipige busu
What people say ni projections, wishes Or desires but not the reality tresorHuwa nawasoma vzr sana humu...kuna aina ya watu humu dah.. ndio maana najifunza vingi humu
Ina maana hapo ukimpata tofauti na hizo sifa unazohitaji inamaanisha utakuwa haujampenda huyo mwanaumeMweusi aisee.. kama ni mweupe basi asiwe mwembamba , awe na mwili flani hivi mkubwamkubwa
Sio kweliMimi nazingatia maokoto hii mada hainihusu🧚♀️
Kwahiyo mamii ukimpata mwanaume tofauti na hizo sifa unazohitaji ina maana utakuwa haujampendaHili swali kila siku jamani?
Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
WaarabuWeupe ila wawe waarab ndio fresh
[emoji1787][emoji1787][emoji28]Mimi nazingatia maokoto hii mada hainihusu[emoji3344]
Ni kweli kabisaKuna wanawake hawataki weusi ili wasizae watoto weusi. Yaani ni hapana kabisaaa..
Huwa wananishangaza naonaga kama labda wapo weusi ndio wangekuwa wao wa furaha milele..
Nimesema tu hayanihusu...
[emoji2960]Ukidhamiria na ukiwa serious huwezi ukamkosa,, ukimpata Sasa ndo inabidi umuonyeshe maufundi hawezi kuchomoka[emoji3526][emoji18]
SureMaswali ya wavulana haya
Utoto raha sana
NdioooWaarabu