Swali kwenu wanawake mlioolewa, watoto wa kike na wazazi wa kike

ukipika akwambie umekosea, kufua akwambie hutakatishi ye kila kitu anajua woooi alafu ukute ni yule akikosea hawezi sema am sorry ila kosea wewe sasa
Yani unakimbia nyumba 😀😀kunawanaume Kuishi nao inatka moyo Sana
 
Ila ni kweli jeuri inawaponza
 
Ahhahah ase acha kabisa
 
Katika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.

Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Wengi wanapenda kwasbabaumaissha kusaidiana wanaona hawawezi kuishi peke yao bila ndoa
 
K
aka wewe umeoa?
 
Ahahha kwahiyo wasidange?
 
Ndoa sio kwa kila MTU acha wawe single mother maana Mwongozo upo online wa kupata mme Bora good man.
 
Mpeni muda mlogaji
Dawa ikiisha nguvu atarudishwa kwako kama ameloga
Pole naona imekuuma, mwombee
 
Katika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.

Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Halafu cha kushangaza wakiipata hiyo ndoa sasa, hawaishi malalamiko na kuiponda hizo ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ni upumbavu kwelikweli
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzabzab sasa wewe una kiba kwann isiwe breki pumbunyo??
 
Halafu cha kushangaza wakiipata hiyo ndoa sasa, hawaishi malalamiko na kuiponda hizo ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ni upumbavu kwelikweli
😀😀😀Tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…