Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Kiuhalisia ni nadra sana mwanamke kumpenda mwanaume mweupe.

Yaani unakuta mwanaume ana rangi ya mtume inawakawaka kuliko mwanamke, hawezi akampenda ataonyesha kumchukia kwa sababu anaona mwanaume kabarikiwa vitu ambavyo yeye mwanamke ndo anatamani angekuwa navyo hapo lazima aonyeshe chuki inayochangiwa na wivu.

We jiulize kwa nini wanapishana kwenye maduka ya vipodozi wanatumia gharama kuutafuta muonekana ambao mwanaume mweupe anao bure, lazima kuwe na bifu hapo, wataishia oooh nataka mwanaume mweusi mreu, ila wanapenda watoto wawe weupe, mwanamke akiwa na mtoto mweusi huwezi ukaona anapiga nae picha nakuuza sura mtandaoni.

Demu anakutana na mwanaume mweupe handsome ana nuru ya sura yaani kiufupi mwanaume mzuri kuliko demu afu unategemea demu ampende, mademu wenyewe wao kwa wao huwa wanaoneana wivu akikutana na wanawake wenye mvuto zaidi yake ndo maana utawaona wanapotembea huwa ni kimagrupu, grupu hili sura za wajomba, hawa sura za baba, hawa wenye unafuu, na pisi kali nao huwa wanajitenga wenye mvuto unaofanana kuepusha jealous na bifu kwa wale mvutoless.

Kwa experience yangu wanawake wenye pigo za napenda mwanaume mweusi mrefu, wengi wao huwa hawana mvuto afu wana trauma ya kutotongozwa, ama kusimamishwa njiani kuombwa namba na mahandsome enzi za usichana wao, hivyo wanapsychological effect inayopelekea chuki kwa mahandsome mawaiti wanawaita mabishoo si unajua mabishoo wanapendaga pisi za kwenda afu huwa hazipingi.

Nakuunga mkono Mkuu...ila uhandsome siyo lazima uwe mweupe..!
 
Hili swali kila siku jamani?

Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
Au sio
 
Nilipo kuwa na date msabato mmoja hivi hakuwahi kumpost status mtu wake before mana alikuwa mweusi (nilikuj jua badae huko)
Nkaja mimi mana nili mtongoza ki matani matani akakubali mana alikuwa ananiita majina ya mahaba kimatani sana.( Tulikuwa marafiki wa kawaida tu)

Hakuna picha isiyo acha postiwa kwa status ilikuwa n vurugu sana mastatus yamejaa sura yangu.

Note: Hakuwa mweupe yeye.
 
Itakuja kufika wakati mdada Yale machaguo yako yote sijui mweupe au mweusi hutayapata bali utajibananisha kwa yeyote ilimradj anapumua ili tu msogeze siku...Huwa nawaelewa sana wale wanaosema bora mwanaume awe na akili timamu zinazoonyesha kujitambua tu basi inatosha hii naona au nadhani inaonesha maturity kwa mwanamke Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya hii chagua chagua ya mweupe au mweusi au mrefu nk ni Kwa wale wanawake wanaojitafuta kimahusiano yaani labda Bado hajapata mwenza wa kudumu yaani ndoa au mahusiano yake pasua kichwa, maybe alishaumizwa sana au ndio anaanza mahusiano kwahiyo Kuna imagination nyingi ambapo kimsingi kwenye field mambo ni tofauti hayo mawazo baadae yatapotea, by the way Mimi ni nani Hadi niwachagulie wanawake cha kusema, it's just my view.
 
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.
Watu hupenda watoto weupe.. wanawake wengi hupenda watoto weupe...

Mimi pia ni bonge la handsome mweupe..ngozi yenye mvuto sura ya mama mwili na urefu wa baba...

Baba mkwe wangu alimwambiaga wife kua mlinde mmeo ni mzuri utaibiwa....

NB:

Ikiitajika kuthibitishwa itathibitishwa

😔😔😅😅😅😁😁😄😄😊😊☺️☺️🤓🤓🤓
 
Watu hupenda watoto weupe.. wanawake wengi hupenda watoto weupe...

Mimi pia ni bonge la handsome mweupe..ngozi yenye mvuto sura ya mama mwili na urefu wa baba...

Baba mkwe wangu alimwambiaga wife kua mlinde mmeo ni mzuri utaibiwa....

NB:

Ikiitajika kuthibitishwa itathibitishwa

😔😔😅😅😅😁😁😄😄😊😊☺️☺️🤓🤓🤓
Mwanangu umekisa Dr lini? Haha
 
Back
Top Bottom