Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
PoleeMimi sijapenda 🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleeMimi sijapenda 🙆
Chagua rangi unikatae ninywe sumu.Yoyote tu babe, ilimradi awe na upendo wa kweli😇
Yoyote tu jamani, ila mimi mweusi😂😂😂Chagua rangi unikatae ninywe sumu.
💓💓💓 My gorgeous woman 😍Yoyote yule mwenye Utu na Utulivu
Mi ni jentromeniHalf american wame semea mweupe au mweusi.
👉Sio nusu albinoooooo ka wewe🤣😀🙄
Angalia hiyo ni dawa ya kudekia chooni🤣😀🙄Mi ni jentromeni
Chooni ndio panafanya tuishi, ni pahala paheshimaAngalia hiyo ni dawa ya kudekia chooni🤣😀🙄
Cheka tu.Yoyote tu jamani, ila mimi mweusi😂😂😂
Mwenye masculine energy ya kutosha[emoji3059]...yaani yule ambaye atanituliza nyumbani anitoe kwenye stress za kushindana na wanaume kazini na kwenye biashara...aniweke ndani nimtunzie nyumba yake nimzalie vitoto vyake nimpikie chakula kizuri asubuhi mchana na jioni kila siku nimpokee akitoka kazini nimfulie nguo zake na kumnyooshea...aninunulie magauni anizuie kuvaa suruali...nimuombe kabisa asifanye kazi yoyote ya nyumbani...nimtunzie akiba ya pesa zake nzuri na nimtii siku zote na nihakikishe anakuwa mwepesi evereday huyu atakayeniruhusu kuwa hivi ndo ananivutiaKatika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi
#nyumayapazia
mimi mweusi kabisa😝Cheka tu.
Mhhh, Antonnia ni wewe au naota!
Hadi wewe🙄😀🤣🤣, acha niji fupishe 😀🤒TALL, DARK and HANDSOME 😁😁😁😂😂🙈🙈🙈
Noma sana,Mwenye masculine energy ya kutosha[emoji3059]...yaani yule ambaye atanituliza nyumbani anitoe kwenye stress za kushindana na wanaume kazini na kwenye biashara...aniweke ndani nimtunzie nyumba yake nimzalie vitoto vyake nimpikie chakula kizuri asubuhi mchana na jioni kila siku nimpokee akitoka kazini nimfulie nguo zake na kumnyooshea...aninunulie magauni anizuie kuvaa suruali...nimuombe kabisa asifanye kazi yoyote ya nyumbani...nimtunzie akiba ya pesa zake nzuri na nimtii siku zote na nihakikishe anakuwa mwepesi evereday huyu atakayeniruhusu kuwa hivi ndo ananivutia
Kuhusu rangi atajuana na DNA ya kwao huko!!...[emoji1696]
Poa mkuuSorry bro, typing error (I swear), hiyo comment haikuwa yako bhana🙏
🤣🤣🤣 safi kabisaSi ndio weusi tumekutana🤣