Swali la Kimkakati: Kwanini Tanga Isiunganishwe na SGR?

Swali la Kimkakati: Kwanini Tanga Isiunganishwe na SGR?

Mradi wowote huenda kwa hatua. Tena haswa miradi inayohitaji fedha nyingi, basi kuna maeneo yanapaswa kuwa na subra.

Eneo la Tanga litaunganishwa na SGR katika harakati za kuutanua mtandao kwenda Kaskazini.

Tanga ina bandari yake, mizigo yake mingi hupitia majini kuifikia.

Hata magari ya mizigo yanayoenda Tanga specifically si mengi. Badala yake yanayotoka na kwenda Arusha na Kilimanjaro.

Tukubaliane kuwa awamu ya kwanza mpaka ya 4, mikoa ya kaskazini (Tanga ikiwemo) inapaswa kusubiri kwanza. Mikoa ambayo ilikuwa na usafiri wa treni kwa muda mrefu consistently ipokee.
 
Kenya hawataki kabisa , kusikia kuhusu tanga Port, japo unaweza kuhusi hawana uwezo wa kuzuia.

Lakini jiulize ni kwani barabarani ya holili ilijengwa wakati Arusha kuna uhutaji mkubwa wa Barabara😂.

Viongozi wa TZ wanaonekana ni bogas Kwa Sababu sio wazelendo kwa Nchi Yao.
Sisi tukiongea humu JF wanatuita wapiga Kelele Tu, Kwamba Wao ndio wameshika mpini
 
Mradi wowote huenda kwa hatua. Tena haswa miradi inayohitaji fedha nyingi, basi kuna maeneo yanapaswa kuwa na subra.

Eneo la Tanga litaunganishwa na SGR katika harakati za kuutanua mtandao kwenda Kaskazini.

Tanga ina bandari yake, mizigo yake mingi hupitia majini kuifikia.

Hata magari ya mizigo yanayoenda Tanga specifically si mengi. Badala yake yanayotoka na kwenda Arusha na Kilimanjaro.

Tukubaliane kuwa awamu ya kwanza mpaka ya 4, mikoa ya kaskazini (Tanga ikiwemo) inapaswa kusubiri kwanza. Mikoa ambayo ilikuwa na usafiri wa muda mrefu consistently ipokee.
Kwa hiyo ukiwa unajenga mikoa mwingine , Tanga port na reli kwenda Kilimanjaro una i destroy Kwa makusudi unakuwa unafanya nn ss
 
Mradi wowote huenda kwa hatua. Tena haswa miradi inayohitaji fedha nyingi, basi kuna maeneo yanapaswa kuwa na subra.

Eneo la Tanga litaunganishwa na SGR katika harakati za kuutanua mtandao kwenda Kaskazini.

Tanga ina bandari yake, mizigo yake mingi hupitia majini kuifikia.

Hata magari ya mizigo yanayoenda Tanga specifically si mengi. Badala yake yanayotoka na kwenda Arusha na Kilimanjaro.

Tukubaliane kuwa awamu ya kwanza mpaka ya 4, mikoa ya kaskazini (Tanga ikiwemo) inapaswa kusubiri kwanza. Mikoa ambayo ilikuwa na usafiri wa muda mrefu consistently ipokee.
Upo sahihi mkuu labda Reli ya SGR ijengwe kutoka Tanga kwenda mikoa ya Arusha na Kilimanjaro , kipaumbele kwa Tanga bado sana kipaumbele iwe mikoa ya mbali.zaidi ambayo haina bandari na wanategemea ya Dar
 
Miradi iliyopo bado kukamilika na bado tunataka kuongeza mingine katika nchi ambayo kila mradi mkubwa mtu mtu atakaehusika katika huo mradi apate 10% yake.

Mradi wa bilioni moja unafanywa kwa bilioni kumi kisa tu waliopo kwenye hiyo connection wapate chao.
 
Hili jambo najiuliza sijui kama kuna sababu ya msingi ya kwanini Tanga isiunganishwe kwenye SGR. Kuna mtu yeyote au imeonekana haina faida kiuchumi?
ningekuwa Rais, hela wanazoiba mafisadi ningezibana wasiibe, ningejengea reli ya SGR toka DSM hadi Tanga na toka Tanga hadi Musoma kupitia kilimanjaro. aliyojenga mjerumani ipo kazi ni ndogo sana, kutandua ya zamani, kuongeza kokoto na mwinuko wa tuta na kutandika SGR basi. sasaivi watu wanaoenda moshi, arusha hadi musoma, wangepiga SGR express chap wameshafika. hapa ndipo mzungu anapotuzidi, hatunaga vipaumbele.
 
Hili jambo najiuliza sijui kama kuna sababu ya msingi ya kwanini Tanga isiunganishwe kwenye SGR. Kuna mtu yeyote au imeonekana haina faida kiuchumi?
Kuunganishwa itaunganishwa vizuri tu iko kwenye mpango huo lakini hadi bomba la mafuta kutoka Uganda kwenye Chongoleani likamilike.

Wenyeji wamechangia sana kuporomosha ustawi wa Tanga hasa viongozi wanaopewa dhamana wenye asili ya huko hawajali kuzielekeza nguvu kwao badala yake wanajilimbikizia ukwasi binafsi
 
Tanga kwa kuweka SGR inakuwa ni mjis unaoweza kuchukua watu wengi zaidi badala ya Dar..watu wanaishi Tanga wanafanya kazi Dar. Umbali wa Dar hadi Tanga ni kama maili 200 tu..Kwa SGR Tanga itakuwa kweli ni waja Leo waondoka leo...
 
Tanga kwa kuweka SGR inakuwa ni mjis unaoweza kuchukua watu wengi zaidi badala ya Dar..watu wanaishi Tanga wanafanya kazi Dar. Umbali wa Dar hadi Tanga ni kama maili 200 tu..Kwa SGR Tanga itakuwa kweli ni waja Leo waondoka leo...
Wanafanya makusudi Tu, kama UK angekuwepo mpaka Leo hii basi Tanga ingekuwa mbali Sana,
 
Miradi iliyopo bado kukamilika na bado tunataka kuongeza mingine katika nchi ambayo kila mradi mkubwa mtu mtu atakaehusika katika huo mradi apate 10% yake.

Mradi wa bilioni moja unafanywa kwa bilioni kumi kisa tu waliopo kwenye hiyo connection wapate chao.
Hakuna nchi inayoendelea kwa haraka kwa kusubiri mradi mmoja mmoja mkubwa. Kati ya vitu nilivipenda vya JPM ni uthubutu wa kwenda mzima mzima. Huku SGR, huku Bandari, kule Daraja la Tanzanite huku Daraja la Busisi, ukifungua macho flyover sijui wapi..yaani Bongo kulichangamka.
 
Back
Top Bottom