Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Mimi huwa nawapenda (siyo kimapenzi), wanaume weupe ama maji ya kunde, wembamba, na wenye urefu wa wastani, wengi huwa ni wazuri
 
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.
Umemaliza vzr sna bwam alibino
 
Hili swali kila siku jamani?

Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
Sisi wanene na wafupi wang'avu vipi?
 
Mimi huwa nawapenda (siyo kimapenzi), wanaume weupe ama maji ya kunde, wembamba, na wenye urefu wa wastani, wengi huwa ni wazuri
Unasema kweli? Najiona mwenye bahati Jadda[emoji16]
 
Imeisha hiyoo[emoji125][emoji125][emoji125]
Screenshot_20240107-225851_1.jpg
 
Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.

sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi


#nyumayapazia
Hii vita ya warefu na wafupi siion ikiisha hiv karibun
 
Back
Top Bottom