Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Sugu naye ni Mjinga tu


Unajua mpaka nawashangaa


K-Y ni water based kilainishi ambacho kazi yake nikutumika wakati wa Tendo.

Wanaume wengine wanatumia kupigia punyeto.


Kuna wanawake kwasababu za kihomoni, UKE wao nimkavu, hata umwandae vipi yeye nimkavu, wanawake hawa huchubuka kirahisi na hawafurahii tendo ,lkn pia nihatari kwa mwanaume.


Watu wa aina hiyo, Tunawashauri watumie K-Y Jelly..

Sio tu mpaka uwe na shida hizo, hata km hauna, kwa usalama Zaidi ,na ukizingatia matumizi ya kondom, kondom inawah kuisha mafuta, ivo kutumia KY ni chaguo sahihi.



KWA UPINZANI WA KIPUUZI NAMNA HIYO. UPINZANI, USAHAU KUBEBA NCHI.!!.
KY na upinzani kuna uhusiano gani? Halafu nchi inabebwaje? Kwani ni mzigo?
 
Wabongo mawazo ya kishoga yanawasumbua sana.

Lubricant inatumika hata kwenye uke vizuri tu, kuna wanawake hawatengenezi utelezi wa kutosha hata ufanye nini.

Bila lubricant utachofanya ni ubakaji na kumsababishia maumivu. Hao wanawake zenu hawawambii tu mtumie lubricant kwa sababu ya mawazo yenu machafu, ukiambiwa tutumie lubricant basi wewe akili zako zinakwambia leo anataka kukupa tigo.

Hivyo slowslow apingwe kwa hoja na sio kwa kukutwa na KY gheto.
Acha kumjibia, mwache ajibu. Halafu ukikuta demu hata baada ya foreplay/romance bado kipochi manyoya kinagoma kutema maji maji ya bamia mpaka utumie lubricant kama unabadilisha CV joints za kwenye gari basi jua anaumwa huyoo au agongwa kwa kulazimishwa/kubakwa.
 
Siasa zinapokwenda personal inageuka kero kwa wanachama na wapenzi wa vyama wanaojitambua, haya mambo ya barabarani vyema yaachwe huko huko.
Hapana, mwanasiasa lazima uhubiri kile unachotenda na unachokiamini. Huwezi kuhubiri mambo ya ushoga ilhali ndani inaonekana vitendea kazi vya ushoga. Huwezi kuhubiri uadilifu wakati unapora na kutembea na wake za watu na kukwepa kodi. Nyerere aliwahi kusema ukiwa na tuhuma tuu basi inatosha kuchukuliwa hatua kali au kuwekwa pembeni.
 
Sugu naye ni Mjinga tu


Unajua mpaka nawashangaa


K-Y ni water based kilainishi ambacho kazi yake nikutumika wakati wa Tendo.

Wanaume wengine wanatumia kupigia punyeto.


Kuna wanawake kwasababu za kihomoni, UKE wao nimkavu, hata umwandae vipi yeye nimkavu, wanawake hawa huchubuka kirahisi na hawafurahii tendo ,lkn pia nihatari kwa mwanaume.


Watu wa aina hiyo, Tunawashauri watumie K-Y Jelly..

Sio tu mpaka uwe na shida hizo, hata km hauna, kwa usalama Zaidi ,na ukizingatia matumizi ya kondom, kondom inawah kuisha mafuta, ivo kutumia KY ni chaguo sahihi.



KWA UPINZANI WA KIPUUZI NAMNA HIYO. UPINZANI, USAHAU KUBEBA NCHI.!!.
Vp na wewe unayo hiyo mafuta nini??
 
KY mimi uwa napaka kwenye kidole changu ili pete iingie kiurahisi kwenye kidole.
sasa nauliza swali sisi tunaotumia KY matumizi kama haya niliyoelezea hapo juu wote ni wahun?
 
Samia kafanya vizuri kumuondoa pale CCM, ni hatari sana kwa ustawi, nadhani hii ndio sababu ya kumuondoa katika nafasi ya uenezi CCM
Akuondolewa na Rais Samia ameondolewa Hayati Magufuli kwa kumteua kuwa Mbunge
 
Tofautisha uhuni binafsi na uhuni wa kukwapua mali za chama


Uhuni binafsi viongozi wengi wa serikali na chama wanao na wanachama wanao


Kinachopigiwa kelele ni wahuni wakwapua Mali za chama ambapo ripoti imewaanisha vizuri bila chenga
 
!
20211225_093447.jpg
 
Wahuni wakiona KY wanawaza mik..nd.. tu.

Huyo Sugu alikuwa anatuhumiwa na "Baby Mama" wake Faiza kuwa alikuwa anataka kumla jicho.

Sasa naelewa.

Hata uki-google matumizi yake hilo lenu halipo.
 
Tofautisha uhuni binafsi na uhuni wa kukwapua mali za chama


Uhuni binafsi viongozi wengi wa serikali na chama wanao na wanachama wanao


Kinachopigiwa kelele ni wahuni wakwapua Mali za chama ambapo ripoti imewaanisha vizuri bila chenga
Sisi hatuna muda wa kutofautisha, tunabeba full package
 
Back
Top Bottom