Ukweli unauma eeh[emoji23][emoji23][emoji23], mnaifanya ndoa kama stage ya kurukia maisha au mapambio mkimaliza hao mnaruka. Achaneni na ndoa tafuteni maisha, ohoo[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Tulia
Niko poa kabisa kukumiss tu mdogowangu vikoba vitaniua dadaako had nimesahau nduguzangu 😀😀Nikopoa dada mkubwa, sijui wewe boss lady?
Wew si ndo msemaji mkuu wew Leo hii tutafute Hela ama kweli wew huaminiki 😂😂Ukweli unauma eeh[emoji23][emoji23][emoji23], mnaifanya ndoa kama stage ya kurukia maisha au mapambio mkimaliza hao mnaruka. Achaneni na ndoa tafuteni maisha, ohoo[emoji23][emoji23]
😂😂😂 naviwaue tu maana akili zenu sio za binadamu wa kawaida. Kusahau ndugu zako hapo ushapata kiben ten wewe😂😂😂, kitakumaliza.Niko poa kabisa kukumiss tu mdogowangu vikoba vitaniua dadaako had nimesahau nduguzangu 😀😀
Siaminiki kivipi tena jamanii😂😂😂, mimi nimeongea ukweli tu dada mkubwa.Wew si ndo msemaji mkuu wew Leo hii tutafute Hela ama kweli wew huaminiki 😂😂
Because you are so special that's why unaona ni Jambo la kipuuziKatika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.
Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Ukisha chakaa ndiyo mnyonge anatokea anakuoa sio?kila mtu anae anaetakiwa kuwa nae sasa huwezi fika nchi ya ahadi bila kukutana na watoto wa farao kwanza wakuchakaze uchoke alafu wakati unakata tamaa sasa kuona huwezi tena ndo hapo sasa anatokea anatakiwa kukufikisha nchi yako ya ahadi 😀 😀 😀 😀
should i go deeper
🤣🤣🤣🤣Kha nimecheka😂😂😂 naviwaue tu maana akili zenu sio za binadamu wa kawaida. Kusahau ndugu zako hapo ushapata kiben ten wewe😂😂😂, kitakumaliza.
Ni Kweli mdogowang nakuunga mkono genius wetu😀Siaminiki kivipi tena jamanii😂😂😂, mimi nimeongea ukweli tu dada mkubwa.
wewe unaweza kuoa mwanamke mnene?Kwani unene unashida gani wewe 😂
Ndio awe na pesawewe unaweza kuoa mwanamke mnene?
Ahahwja asanteMpeni muda mlogaji
Dawa ikiisha nguvu atarudishwa kwako kama ameloga
Pole naona imekuuma, mwombee
Leteni visa vya kweliHellow
Inapokuja swala zima la kuolewa kwa mtoto wa kike kunakuwa na mitazamo tofauti kuanzia mzazi mpaka mtoto mwenyewe wakike anakuwa na mtazamo tofauti
Ipo hivi kuna familia ina watoto wa kike 3 na wa kiume mmoja wa kike wote hawajaolewa mama yao anasema watoto wake wamerogwa ili wasiolewe kisa wanamuonea wivu ashatafuta na mganga na mganga kawaagua kawapa dawa ya kumfanya wanaume waliopo nao kwenye mahusihano wanawaoa tena this year
Hili limetokea baada ya siku mmoja kuulizia ndoa ya mtoto wa Dr fulani ambaye ni ndugu wa familia ambaye yeye amehozesha watoto wake wote na huyu ndio wa mwisho ambaye ndoa yake ilitakiwa ufungwe mwezi uhuu wanane ndipo mama huyo akaongea huyo karoga watoto wa wenzie wotee wasiolewe waolewe wake tu
Kitu kinachonipa wasiwasi ni kuwa na yeye Mpaka kaolewa kwenye familia yetu je aliroga?
Swali lipo hivi kuna mahusihano gani ya kuolewa na kuroga? Naomba mtujibu hapa
Alafu wee nae hupitiwi na chochote cha kuhusiana na kibamia changu...niache bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzabzab sasa wewe una kiba kwann isiwe breki pumbunyo??
Alafu wee nae hupitiwi na chochote cha kuhusiana na kibamia changu...niache bwana
Basi njoo ukipime kibamia kina cm ngapi kesho hapa maghetoni kwanguNakufatilia niko makini sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi njoo ukipime kibamia kina cm ngapi kesho hapa maghetoni kwangu
Mwee mlenda utaupata tuu...sii utelezi bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hiko hakifai hata kwa mlenda
Labda nije nipime ngogwe km zina ujazo gani
naunga mkono hojaMamdogo, keeping all factors constant, TABIA NA MIENENDO YA WAOLEWAJI HUWA NI SABABU KUBWA SANA KUCHELEWA AU KUTOOLEWA KABISA..!! Kuolewa is NOT a one time event, ni mchakato wa malezi na tabia za muolewaji toka akiwa mdogo hadi anafikia umri wa kuolewa. Mchakato ni collection ya events tofauti tofauti. Event yoyote kati ya hizo ikiwa mbovu mtu haolewi.