Swali la Ugomvi: Tuseme tu Hawana Uwezo?

Swali la Ugomvi: Tuseme tu Hawana Uwezo?

Ni nadra sana kwa mtu aliyetembelea mbeleko ya baba yake maisha yake yote kuwa na uwezo.

Wapo wachache wenye uwezo lakini wengi wao ikiwa ni pamoja na hao watumbuliwa hawana uwezo!

Moja ya mambo yaliyomfanya JPM kuwa waziri mzuri ni kutokuwa na tamaa, akili yake yote ilikuwa kwenye kuifanya kazi yake hiyo kwa moyo wote na akili zote.

Sasa hawa vijana wa mbeleko wanatumia asilimia kubwa ya muda wa kazi kupanga mipango ya kufanikisha matamanio yao ya mbele na kusuka mitandao yao.

Ni vema amewatoa, waende wakafanye hayo kwa uhuru wao, hiyo kazi ya uwaziri ifanywe na wanaotaka kufanya kazi.
Mawazo tunduizi...


Congratulations comrade[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Teua tengua, teua tengua, teua, tengua, teua, tengua,teua, tengua,teua, tengua,teua, tengua, teua, tengua, teua, tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua,

Mitano inatosha[emoji120]
Unailaumu KATIBA?!![emoji44][emoji44]

Umesahau kipengele cha PRESIDENTIAL DECREE?!!
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Waliitwa vijana...nakumbuka walipotumbuliwa nilisema ni ujana tu unawasumbua. Nikasema warudishwe labda wamejifunza. Tukaseme wapewe nafasi tena Alipokufa JPM hawakuficha hisia zao kuonesha hasimu kaondoka na wala kupima hekima walipozungumza. Tukawaangalia.

Mama alipowarudisha ni ikawa kama ni kuwaponya. Walionewa na sasa wamerudishwa ndani. Wote walipewa wizara walizozitaka sana na ambazo zilionekana zinaendana na uwezo wao. Lakini mara hizi zote wanapata shida kuongoza. Je, hawana uwezo?

Napendekeza wasipewe nafasi yoyote ya kuteuliwa tena sasa hivi. Wabaki wabunge tu ili wajipange na waoneshe wanaweza kuongoza bila kuwa mawaziri. Wabakie wabunge wa kawaida. Inawezekana upande mwingine Raisi Samia ameona siyo suala la uwezo bali kuwaondolea majaribu ya kutumia uwaziri kujijenga majimboni kuelekea 2025. Binafsi naamini kama hili ni kweli basi mawaziri wote wenye Nia ya kugombea mwakani wangetolewa ili wabakie wabunge. Mawaziri wawe wale ambao hawana Nia ya kugombea tena mwakani. Ila nadhani ni uwezo na kukosa hekima.

Maana kama kubebwa kuna watu wamebebwa bwana lakini kama mtu habebeki unang"ang'ania kumuweka mgongoni wa nini..mara akugonge konzi, mara teke, mara akufinye masikio, mara akung'ate halafu bado anataka kupanda mabegani. Kubebwa gani huko? Hata mtoto asipotulia kwenye mbeleko unamshusha bana kha!

Inawezekana kweli wa moja available mbili na aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Tukubali kuwa hawana uwezo maana kama hadi sasa bado hawajui hekima ya uongozi watajua lini? Watu wasiopima yanayotoka midomoni au matendo yao watapimiwa na nani...?

Wakubali yaishe?
Uweledi unaanzia kwa kiongozi mkuu. Wakati mwingine tunawalaumu subordinates lakini kumbe tatizo sio wao bali ni kiongozi mkuu.
Hii turnover ya utumbuaji kutakuwa kuna shida kwenye mamlaka.
Anyway, boss hanuniwi.
 
Hivyo madogo wamezingua!, yule dogo wa BK yeye kosa lake ni nini?.
P
Dogo wa BK kakosa uzoefu na pia alijisahau.

Na mwisho hakupaswa kufanya kampeni sokoni saa mbili usiku.

Hawa mawaziri wadogo waweza kuonekana smart kwenye kuongea majukwaani lakini pale kwenye kufanya maamuzi fulani hutakiwa kuwa smarter.

Kuna tofauti kati ya smart na smarter.

Mwangalie Ridhiwani ni mfano mmojawapo, ingawa nae ni mpigaji.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

View: https://youtu.be/R6TiVOZZZj4?si=iM4J0sv3gbtjSNmI
Waliitwa vijana...nakumbuka walipotumbuliwa nilisema ni ujana tu unawasumbua. Nikasema warudishwe labda wamejifunza. Tukaseme wapewe nafasi tena Alipokufa JPM hawakuficha hisia zao kuonesha hasimu kaondoka na wala kupima hekima walipozungumza. Tukawaangalia.

Mama alipowarudisha ni ikawa kama ni kuwaponya. Walionewa na sasa wamerudishwa ndani. Wote walipewa wizara walizozitaka sana na ambazo zilionekana zinaendana na uwezo wao. Lakini mara hizi zote wanapata shida kuongoza. Je, hawana uwezo?

Napendekeza wasipewe nafasi yoyote ya kuteuliwa tena sasa hivi. Wabaki wabunge tu ili wajipange na waoneshe wanaweza kuongoza bila kuwa mawaziri. Wabakie wabunge wa kawaida. Inawezekana upande mwingine Raisi Samia ameona siyo suala la uwezo bali kuwaondolea majaribu ya kutumia uwaziri kujijenga majimboni kuelekea 2025. Binafsi naamini kama hili ni kweli basi mawaziri wote wenye Nia ya kugombea mwakani wangetolewa ili wabakie wabunge. Mawaziri wawe wale ambao hawana Nia ya kugombea tena mwakani. Ila nadhani ni uwezo na kukosa hekima.

Maana kama kubebwa kuna watu wamebebwa bwana lakini kama mtu habebeki unang"ang'ania kumuweka mgongoni wa nini..mara akugonge konzi, mara teke, mara akufinye masikio, mara akung'ate halafu bado anataka kupanda mabegani. Kubebwa gani huko? Hata mtoto asipotulia kwenye mbeleko unamshusha bana kha!

Inawezekana kweli wa moja available mbili na aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Tukubali kuwa hawana uwezo maana kama hadi sasa bado hawajui hekima ya uongozi watajua lini? Watu wasiopima yanayotoka midomoni au matendo yao watapimiwa na nani...?

Wakubali yaishe?

Tukisema hawana uwezo tutakuwa tunakosea maana hatuambiwi kwa nini wanatumbuliwa. Ingekuwa vyema kama kutumbuliwa kungeenda pamoja na sababu ili tuepukane na idle speculations na wenzao wapate funzo la mambo gani hayakubaliki.

Amandla...
 
Dogo wa BK kakosa uzoefu na pia alijisahau.

Na mwisho hakupaswa kufanya kampeni sokoni saa mbili usiku.

Hawa mawaziri wadogo waweza kuonekana smart kwenye kuongea majukwaani lakini pale kwenye kufanya maamuzi fulani hutakiwa kuwa smarter.

Kuna tofauti kati ya smart na smarter.

Mwangalie Ridhiwani ni mfano mmojawapo, ingawa nae ni mpigaji.
Kuna media Kenya inasema January aliunga mkono generation Z ya Kenya..labda ndo sababu Hadi dogo wa BK pia kapigwa chini?
 
Kuna media Kenya inasema January aliunga mkono generation Z ya Kenya..labda ndo sababu Hadi dogo wa BK pia kapigwa chini?
Yawezekana kuwa ni moja ya sababu ila balozi Kombo ni diplomat na ana MA ya IL na Diplomacy..

Pia Kombo tayari ana uzoefu kama balozi.

Huenda raisi kaona Kombo ni afaa zaidi ya Makamba ambae pamoja na kwamba JK alimweka mambo ya Nje aliporudi TZ bado hana sifa ya kuitwa Diplomat na is too ambitious..

BK bado ni mgeni kwenye game na apaswa kujifunza kuwa ukipata nafasi kama ya Mambo ya Nje macho yote hukuangalia weye na mienendo yako, hivyo atajifunza.
 
Tukisema hawana uwezo tutakuwa tunakosea maana hatuambiwi kwa nini wanatumbuliwa. Ingekuwa vyema kama kutumbuliwa kungeenda pamoja na sababu ili tuepukane na idle speculations na wenzao wapate funzo la mambo gani hayakubaliki.

Amandla...
Naunga mkono hoja
Hili la kila siku kuteua na baada ya siku mbili tatu kutengua au kutumbua, kwanza nilisema ni kosa, ila nikaitetea mamlaka ya uteuzi Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kisha nikauliza humu Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Mimi nimeshauri wakati wa kuteua, sii lazima mamlaka ya uteuzi kutoa sababu, lakini kwenye kutengua na kutumbua, iwe ni lazima kutoa sababu ili hayo makosa yaliyopelekea kutumbuliwa kwao, yatumike kama shamba darasa kwa wengine hivyo kwanza nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kisha nikapongeza Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?

P
 
Back
Top Bottom