Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Shkamoo mamdogo wa DIPAAA..!! Shkamoo watoto wa farao wa kuchakazaaaa..!kila mtu anae anaetakiwa kuwa nae sasa huwezi fika nchi ya ahadi bila kukutana na watoto wa farao kwanza wakuchakaze uchoke alafu wakati unakata tamaa sasa kuona huwezi tena ndo hapo sasa anatokea anatakiwa kukufikisha nchi yako ya ahadi 😀 😀 😀 😀
should i go deeper