Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,Mwanangu umekisa Dr lini? Haha
Nime graduate mkuu huu sio udokta wa heshima au wa kujipachika kama msukuma PHD
Mambo vp ndugu ☺️😊😊🤓 upo powaaa kheri ya mwaka mpyaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Mwanangu umekisa Dr lini? Haha
Kumbe!!! Kwa hiyo kujali, upendo na heshima ni rangiAmeuliza weusi na weupe
Asiniambie mtu huku na wewe unaniambia
ni kweli ndugu yanguNakuunga mkono Mkuu...ila uhandsome siyo lazima uwe mweupe..!
Oya hivi umeelewa lakini nlvokuambia sitaki shobo zako. Mbona unajileta leta sana? Mi mwanaume ujue, na bahati mbaya siijui hiyo michezo unayotaka nikufanyie, kaa mbali namimiJamiiForums is an open forums,ukisha weka jambo hapa basi linakua sio lako tena na kila mtu anakua huru kuchangia,
Haya jibu swali langu sasa,Waarabu walikupakua? naona umewasifia hapa.
Jibu swali wewe acha kuuma kucha za vidole,au ulitoa siri yako bila kujijua?Oya hivi umeelewa lakini nlvokuambia sitaki shobo zako. Mbona unajileta leta sana? Mi mwanaume ujue, na bahati mbaya siijui hiyo michezo unayotaka nikufanyie, kaa mbali namimi
Kwa hiyo umefurahia mimi kutukanwa pimbi! 😉Hahahaha hili neno pombe huwa lina nichekesha sana
Wanakuaga wa motroooo🤣🤣
Sana nimecheka sana kuna mtu huwa ananiita hivyo ananitaniaKwa hiyo umefurahia mimi kutukanwa pimbi! 😉
Wanapepo yao hao
Mimi sijapenda 🙆Sana nimecheka sana kuna mtu huwa ananiita hivyo ananitania