Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Mkuu unataka kuniambia kila anayejua kazi ya pedi anatumia pedi?
Wewe KY huzionagi maduka ya madawa lile eneo jirani na wanapoweka condomu?
Ulishawahi kuuliza matumizi yake hapo dukani au na wewe ndio una akili za jumla jumla kama za huyo Sugu.
 
Badala mtuambie ni WAHUNI gani walishiriki kuvunja nyumba ya Polepole.

Sugu mbunge mhuni uliyebahatika kuingia Bungeni kupitia Jazba za wamachinga.

Inawezekana hayo mafuta yakawa sehemu ya wahuni wenzako kubomoa na kuwaweka pale kisha kupiga picha ili kumchafua
Mheshimiwa Polepole.

@Josephmbilinyi

Yule!
Mama wa mtoto uliyemgonga kwa gari lako2016,kwenye Zebra Cross na kusababisha kifo chake jijini Mbeya.
Mlimalizanaje??
 
Back
Top Bottom