Swali kwenu wanawake mlioolewa, watoto wa kike na wazazi wa kike

Swali kwenu wanawake mlioolewa, watoto wa kike na wazazi wa kike

ukipika akwambie umekosea, kufua akwambie hutakatishi ye kila kitu anajua woooi alafu ukute ni yule akikosea hawezi sema am sorry ila kosea wewe sasa
Yani unakimbia nyumba 😀😀kunawanaume Kuishi nao inatka moyo Sana
 
Hakuna masuala ya kurogwa kwanza!

Halafu kingine wanawake ni rahisi kuolewa sana kwa tamaduni za kiafrika hususani hapa Tanzania ,ukiona mwanamke haolewa basi 80% yeye ndo chanzo .

Kwa sababu ni ukweli kwamba wanawake wengi wanaanza kutongozwa mapema mno tena na idadi kubwa wa wanaume ,kati ya hao wapo wahuni wanaotakq kuwachezea na wapo watu wa kweli ...kwa nn kuna watu kweli ndo maana kuna wanawake wanaolewa mapema hata umri wa miaka 18 na wapenzi wao wa kwanza .


Mwanamke kutokuolewa anataka mwenyewe kwa sabab nyingine 👉 Ana-maintain standard ili kupata anayemtaka japo anapigiwa miruzi sana ila hapa ana kuwa na akili zake kwa anayemtaka ,kama ana akili za kitoto atachelewa sana kupata handsome ..

Mwanamke ana nguvu ya kushawishi hata kwa acting sema wengi akili za utoto ,anaweza kutulia akawa na heshima ,uvaaji mzuri na tabia zinazopendeza.

Mwanamke ni rahisi kuolewa kwa kufanya vitu kadhaa tu basi ili kumvutia mwanamke kweny ishu za ndoa wala hamna mambo ya kichawi ila wanaume ndo balaa lazima uwe na uwezo wq kuhudumu familia yaani "fedha" ,ajabu ya kaisha unaweza kusota mpaka unazeeka haupati hata kazi ya maana kula yako tu mtihani.
Ila ni kweli jeuri inawaponza
 
Tena wee ndio umenifanya nije nilivyooona comment yako tuu nikasema hapa besty lazima nimchokoze🤣🤣🤣🤣
Vipi pilau linalika mwaka huu au bado kuna mgogoro wa ardhi🤣🤣🤣🤣

Ila na nyie musiroge bwana...huku makazini tunarogwa, ndugu wanaturoga na nyie tena wapenzi wetu mtuendes kwa sangoma kweli tutakuwa watu au misukule?
Ahhahah ase acha kabisa
 
Katika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.

Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Wengi wanapenda kwasbabaumaissha kusaidiana wanaona hawawezi kuishi peke yao bila ndoa
 
K
Haya mambo ni mapana sana hususani linapokuja suala la ndoa.

Kwanza ndoa ni makubaliano baina ya mwanaume na mwanamke kuamua kuishi pamoja na kuanzisha familia. Tunapozungumzia ndoa hapa hatuzungumzii mahusiano ya undugu na ukoo bali mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke.

Suala la kutokuolewa ama kutokuoa hilo ni maamuzi ya mtu binafsi na sio kwamba amerogwa bali ni maamuzi ya mtu huwezi kumlazimisha fulani aolewe na fulani wakati hapakuwa na makubaliano baina yao hapo utoleta upendo bali ni uadui baada ya ndoa na mwishowe talaka zisizo na ulazima.

Ukiona mtu anachelewa kuolewa ama kuoa hujue hajapata mtu wakiendana ama kukubaliana nae kufunga ndoa usimuhukumu.

Kwasababu wengi wetu tumekuwa tukichaguwa wapenzi tunaowapenda pengine wao wenyewe hawatupendi apo lazima kuwa na tatizo hasa la ndoa
aka wewe umeoa?
 
Ushirikina unasingiziwa mengi sana asee 🙌, Yaani mtu ana danga alafu bado nayeye yupo hapa anajifanya kuchangia kwamba nae anahisi ushirikina ndo unafanya mtu asiolewe, Wanawake wanapaswa kubadilika kitabia ili wavutie kuolewa nje na hapo wataishia kuwekwa miguu juu na kuchapa ndala.
Ahahha kwahiyo wasidange?
 
Ndoa sio kwa kila MTU acha wawe single mother maana Mwongozo upo online wa kupata mme Bora good man.
 
Hellow

Inapokuja swala zima la kuolewa kwa mtoto wa kike kunakuwa na mitazamo tofauti kuanzia mzazi mpaka mtoto mwenyewe wakike anakuwa na mtazamo tofauti

Ipo hivi kuna familia ina watoto wa kike 3 na wa kiume mmoja wa kike wote hawajaolewa mama yao anasema watoto wake wamerogwa ili wasiolewe kisa wanamuonea wivu ashatafuta na mganga na mganga kawaagua kawapa dawa ya kumfanya wanaume waliopo nao kwenye mahusihano wanawaoa tena this year

Hili limetokea baada ya siku mmoja kuulizia ndoa ya mtoto wa Dr fulani ambaye ni ndugu wa familia ambaye yeye amehozesha watoto wake wote na huyu ndio wa mwisho ambaye ndoa yake ilitakiwa ufungwe mwezi uhuu wanane ndipo mama huyo akaongea huyo karoga watoto wa wenzie wotee wasiolewe waolewe wake tu

Kitu kinachonipa wasiwasi ni kuwa na yeye Mpaka kaolewa kwenye familia yetu je aliroga?

Swali lipo hivi kuna mahusihano gani ya kuolewa na kuroga? Naomba mtujibu hapa
Mpeni muda mlogaji
Dawa ikiisha nguvu atarudishwa kwako kama ameloga
Pole naona imekuuma, mwombee
 
Katika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.

Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Halafu cha kushangaza wakiipata hiyo ndoa sasa, hawaishi malalamiko na kuiponda hizo ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ni upumbavu kwelikweli
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanadamu bwana kwa kumsingizia mungu mambo ya ajabu....eti wakati wa mungu haujafika wakati wewe mwanamke breki pumbu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kuongea sana wewe nyodo kibao alafu usipoolewa oh wakati wa mungu hujafika. Tulizaneni. Waoaji wapo ila ndio hivyo hatuoi tako wala sura.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzabzab sasa wewe una kiba kwann isiwe breki pumbunyo??
 
Halafu cha kushangaza wakiipata hiyo ndoa sasa, hawaishi malalamiko na kuiponda hizo ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ni upumbavu kwelikweli
😀😀😀Tulia
 
Back
Top Bottom