Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Kashfa kama hizo huwa zinatumika kama propaganda ya kumdhalilisha MTU ambaye huwa anaonekana kama tishio kwa upande ule unaopambana na huyo victim au huwa ni mbinu ya kuhamisha magoli ili watu wasijadili kitu ambacho ni sensitive. Hii mbinu ni ya tangu kitambo na huwa wanafanikiwa sana kuziteka akili za wengi maana watu wengi ni Hamnazo !! Nchi hii bado sanaaa !! Uzwazwa umetamalaki !!
 
Kashfa kama hizo huwa zinatumika kama propaganda ya kumdhalilisha MTU ambaye huwa anaonekana kama tishio kwa upande ule unaopambana na huyo victim au huwa ni mbinu ya kuhamisha magoli ili watu wasijadili kitu ambacho ni sensitive. Hii mbinu ni ya tangu kitambo na huwa wanafanikiwa sana kuziteka akili za wengi maana watu wengi ni Hamnazo !! Nchi hii bado sanaaa !! Uzwazwa umetamalaki !!
Nawaza tu kwa nini vyombo vya dola havikufanya vetting na kumfahamisha mwendazake kuhusu u-ramadhani Kibwili wa huyu ndugu
 
Kwani mate hayasaidii kulainisha? Kuna wanawake hawana mate pia?
mbona ky ina maelekezo imeandikwa vigina lubricant .ingawa kila mtu anaongezea matumizi yake wengne kulana tigo kusagana na punyeto ule uteleziwake unasaidia matumizi yao
 
Gay lube
giphy.gif
 
Wabongo mawazo ya kishoga yanawasumbua sana.

Lubricant inatumika hata kwenye uke vizuri tu, kuna wanawake hawatengenezi utelezi wa kutosha hata ufanye nini.

Bila lubricant utachofanya ni ubakaji na kumsababishia maumivu. Hao wanawake zenu hawawambii tu mtumie lubricant kwa sababu ya mawazo yenu machafu, ukiambiwa tutumie lubricant basi wewe akili zako zinakwambia leo anataka kukupa tigo.

Hivyo slowslow apingwe kwa hoja na sio kwa kukutwa na KY gheto.
si ameuliza tu jamaa,mbona povu?au amepiga inapopakwa KY?
 
Wabongo mawazo ya kishoga yanawasumbua sana.

Lubricant inatumika hata kwenye uke vizuri tu, kuna wanawake hawatengenezi utelezi wa kutosha hata ufanye nini.

Bila lubricant utachofanya ni ubakaji na kumsababishia maumivu. Hao wanawake zenu hawawambii tu mtumie lubricant kwa sababu ya mawazo yenu machafu, ukiambiwa tutumie lubricant basi wewe akili zako zinakwambia leo anataka kukupa tigo.

Hivyo slowslow apingwe kwa hoja na sio kwa kukutwa na KY gheto.
Jamaa kauliza inatumika kwa nani?
 
wewe ndio una mawazo hayo mkuu
SUGU kauliza ile KY ya nn kama sio muhuni na yeye maana wahuni wenzake wanaulizia matumizi yake
KIMAADILI kidini na KIUTANZANIA kwa ujumla kama hujaoa halafu una KY chumbani kwa ajili ya kurahinisha UKE za WANAWAKE wewe ni MUHUNI unazini ni UHUNI huo
Kwan kiroboto hana mke??
 
Kashfa kama hizo huwa zinatumika kama propaganda ya kumdhalilisha MTU ambaye huwa anaonekana kama tishio kwa upande ule unaopambana na huyo victim au huwa ni mbinu ya kuhamisha magoli ili watu wasijadili kitu ambacho ni sensitive. Hii mbinu ni ya tangu kitambo na huwa wanafanikiwa sana kuziteka akili za wengi maana watu wengi ni Hamnazo !! Nchi hii bado sanaaa !! Uzwazwa umetamalaki !!
Nakumbuka tulivyokuwa tunaambiwa kuwa Dkt Slaa alifungiwa ndani na Josephine ili amkatae Lowassa mara oooh kile kiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Wabongo mawazo ya kishoga yanawasumbua sana.

Lubricant inatumika hata kwenye uke vizuri tu, kuna wanawake hawatengenezi utelezi wa kutosha hata ufanye nini.

Bila lubricant utachofanya ni ubakaji na kumsababishia maumivu. Hao wanawake zenu hawawambii tu mtumie lubricant kwa sababu ya mawazo yenu machafu, ukiambiwa tutumie lubricant basi wewe akili zako zinakwambia leo anataka kukupa tigo.

Hivyo slowslow apingwe kwa hoja na sio kwa kukutwa na KY gheto.
KY is a dangerous lubrican wahuni huipenda sana hii Hasa mabazazi na wa MUJINI
 
Wabongo mawazo ya kishoga yanawasumbua sana.

Lubricant inatumika hata kwenye uke vizuri tu, kuna wanawake hawatengenezi utelezi wa kutosha hata ufanye nini.

Bila lubricant utachofanya ni ubakaji na kumsababishia maumivu. Hao wanawake zenu hawawambii tu mtumie lubricant kwa sababu ya mawazo yenu machafu, ukiambiwa tutumie lubricant basi wewe akili zako zinakwambia leo anataka kukupa tigo.

Hivyo slowslow apingwe kwa hoja na sio kwa kukutwa na KY gheto.
Kaulizwa polepole sasa weye umekuja kwa kasi na mabuti yenye mavi ya ng'ombe veepe?
 
wewe ndio una mawazo hayo mkuu
SUGU kauliza ile KY ya nn kama sio muhuni na yeye maana wahuni wenzake wanaulizia matumizi yake
KIMAADILI kidini na KIUTANZANIA kwa ujumla kama hujaoa halafu una KY chumbani kwa ajili ya kurahinisha UKE za WANAWAKE wewe ni MUHUNI unazini ni UHUNI huo
K-Y Jelly is a water-based, water-soluble personal lubricant, most commonly used as a lubricant for sexual intercourse and masturbation.
 
K-Y Jelly is a water-based, water-soluble personal lubricant, most commonly used as a lubricant for sexual intercourse and masturbation.
Kwa hiyo inawezekana Master ana Mastu
 
Back
Top Bottom