Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Hivi mwanaume unakuwaje mfupi mweupe [emoji19]
Mimi najua wanaume ni weusi
Sasa mkuu mbona mie mweupe na nagombaniwa na mademu kitaa wakati wanaume weusi wanahangaika kutafuta mademu na hao hao mademu wanawachomolea.

Washkaji huwa wanasema mademu wananigombania mie kwasababu ya weupe wangu na wao wanatolewa nje kwasababu ya weusi.

Inafikia mahali naweza kuwa na mademu watatu na wote wanafahamiana lakini hakuna aliye tayari kuniacha wanabaki wanagombana wenyewe tu.
 
Kama hela unazo huwezi kupata shida
Kwahiyo mweusi hata asipokuwa na hela unamtaka hivyo hivyo?

Kuna uncle wangu hapa ni mweusi, mwembamba na mrefu lakini hana demu kitambo sasa anahaha kutafuta hapati.

Kama vipi njoo pm nikupe mawasiliano yake umtafute utakuwa umemsaidia sana.
 
Hapa ukifuatilia kwa jicho la tatu kuna bifu wadada wamelitengeneza dhidi ya wanaume weupe wenye sura za mama kwasababu wanahisi wao ndiyo wanastahili kuwa na rangi nyeupe na sio wanaume.

Sasa unakuta mwanamke mweusi kama lami halafu anakutana na mwanaume mweupe unadhani atafurahi?

Matokeo yake ndiyo haya utasikia mdomoni anasema mwanaume mweusi ndiye chaguo lake lakini moyoni anamhitaji mwanaume mweupe ili wazae watoto weupe wenye kuvutia.
 
Me nadhani huyu nifah tumuweke kwenye mnada humu jukwaani watu watoe madau yao atakaefika bei ndio atachukua mali, hatuwezi kumuachia huyo njemba wake ajipakulie minyama pekeake au mnasemaje wadau
Hata mkiwekwa milioni nitamchagua yeye tu, kazi bure!
 
Hapa ukifuatilia kwa jicho la tatu kuna bifu wadada wamelitengeneza dhidi ya wanaume weupe wenye sura za mama kwasababu wanahisi wao ndiyo wanastahili kuwa na rangi nyeupe na sio wanaume.

Sasa unakuta mwanamke mweusi kama lami halafu anakutana na mwanaume mweupe unadhani atafurahi?

Matokeo yake ndiyo haya utasikia mdomoni anasema mwanaume mweusi ndiye chaguo lake lakini moyoni anamhitaji mwanaume mweupe ili wazae watoto weupe wenye kuvutia.
Sisi weusi wengi huwa tunaona nyie weupe ni mabitozi na mnapendwa sana na mademu ili muwazalishie watoto weupe. Binafsi nawachukia wanaume weupe. Na huu uzi tupo wengi.
 
Sasa mkuu mbona mie mweupe na nagombaniwa na mademu kitaa wakati wanaume weusi wanahangaika kutafuta mademu na hao hao mademu wanawachomolea.

Washkaji huwa wanasema mademu wananigombania mie kwasababu ya weupe wangu na wao wanatolewa nje kwasababu ya weusi.

Inafikia mahali naweza kuwa na mademu watatu na wote wanafahamiana lakini hakuna aliye tayari kuniacha wanabaki wanagombana wenyewe tu.
Kila mtu na chaguo lake ilaaa
Mhhh hapo kwenye kugombaniwa sina uhakika
 
Au unahisi kwakuwa wewe ni mweusi basi unawachukuia wanaume weupe ukihisi wamesababisha uwe mweusi kwa wao kumaliza rangi nyeupe?
Binafsi napenda jinsi nilivyo sijawahi kutamani wala kuchukia kuwa mweusi
 
Hapa ukifuatilia kwa jicho la tatu kuna bifu wadada wamelitengeneza dhidi ya wanaume weupe wenye sura za mama kwasababu wanahisi wao ndiyo wanastahili kuwa na rangi nyeupe na sio wanaume.

Sasa unakuta mwanamke mweusi kama lami halafu anakutana na mwanaume mweupe unadhani atafurahi?

Matokeo yake ndiyo haya utasikia mdomoni anasema mwanaume mweusi ndiye chaguo lake lakini moyoni anamhitaji mwanaume mweupe ili wazae watoto weupe wenye kuvutia.
Jamani 😃😂
 
Back
Top Bottom