Swali kwenu wanawake mlioolewa, watoto wa kike na wazazi wa kike

[emoji3][emoji3][emoji3]Tulia
Ukweli unauma eeh[emoji23][emoji23][emoji23], mnaifanya ndoa kama stage ya kurukia maisha au mapambio mkimaliza hao mnaruka. Achaneni na ndoa tafuteni maisha, ohoo[emoji23][emoji23]
 
Ukweli unauma eeh[emoji23][emoji23][emoji23], mnaifanya ndoa kama stage ya kurukia maisha au mapambio mkimaliza hao mnaruka. Achaneni na ndoa tafuteni maisha, ohoo[emoji23][emoji23]
Wew si ndo msemaji mkuu wew Leo hii tutafute Hela ama kweli wew huaminiki 😂😂
 
Niko poa kabisa kukumiss tu mdogowangu vikoba vitaniua dadaako had nimesahau nduguzangu 😀😀
😂😂😂 naviwaue tu maana akili zenu sio za binadamu wa kawaida. Kusahau ndugu zako hapo ushapata kiben ten wewe😂😂😂, kitakumaliza.
 
Katika jambo la kipuuzi naweza liita la kipumbavu linalowapa stress wanawake wengi ni suala la wao kuolewa huwa nashindwa kuelewa akili zao kabisa.

Sasa ndoa ndio kitu cha kuwazia kweli what so special inside that shit called ndoa?!.
Because you are so special that's why unaona ni Jambo la kipuuzi
 
Ukisha chakaa ndiyo mnyonge anatokea anakuoa sio?
Wanaume tunakazi kuna umuhimu wa kuoa bikra tena sana
 
😂😂😂 naviwaue tu maana akili zenu sio za binadamu wa kawaida. Kusahau ndugu zako hapo ushapata kiben ten wewe😂😂😂, kitakumaliza.
🤣🤣🤣🤣Kha nimecheka
 
Leteni visa vya kweli
 
naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…