NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,483
- 3,492
Hapa unabishaje. Jua na mwez hivyo hapo vinaizunguka dunia Usiku na Mchana unapatikana kama hivyo uonavyo.Kasome geography upya
Vinginevyo kusingekuwepo usiku na mchana kama dunia haizunguki
Usiku jua lisipokuwepo wewe saa yako hiyo ya kibwege waweza jua saa ngapi? Hiyo saa yako tegemea jua?