Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
na wale wasio na magubu hawana heka heka sio wahuni na bado hawajaolewa inakuajeHawo wamejiroga mwenyew unakuta limwanamke gubu gubu maneno machafu, viwqnja muda wote in short hana haiba ya uanamke